Mahakama ya Kisutu yawanyima dhamana Harry Kitilya, Sioi Sumari na Shose Sinare

Nakumbuka mwaka siutaj wakat nimemaliza chuo...bro alikuwa mfanya biashara mkubwa tu na ni rafik wa herry....alikuja home nikamwambia napenda kaz tra....akaniambia kesho njoo oficin...akanipa barua ya kaz na kwende direct mwanza kuanza kaz.........iko siku yataisha mkuu...yesu yu pamoja nawe
 
Wakipewa dhamana wanakuja mtaani na kuendelea kunywa bia... Wasote tu.
 
Nakumbuka mwaka siutaj wakat nimemaliza chuo...bro alikuwa mfanya biashara mkubwa tu na ni rafik wa herry....alikuja home nikamwambia napenda kaz tra....akaniambia kesho njoo oficin...akanipa barua ya kaz na kwende direct mwanza kuanza kaz.........iko siku yataisha mkuu...yesu yu pamoja nawe
Duuh aisee, pole sana.
sasa mbona kama unaendelea kuexpose madudu yake ya kukupatia kazi kiupendeleo, halafu halafu unakuwa kama unamuonea huruma.
 
Nakumbuka mwaka siutaj wakat nimemaliza chuo...bro alikuwa mfanya biashara mkubwa tu na ni rafik wa herry....alikuja home nikamwambia napenda kaz tra....akaniambia kesho njoo oficin...akanipa barua ya kaz na kwende direct mwanza kuanza kaz.........iko siku yataisha mkuu...yesu yu pamoja nawe
Nyie ndo kina kamlete,utendaji kazini 0.
 
wakili msomi Medium Mwale mpaka leo anasoka gereza la Kisongo mkoani Arusha kwa miaka kadhaa kwa mashitaka ya kutakatisha fedha,kwa hiyo kina kitilya wataendelea kusota rumande tu,hakuna namna,maisha siku zote yanabadilika,leo ukakula kiyoyozi kesho unahemea msosi.
 
Wakuu mimi nasubiri tu siku Lowasa akikamatwa maana wote hawa wanaokamatwa ni wanafunzi wa Lowasa kwenye ufisadi kwanini asikamtwe na mwalimu wao.
Lowasa akamatwe kwa ushahidi gani? Kama una ushahidi nenda kamshitaki acha kulia lia hapa.
 
Jf watu wengine mnanipa hofu kwa uelewa wenu mdogo wa baadhi ya vitu half bila aibu unachangia tu. Iko hivi, hakuna tofauti kati ya jela na mahabusu. Ila kuna tofauti kati ya mfungwa na mahabusu.

Mfungwa keshahukumiwa na anakua jela akitumikia kifungo, huyu mle gerezani huvaa uniform maalum za gereza , hula chakula cha gereza ,hufanya kazi zote atakazopangiwa na maofisa wa gereza na anaeza hata hamishwa gereza moja kwenda jingine. Pia huyu hana access ya kwenda kutembelewa na ndugu.

MAHABUSU. Huyu wanakaa gereza moja na mfungwa, ila yeye atavaa kiraia kadri awezavyo, ndugu watampelekea chakula kila weekend na public holidays, ndugu waeza mwekea bill ya kuletea chakula toka nje kila siku, sheria yamtaka hata kama upelelezi wa kesi yake haujakamilika kila baada ya siku 14 aende mahakaman na kusomewa shtaka.

NDOO. Gerezani ndoo ndio kila kitu, twaeza sema ni zaidi ya trunker boarding school. Ndoo ndio kabati la diary ya mtuhumiwa, nguo, bakuli, ped kwa wanawake na vikoro koro vingne vinavyoruhusiwa kwa mahabusu kua navyo. Pia wakt mwingne mahabusu huzitumia kama viti vya kukalia mchana wawapo nje.
Mkuu, mfungwa pia ana haki ya kutembelewa kama mahabusu (In Weekends and Public holidays)
 
Kuna Ufisadi mkubwa sana mahali pasipojulikana sana. Mahali hapo ni Chuo cha Ufundi Arusha.
Kwa jina lingine panafahamika kama Arusha Technical College. Ni baraa, TAKUKURU itupie macho.
 
ohh kumbe na wewe ni mnufaikaji wa huduma zenye harufu ya ufisadi hahahahahahah... kama kweli anaonewa Yesu atamtetea lkn kama alizipiga kweli mhh APO YESU ATAMSAMEHE.
Nakumbuka mwaka siutaj wakat nimemaliza chuo...bro alikuwa mfanya biashara mkubwa tu na ni rafik wa herry....alikuja home nikamwambia napenda kaz tra....akaniambia kesho njoo oficin...akanipa barua ya kaz na kwende direct mwanza kuanza kaz.........iko siku yataisha mkuu...yesu yu pamoja nawe
 
naomba namba ya kale karembo, si kalinichjia baharini, sasa kenyewe kapo sero, kudadek chezea broo magu wewe?
 
Matajiri Hawafungwi kazi yao ni kupiga DEKI tu Hospitalini kucheleweshwa kwa DHAMANA wanaandaliwa sehemu ya kusafisha ila NADHANI hawa watapangiwa FERRY kule ili WAWE wanakuona ona IKULU.
 
Mimi nitapeleka shauri kupinga wao kwenda na Ndoo zao, tena Mpya. Kule si kuna ndoo za watu wote kunyea, wao ni akina nani mpaka waende na mpya?
Kumbe na wao wananyea ndoo kama wengine sema wao wameingia na ndoo zao, mbona nguo zao zinaonekana kama wanabadilisha tofauti na wengine na huyo mwingine kama ameshika tablet
 
Back
Top Bottom