Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 26,771
- 54,077
- Thread starter
- #21
Afu kijana huyo uta msikia single mothers wana laana, Lina jisahau ujinga wake lilio fanya.Hizi dini pia zinachangia,
Mabint wanafundishwa kuzikataa condom, vijana wanaelekezwa kutokumwagia nje.
Huwez mwambia mtu asitumie Kinga na asimwage nje wkt mtu mwnyw anajijua kbs he's not committed to marriage. yaani "Hapa nasuuza rungu TU"
Matokeo yake Ni single mothers pamoja na watoto wa mitaani.