Mahakama ya Kisutu yawanyima dhamana Harry Kitilya, Sioi Sumari na Shose Sinare

Sheria ya kunyima watu dhamana ni ya kinyama. Ifuftwe.

Wewe umenena. Ni vema pia watu waache kuchekelea mabaya yanayowapata watu. Haijalishi ni makosa makubwa kiasi gani. Hivi mtu unathubutu kabisa kufurahia waziwazi? Kuna dini inayoruhusu haya! tuchukie Maovu sio mtu na hapo ndio unaweza kuwa fair kwenye judgement. MWisho wa yote tusubiri ukweli uelezwe mahakamani
 
Wewe umenena. Ni vema pia watu waache kuchekelea mabaya yanayowapata watu. Haijalishi ni makosa makubwa kiasi gani. Hivi mtu unathubutu kabisa kufurahia waziwazi? Kuna dini inayoruhusu haya! tuchukie Maovu sio mtu na hapo ndio unaweza kuwa fair kwenye judgement. MWisho wa yote tusubiri ukweli uelezwe mahakamani
kwenda huko na wew nadhani ungeanza kuwaurumia kwanza hawa waliobiwa fedha zao ikiwemo mimi na wewe , unajua wizi wao umeigharim jamii kiasi gani
 
Sasa magufuli hana utani, ila kale kadada wangekaachia jamani mweeeeeeeee yaani kazuri mnooooo
kwani mzuri hajambi ushuzi haunuki, haendi maliwatoni, acha ale raha ya kuchumia kivulini na kulia juani, wanawasumbua watu mjini hapa kujifanya wana akili kutafuta kumbe wizi mtupuuu! wenywee hannessy (vsop) ukonga au segereaaa sasa! nyambafuu wezi wakubwa wa mali ya umma!
 
kwenda huko na wew nadhani ungeanza kuwaurumia kwanza hawa waliobiwa fedha zao ikiwemo mimi na wewe , unajua wizi wao umeigharim jamii kiasi gani
Hebu soma ulichoandika. Uko sawa kweli wewe? Kwa nini unasema kwenda huko? Una Shida wewe. Umeshawahukumu ni wezi sio??? Nini Kazi ya Mahakama? Wao ni watuhumiwa tu. Subiri kesi iishe. Punguza mihemko. Siku nyingine ukiona mtu ameshtakiwa ujue huyo ni mtuhumiwa tu hadi mahakama itoe hukumu. Umeelewa?
 
Duuh aisee, pole sana.
sasa mbona kama unaendelea kuexpose madudu yake ya kukupatia kazi kiupendeleo, halafu halafu unakuwa kama unamuonea huruma.
mkuu halafu kwa unafiki wa dini , anamuhusisha Yesu na huu wizi, wa hela za wanyonge, halafu ujifanya kanisani kukaa benchi la mbele kutoa sadaka hela za wizi wa wanyongee, kweli Yesu aliagiza haya, kweli?! kama huu si ufedhuli ni nini! mnapeana kazi kwa kujuana, na afadhali ungekuwa unauwezo basi, kumbe ni kilaza tuu!
 
Kwahiyo Ni hao tu Tanzania nzima??au mmewaona wanyonge hawana magamba wezi wa pesa nchi hii hawafungwi.
acha kutoa povuu, raha ya deal ndio hio, kama ulikuwa unafaidika nazo na kucheka masikini kama badhi ya wenzio humu uzini,basi tunaanza na hao ili iwe mfano, nchi lazima ibadilike hatwezi kuwa na nchi ile ile miaka nenda rudi, tulia dawa ikuingiie bandugu! tunaiba baadae tunakaa pub nakuaza kuponda nchi kumbe na sisi tunashiriki kuitafuna nchi, acha za mwizi arobaini!
 
Vipi wale waliopewa kazi ya kufagia uwanja pesa walizo iba zimerudishwaa???Nyie waTz akili zenu cjui zikoje?Hivi mpunga aliopiga Mramba na Yona unalingana na adhabu waliopewa??Ndio maana nawaambia Wanaoonewa ni wanyonge,hii nchi ukipata nafasi we kwiba,Eti hela za Wa Tanzania!! We mTanzania una hela hapa.??hili sio nchi ni genge la wezi subiri uone kinachofuata.
 
Ukiwa na hela jela utaletewa kitu chochote utakacho....askari magereza wakiwa jela huwa wanawatafuta wale wenye pesa ili wawahudumie
Askari magereza wanatengeneza pesa kwa style hiyo.....
 
Na Said Mwema na mkwewe wembe uwe huo huo.
Ila Magu mtata naona kila dalili hili litaishia magazetini tu.
Ritz1 naye tunamsubiri mambo ya kujibu tuhuma mitaani aache mara moja.
 
Steven umesema kweli, post zote unaona ni wivu tu na sio kuwa mtu anaona haki kutendeka au kutaka itendeke. Nauliza swali hawa wanaofurahi wakiwekwa penye uwazi wa kuiba pesa ya bure hawataiba? Kila mmoja ana jibu lake, jitafakari. Kama ulivyosema, Mungu awatangulie wapate haki yao be if in the negative as long as haki imetendeka.
Hata kama jibu litakuwa Yes does it justify people not talking msigeuzi dhambi kuwa sawa halafu hamtaki watu kuongea kwa kisingizio cha wivu or umaskini. Utajiri wa wizi ni utajiri au utapeli? Mtanyooka tuu safari hii ;);)
 
walimpeleka jela kwa landcruiser mpya, leo kapandishwa bus, hapa anaelekea kupanda karandinga.
 
Back
Top Bottom