Mahakama ya Kisutu yawanyima dhamana Harry Kitilya, Sioi Sumari na Shose Sinare

Kwasasa tukiendeza inchi namha hii pstasomeka naona nguvu ya kale ka ahadi ka trillioni 1 kameanza kupata nguvu
Wasitoke hawo pia kesi ipelekwe faster kwasasa hakuna adhabu ya kufagia hosipatini hapa
 
Wa Tanzania mna roho ya wivu sana yaani hapo shida yenu wao waende jela baasi,Sasa wewe utafaidika nini?pesa zako,?au ni roho inakuuma tu kwa umaskini ulionao??Acheni roho za ajabu .

Lavan,

sakata limekugusaje? Hizo pesa si zao hao watuhumiwa, ni zetu, Watanzania. Wanatuhumiwa kuzitakatisha kwa maslahi yao na pengine kwa maslahi ya baadhi ya ndugu, jamaa na rafiki zao na kusababishia umaskini wengi wa Watanzania. Kama unaona wanaojadili hili wana wivu na maskini, basi huo umaskini unasemekana umechangiwa na deals walizocheza watuhumiwa. Wewe ni mmoja wao? au ulinufaika kwa njia moja au nyingine?, matokea ndo hayo wenzio wananyea ndoo.
 
Magufuli ni mtu wa chuki na visasi,huwezi kuendesha nchi kwa chuki,visasi na hasira..za ajabu..ajabu.
Watanzania bana watu wamefanya udanganyifu wamechukuwa dola milioni 6 wala wewe ili huoni kama tatizo unakimbilia kumpa lawama rais kuwa ana chuki.
 
Hawawezi kumpenda Magu hata kidogo. Ujanja ujanja una mwisho. Funga.Filisi.tupa ndani!
 
Safi Sana na bado sio hao,ili iwe fundisho wapigwe si chini ya miaka 30 jela kama kasusura.
 
Jf watu wengine mnanipa hofu kwa uelewa wenu mdogo wa baadhi ya vitu half bila aibu unachangia tu. Iko hivi, hakuna tofauti kati ya jela na mahabusu. Ila kuna tofauti kati ya mfungwa na mahabusu.

Mfungwa keshahukumiwa na anakua jela akitumikia kifungo, huyu mle gerezani huvaa uniform maalum za gereza , hula chakula cha gereza ,hufanya kazi zote atakazopangiwa na maofisa wa gereza na anaeza hata hamishwa gereza moja kwenda jingine. Pia huyu hana access ya kwenda kutembelewa na ndugu.

MAHABUSU. Huyu wanakaa gereza moja na mfungwa, ila yeye atavaa kiraia kadri awezavyo, ndugu watampelekea chakula kila weekend na public holidays, ndugu waeza mwekea bill ya kuletea chakula toka nje kila siku, sheria yamtaka hata kama upelelezi wa kesi yake haujakamilika kila baada ya siku 14 aende mahakaman na kusomewa shtaka.

NDOO. Gerezani ndoo ndio kila kitu, twaeza sema ni zaidi ya trunker boarding school. Ndoo ndio kabati la diary ya mtuhumiwa, nguo, bakuli, ped kwa wanawake na vikoro koro vingne vinavyoruhusiwa kwa mahabusu kua navyo. Pia wakt mwingne mahabusu huzitumia kama viti vya kukalia mchana wawapo nje.


Jela bado hao wapo mahabusu wakiishavaliswa magwanda ndiyo wanaingia jela.
 
Jf watu wengine mnanipa hofu kwa uelewa wenu mdogo wa baadhi ya vitu half bila aibu unachangia tu. Iko hivi, hakuna tofauti kati ya jela na mahabusu. Ila kuna tofauti kati ya mfungwa na mahabusu.

Mfungwa keshahukumiwa na anakua jela akitumikia kifungo, huyu mle gerezani huvaa uniform maalum za gereza , hula chakula cha gereza ,hufanya kazi zote atakazopangiwa na maofisa wa gereza na anaeza hata hamishwa gereza moja kwenda jingine. Pia huyu hana access ya kwenda kutembelewa na ndugu.

MAHABUSU. Huyu wanakaa gereza moja na mfungwa, ila yeye atavaa kiraia kadri awezavyo, ndugu watampelekea chakula kila weekend na public holidays, ndugu waeza mwekea bill ya kuletea chakula toka nje kila siku, sheria yamtaka hata kama upelelezi wa kesi yake haujakamilika kila baada ya siku 14 aende mahakaman na kusomewa shtaka.

NDOO. Gerezani ndoo ndio kila kitu, twaeza sema ni zaidi ya trunker boarding school. Ndoo ndio kabati la diary ya mtuhumiwa, nguo, bakuli, ped kwa wanawake na vikoro koro vingne vinavyoruhusiwa kwa mahabusu kua navyo. Pia wakt mwingne mahabusu huzitumia kama viti vya kukalia mchana wawapo nje.
Usisema hakuna tofauti ya jela na mahabusu tofauti ipi kubwa tu.

Kitendo cha kuwa mtu kuhukumiwa ndiyo kinakuwa tayari unaingia jela hapa unaanza kufanya na kazi za gerezani kama mfungwa hapa mahabusu ahusiki sababu yeye bado ajaingia jela.

Halafu ili la chakula kupelekewa wala alijachagua ni uwezo wa jamaa zako tu mfungwa mahabusu wote wanaweza kupelekewa chakula.

Hamna sheria inayosema wanaopelekewa chakula gerezani ni mahabusu tu.

Halafu ilo la ndoo sijalisema sijui walibeba kwa kazi gani.
 
Heshima kwako nilikuwa naandaa maelezo kama hayo.....nakupa like kwa ufafanuzi mzuri!! Huyo alietoa hoja kama mnywa viroba pale stand ya Chalinze! Eti Mwanasheria na Wakili! Low IQ!
Jf watu wengine mnanipa hofu kwa uelewa wenu mdogo wa baadhi ya vitu half bila aibu unachangia tu. Iko hivi, hakuna tofauti kati ya jela na mahabusu. Ila kuna tofauti kati ya mfungwa na mahabusu.

Mfungwa keshahukumiwa na anakua jela akitumikia kifungo, huyu mle gerezani huvaa uniform maalum za gereza , hula chakula cha gereza ,hufanya kazi zote atakazopangiwa na maofisa wa gereza na anaeza hata hamishwa gereza moja kwenda jingine. Pia huyu hana access ya kwenda kutembelewa na ndugu.

MAHABUSU. Huyu wanakaa gereza moja na mfungwa, ila yeye atavaa kiraia kadri awezavyo, ndugu watampelekea chakula kila weekend na public holidays, ndugu waeza mwekea bill ya kuletea chakula toka nje kila siku, sheria yamtaka hata kama upelelezi wa kesi yake haujakamilika kila baada ya siku 14 aende mahakaman na kusomewa shtaka.

NDOO. Gerezani ndoo ndio kila kitu, twaeza sema ni zaidi ya trunker boarding school. Ndoo ndio kabati la diary ya mtuhumiwa, nguo, bakuli, ped kwa wanawake na vikoro koro vingne vinavyoruhusiwa kwa mahabusu kua navyo. Pia wakt mwingne mahabusu huzitumia kama viti vya kukalia mchana wawapo nje.
 
Kwahiyo Ni hao tu Tanzania nzima??au mmewaona wanyonge hawana magamba wezi wa pesa nchi hii hawafungwi.
 
Sioi baba angekuwa ha, au anagepata ule ubunge wa Arumeru kwa tiketi ya ccmi hii serikali wangemfanyia haya?! maana ccm kulindana ndio wenyewe.
 
Back
Top Bottom