Majanga yanayoikumba Dunia, chanzo adhabu Toka Kwa Mungu, tugeuke na kutubu

Ufunuo wa Yohana ulikua unafunua ufalme wa Mungu,
Enzi na mamlaka aliyopewa Bwana Yesu kiufupi huo ni unabii timilifu Sio unabii unaongojewa,
Watu wengi mnadhani ule ni unabii utakaokuja ila ule unabii ulianza timizwa pale Bwana Yesu Kristo anakufa msalabani anafufuka na kupewa mamlaka,
Ule ni unabii timilifu kama ulivyo wa Daniel kila kitu kilimalizika zamani sana now tupo kwenye maisha ya wakati,
We live life through Lord Jesus na ndio maana amani ya ufalme wake inaongezeka ukilinganisha na zamani za utawala wa Giza,
Maandiko yanasema kadri ufalme wa Mungu unavyoongezeka na amani ya Kristo inaongezeka
Hiyo inatokea natural tu
Hivi huoni now watu wa mataifa yote wana amani na Mungu?
Hivi huoni kwamba now watu wanamtafuta Mungu hata kwa kupapasa ukilinganisha na zamani za giza?
Vita zinazoendelea duniani na maelfu wanakufa, hiyo neema Iko wapi inayoongezeka?

Wakristo walioko Kongo, Israeli Kila siku wananusurika kuripuka na mabomu, hao wako nyakati zipi?

Nyakati tulizopo ndizo hizo zimeandikwa Mt 24 na Ufunuo,

Usilolijua, MUHURI wa nne umefunguliwa, Malaika aliyepanda farasi wa kijivu ndiye ameruhusiwa kuua theluthi ya watu duniani.
 
Mlima wa maombi hauporomoki, Si mlima halisi kama unavyoshani, ni something spiritual.
Ok. Najua hilo mwalimu wa neno kwa watoto.
Ila nikushauri tu kama mtu ulieona nuru ya kristo. Jaa upendo. Usihukumu, nazani unakumbuka tulipopishana ukanishushia hukumu.
 
Huyo Mungu pamoja na wewe mleta mada wote ni Vilaza.
.trashed-1716218475-images (1) (15).jpeg
 
Vita zinazoendelea duniani na maelfu wanakufa, hiyo neema Iko wapi inayoongezeka?

Wakristo walioko Kongo, Israeli Kila siku wananusurika kuripuka na mabomu, hao wako nyakati zipi?

Nyakati tulizopo ndizo hizo zimeandikwa Mt 24 na Ufunuo,

Usilolijua, MUHURI wa nne umefunguliwa, Malaika wa kijivu ndiye ameruhusiwa kuua theluthi ya watu duniani.
Wewe huijui Injili hivi unazijua vita wewe?
Yaani hayo maigizo ya kisiasa unaita vita?
Hivi Kati ya Dunia ya kale na leo wapi kumepiganwa vita zaidi?
Kingine hakuna Malaika aliyetumwa kuua watu katika Agano jipya kiufupi huo Ufunuo wa Yohana ulishatimizwa miaka zaidi ya 2000 iliyopita kijana!
 
Hakuna Ulimwengu utachomwa moto wewe ila mwovu ataondolewa na watakatifu wataulithi milele,
Hii Dunia ipo milele yote haitaangamizwa kama ulikua hujui hata Mungu mwenyewe atakuja kuishi hapa through Jesus Christ yaani ufalme wa Mungu utahamia hapa na mbingu zitafumuliwa au husomi Maandiko wewe?
'Mbingu ni mbingu za Bwana na Dunia amewapa wanadamu' hilo andiko unalielewa kweli ndugu mtumishi?
Ni mwalimu wa watoto bado hajakomaa kuchambua neno.
Si unajua wagoto hula chakula gani? Maziwa.
 
Vita zinazoendelea duniani na maelfu wanakufa, hiyo neema Iko wapi inayoongezeka?

Wakristo walioko Kongo, Israeli Kila siku wananusurika kuripuka na mabomu, hao wako nyakati zipi?

Nyakati tulizopo ndizo hizo zimeandikwa Mt 24 na Ufunuo,

Usilolijua, MUHURI wa nne umefunguliwa, Malaika wa kijivu ndiye ameruhusiwa kuua theluthi ya watu duniani.
Wakristo wa kongo wanakufa kwa sababu ya ujinga wao na kutotambua nafasi zao,
Hata Wakristo wa bongo wanaburuzwa na CCM sababu ya kutojitambua kama wewe hapo,
Kumbuka ukiwa Mkristo ni Kristo anaishi ndani yako na utaishi maisha ya miujiza ila kwa sababu ya ujinga na kutojitambua utaendelea kuburuzwa na Ibilisi kwa kutojitambua hivi Mkristo unaongozwa na Roho Mtakatifu nani atakua juu yako?
Wewe jamaa hujui Injili ni nini!
 
Nyie nao hamna akili, mamikaa mnayoyakata na kuchoma kila siku na mashamba mnayoyasafisha ili mlime mnategemea nini kama sio tabia za nchi kuwa na changes..??
Dhambi sio sababu ya changes ya hali ya hewa.
 
Wakristo wa kongo wanakufa kwa sababu ya ujinga wao na kutotambua nafasi zao,
Hata Wakristo wa bongo wanaburuzwa na CCM sababu ya kutojitambua kama wewe hapo,
Kumbuka ukiwa Mkristo ni Kristo anaishi ndani yako na utaishi maisha ya miujiza ila kwa sababu ya ujinga na kutojitambua utaendelea kuburuzwa na Ibilisi kwa kutojitambua hivi Mkristo unaongozwa na Roho Mtakatifu nani atakua juu yako?
Wewe jamaa hujui Injili ni nini!
Kwamba wakristo wa Kongo wanakufa Kwa Ujinga wao?

Nani aliyekusimamia ukuaji wako kiimani na kimafundisho?
 
Ni mwalimu wa watoto bado hajakomaa kuchambua neno.
Si unajua wagoto hula chakula gani? Maziwa.
True bado mtoto mdogo!
(In TID voices)

Hailewi maana ya ufalme wa Mungu ni nini
Yaani mtu unaomba ile sala ya Baba yetu uliye Mbinguni Jina lako litukuzwe,ufalme wako uje,Mapenzi yako yatimizwe hapa Duniani kama huko Mbinguni'

Hii sala inajieleza kwamba ufalme wa Mungu uje na Dunia ifananie Mbinguni yaani Mungu afanye mambo yale yale ya Mbinguni hapa hapa Duniani just imagine Taifa la Marekani litupe bajeti kama yao kama msaada kila Mwaka ili tulingane nao si tutakua Marekani ya Africa?
Ndio maana ya hio Sara
God kingdom in Earth!
 
Kumbe na Ulimwengu ulioandikwa utachomwa moto, ni hapo Israel pekee?
BWANA akasikia harufu ya kumridhisha; BWANA akasema moyoni, Sitailaani nchi tena baada ya hayo kwa sababu ya wanadamu, maana mawazo ya moyo wa mwanadamu ni mabaya tangu ujana wake; wala sitapiga tena baada ya hayo kila kilicho hai kama nilivyofanya. Muda nchi idumupo, majira ya kupanda, na mavuno, wakati wa baridi na wakati wa hari, wakati wa kaskazi na wakati wa kusi, mchana na usiku, havitakoma.
Mwa 8:21‭-‬22 SUV

Mkuu hakikisha unasoma bible yako vizuri, hiyo dunia itakayochomwa moto ni ipi
 
True bado mtoto mdogo!
(In TID voices)

Hailewi maana ya ufalme wa Mungu ni nini
Yaani mtu unaomba ile sala ya Baba yetu uliye Mbinguni Jina lako litukuzwe,ufalme wako uje,Mapenzi yako yatimizwe hapa Duniani kama huko Mbinguni'

Hii sala inajieleza kwamba ufalme wa Mungu uje na Dunia ifananie Mbinguni yaani Mungu afanye mambo yale yale ya Mbinguni hapa hapa Duniani just imagine Taifa la Marekani litupe bajeti kama yao kama msaada kila Mwaka ili tulingane nao si tutakua Marekani ya Africa?
Ndio maana ya hio Sara
God kingdom in Earth!
Huyu jamaa na mwingine anajiita "Yesu anarudi" niliwachallenge kwa thread zao tofauti. Wakashindwa kunijibu hoja wakaniita shetani, eti wanashuhudiwa kabisa kuwa wanaongea na mtu asie na Mungu.

Sasa mtu asie na Mungu anakuletea andiko wewe mwenye Mungu unashindwa kulifafanua. Nani hapo anakuwa hana Mungu.

Nilichogundua walokole wengi hawajui neno. Wao wanajua tu kushika verses za bible lakini sio kuchambua neno. Wanatumia ule msemo "there are only two rules: one, the boss is always right and two if the boss is wrong look rule one"

Mtu kama huyo ukimuuliza unabii aliotoa Yakobo kwa mwanae Gadi ulitimia wapi mwenye bible ataleta siasa, but ulitimia baada ya miaka mingi tu.
 
Salaam ,Shalom!!

Wapo wanaokwambia kuwa yanayotokea duniani ni mabadiliko tu ya TABIA Nchi, wengine wanaokwambia ni nature, nk nk

Rabbon ninakudokeza kuwa, hiki kipigo Dunia inachopokea ni adhabu Toka Kwa Mungu.

Mafuriko katika Nchi zenye jangwa kama Dubai, Saudi Arabia nk nk, Milima kuporomoka,Matetemeko nchini Turkey yalioua watu zaidi ya 20,000 ,vimbunga vya kutisha, mafuriko ambayo hayajawahi tokea, kuyeyuka Kwa barafu Nchi za Urusi, Syberia na kusababisha miji kuzama ndani ya maji, moto kuchoma majiji kadhaa na kuyaacha majivu, Si Bahati mbaya, ni kipigo Toka juu.

Kukosa kujua chanzo Cha majanga ni kukosa pia Mbinu ya kukabiiana nayo, lakini ukishajua chanzo sahihi, utakuwa katika position njema kukabiiana nayo.

SOLUTON:
- Ikiwa ulikuwa unapeleka mapato Yako bar, Badili ,acha pombe, Rudi kuhakikisha maskini na majirani wasio na uwezo wanapata chakula.

-Ikiwa wewe ni kahaba, chama chana nguo za kikahaba, Vaa kiheshima, nenda katika nyumba za Ibada utengemeze na Mungu.

-Mnaoiba uchaguzi acheni, mnaoiba pesa za umma acheni mara Moja, tubuni Ili msiondoke na majanga haya.

- Mlio ndani ya NDOA, acheni kuchepuka, tunzeni familia zenu, Rudi katika TOBA na maombi ya familia na Nchi, na Ulimwengu.

- Kimbilia mlimani, mlimani ni Mahali pa kutafuta uso wa Mungu, funga na kuomba Kwa ajili ya nchi ,JAMII na ukoo wako.

ANGALIZO: Mungu ameruhusu majanga na kipigo mfululizo Kwa miaka Saba, kuanzia 2024 Hadi 2030. Usiposikia nikwambiacho, utakufa HAKIKA, maana majanga hayatakoma.

Huu Si muda wa kuenjoy, ni muda wa kuvaa magunia, kuomboleza, kutengeneza na Mungu.

Mwenye kusikia na asikie.

Aamen.
Mbona Kama unawawekea watu hofu kuwa utakufa kwani wewe utaishi milele. Yaani mnaishi kwa kuwapa watu uwoga , haya Mungu aliyajua kabla hata hajaumba ulimwengu. Na alisema hakika mtakufa.
Ongea kawaida kuwa inabidi tumche na tumnyenyekee na kumuomba Mola wetu bila ya kuweka vitisho.
Unakifanya unayajua ya kesho ama yaliyotokea. Unatumia hindsight bias analysis yaani kitu kimeshatokea ndio unajaribu kuweka mawazo yako ili yaendane m na tukioa lililotokea.
Mbona hukuyaongea kabla hayajatokea.

Kufa kupo Kama kuzaliwa kulivyo.

Huwezi jua mipango ya aliyeiumba dunia na mawazo yake sio Kama ya kwako
 
Kwamba wakristo wa Kongo wanakufa Kwa Ujinga wao?

Nani aliyekusimamia ukuaji wako kiimani na kimafundisho?
Wakristo wengi wanaangamia kwa kukosa maarifa sababu wanaacha kusimamia Neno linasema wanatoka Neno ndio lifananie na wanachotaka,

Kingine sina anayenisimamia zaidi ya Neno na Roho Mtakatifu,
Nasema kile Neno limesema na nafanya kile Roho Mtakatifu amenipa kufanya nothing more
Kama wewe una mtu anakusimamia nakupa pole sana maana umapatwa na tabu ya namna yote hiyo kufuata mafundisho manyonge yawafaayo watoto wadogo ila kama unataka maisha yako yamfananie Kristo huna budi kuanza kuchukua hatua as a personal na utapata matokeo ya kiungu karibu kwa ufafanuzi zaidi ndugu Rabbon
 
Back
Top Bottom