Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 26,771
- 54,061
Maisha ni safari ndefu, kila mmoja ana namna au njia ambayo huitumia kufika aendako.
Ila katika maisha haya, kila mmoja ana wakati ambao hukiri kuwa Kuna kitu kime mkubali.
👉Waswahili Wana sema kupatia, aidha iwe kazi, masomo, michezo, ndoa na hata biashara.
Katika nyakati hizo uta jiona wewe ndo wewe, bingwa wa mabingwa, Hakuna mfikiriaji anae kuzidi.
👉Basi hapo ndo kosa linapo anzia, una Anza kukosa umakini katika baadhi ya mambo.
Kwa kuona kwamba Umesha Toboa, so there is nothing else to loose.
👉 Hapa ndo starehe za ajabu kwa wengi, kupungua kwa nidhamu katika Mambo ya mlengwa.
Nidhamu inayo semewa hapa sio shikamoo, bali utimamu stahili katika kila Jambo lako.
👉Sio ulikuwa una fungua duka lako saa 12, ghafla una Anza kuweka mfanyakazi- huku wewe uki shinda nyumbani kuangalia kina ottoman bey.
Una mke au mume, ila ndo kwanza una ji introduce kwa magagulo ya mjini.
👉Ita ku cost wewe na familia yako.
At your top omba amani na utulivu, ili uweze kuona makosa na mazuri yako.
👉Kwani uki teleza kidogo tu, unaeza usi pate chance nyingine kwa wakati sahihi.
I mean no malice to nobody.
Ila katika maisha haya, kila mmoja ana wakati ambao hukiri kuwa Kuna kitu kime mkubali.
👉Waswahili Wana sema kupatia, aidha iwe kazi, masomo, michezo, ndoa na hata biashara.
Katika nyakati hizo uta jiona wewe ndo wewe, bingwa wa mabingwa, Hakuna mfikiriaji anae kuzidi.
👉Basi hapo ndo kosa linapo anzia, una Anza kukosa umakini katika baadhi ya mambo.
Kwa kuona kwamba Umesha Toboa, so there is nothing else to loose.
👉 Hapa ndo starehe za ajabu kwa wengi, kupungua kwa nidhamu katika Mambo ya mlengwa.
Nidhamu inayo semewa hapa sio shikamoo, bali utimamu stahili katika kila Jambo lako.
👉Sio ulikuwa una fungua duka lako saa 12, ghafla una Anza kuweka mfanyakazi- huku wewe uki shinda nyumbani kuangalia kina ottoman bey.
Una mke au mume, ila ndo kwanza una ji introduce kwa magagulo ya mjini.
👉Ita ku cost wewe na familia yako.
At your top omba amani na utulivu, ili uweze kuona makosa na mazuri yako.
👉Kwani uki teleza kidogo tu, unaeza usi pate chance nyingine kwa wakati sahihi.
I mean no malice to nobody.