Hivi ni kabila la kirangi pekee linaloongoza kwa mabinti kumpeleka watoto kulelewa na Bibi zao vijijini baada ya kukorofoshana na waliowapa mimba?

Rorscharch

JF-Expert Member
Jul 22, 2013
962
2,220
Nimeiona hii Hali kwa madada wawili wa tumbo moja, wa kwanza alijifungua na baada ya kukorofoshana na mwanaume wake akampeleka mtoto kijijini ingalikuwa mwanaume alikuwa anaweza kumtunza mtoto vizuri tu

Mdogo wake naye hivyo hivyo baada ya kugombana na mwanaume wake akachukua mtoto akampeleka kumficha kijijini

Hizi tabia kwa upande wangu naona kama za kibinafsi sana; yaani kama Baba ana uwezo wa kumtunza mwanae Bora hata umuachie akakae na Bibi mzaa Baba (maana mwanaume anauwezo wa kutoa matunzo ingalikuwa wewe mwanamke imekushinda)
 
Makabila yote ya Dodoma ndo zao hizo, Nambari wani Ni Wagogo maana Hadi wanaume hurudisha familia nzima nyumbani ili wakaombe ombe dar
 
Wanawake wa kirangi hupenda kuwa watawala ndani ya nyumba!na wengi Wana mechanisms ya kufanya hivyo kupitia mabibi,mashangazi na mama zao!inahitajika nguvu kubwa hasa ya kiroho ili kuwa sauti ndani ya nyumba!!
Ukizingua wanachukua watoto na kupeleka kwao!hawataki uishi nao wewe!
 
Wanawake wa kirangi hupenda kuwa watawala ndani ya nyumba!na wengi Wana mechanisms ya kufanya hivyo kupitia mabibi,mashangazi na mama zao!inahitajika nguvu kubwa hasa ya kiroho ili kuwa sauti ndani ya nyumba!!
Ukizingua wanachukua watoto na kupeleka kwao!hawataki uishi nao wewe!
Kama wapo hvo warangi, basi hawawez kuishi na mwanaume wa kanda ya ziwa victoria.
 
Back
Top Bottom