Salaam ,Shalom!!
Wapo wanaokwambia kuwa yanayotokea duniani ni mabadiliko tu ya TABIA Nchi, wengine wanaokwambia ni nature, nk nk
Rabbon ninakudokeza kuwa, hiki kipigo Dunia inachopokea ni adhabu Toka Kwa Mungu.
Mafuriko katika Nchi zenye jangwa kama Dubai, Saudi Arabia nk nk, Milima kuporomoka,Matetemeko nchini Turkey yalioua watu zaidi ya 20,000 ,vimbunga vya kutisha, mafuriko ambayo hayajawahi tokea, kuyeyuka Kwa barafu Nchi za Urusi, Syberia na kusababisha miji kuzama ndani ya maji, moto kuchoma majiji kadhaa na kuyaacha majivu, Si Bahati mbaya, ni kipigo Toka juu.
Kukosa kujua chanzo Cha majanga ni kukosa pia Mbinu ya kukabiiana nayo, lakini ukishajua chanzo sahihi, utakuwa katika position njema kukabiiana nayo.
SOLUTON:
- Ikiwa ulikuwa unapeleka mapato Yako bar, Badili ,acha pombe, Rudi kuhakikisha maskini na majirani wasio na uwezo wanapata chakula.
-Ikiwa wewe ni kahaba, chama chana nguo za kikahaba, Vaa kiheshima, nenda katika nyumba za Ibada utengemeze na Mungu.
-Mnaoiba uchaguzi acheni, mnaoiba pesa za umma acheni mara Moja, tubuni Ili msiondoke na majanga haya.
- Mlio ndani ya NDOA, acheni kuchepuka, tunzeni familia zenu, Rudi katika TOBA na maombi ya familia na Nchi, na Ulimwengu.
- Kimbilia mlimani, mlimani ni Mahali pa kutafuta uso wa Mungu, funga na kuomba Kwa ajili ya nchi ,JAMII na ukoo wako.
ANGALIZO: Mungu ameruhusu majanga na kipigo mfululizo Kwa miaka Saba, kuanzia 2024 Hadi 2030. Usiposikia nikwambiacho, utakufa HAKIKA, maana majanga hayatakoma.
Huu Si muda wa kuenjoy, ni muda wa kuvaa magunia, kuomboleza, kutengeneza na Mungu.
Mwenye kusikia na asikie.
Aamen.
Wapo wanaokwambia kuwa yanayotokea duniani ni mabadiliko tu ya TABIA Nchi, wengine wanaokwambia ni nature, nk nk
Rabbon ninakudokeza kuwa, hiki kipigo Dunia inachopokea ni adhabu Toka Kwa Mungu.
Mafuriko katika Nchi zenye jangwa kama Dubai, Saudi Arabia nk nk, Milima kuporomoka,Matetemeko nchini Turkey yalioua watu zaidi ya 20,000 ,vimbunga vya kutisha, mafuriko ambayo hayajawahi tokea, kuyeyuka Kwa barafu Nchi za Urusi, Syberia na kusababisha miji kuzama ndani ya maji, moto kuchoma majiji kadhaa na kuyaacha majivu, Si Bahati mbaya, ni kipigo Toka juu.
Kukosa kujua chanzo Cha majanga ni kukosa pia Mbinu ya kukabiiana nayo, lakini ukishajua chanzo sahihi, utakuwa katika position njema kukabiiana nayo.
SOLUTON:
- Ikiwa ulikuwa unapeleka mapato Yako bar, Badili ,acha pombe, Rudi kuhakikisha maskini na majirani wasio na uwezo wanapata chakula.
-Ikiwa wewe ni kahaba, chama chana nguo za kikahaba, Vaa kiheshima, nenda katika nyumba za Ibada utengemeze na Mungu.
-Mnaoiba uchaguzi acheni, mnaoiba pesa za umma acheni mara Moja, tubuni Ili msiondoke na majanga haya.
- Mlio ndani ya NDOA, acheni kuchepuka, tunzeni familia zenu, Rudi katika TOBA na maombi ya familia na Nchi, na Ulimwengu.
- Kimbilia mlimani, mlimani ni Mahali pa kutafuta uso wa Mungu, funga na kuomba Kwa ajili ya nchi ,JAMII na ukoo wako.
ANGALIZO: Mungu ameruhusu majanga na kipigo mfululizo Kwa miaka Saba, kuanzia 2024 Hadi 2030. Usiposikia nikwambiacho, utakufa HAKIKA, maana majanga hayatakoma.
Huu Si muda wa kuenjoy, ni muda wa kuvaa magunia, kuomboleza, kutengeneza na Mungu.
Mwenye kusikia na asikie.
Aamen.