Hivi kipande cha SGR kutoka Dodoma mpaka Singida kina kamilika lini?

Sheffer95

JF-Expert Member
Mar 16, 2020
219
569
Nimebaki najiuliza ni kama watanzania tumepumbazwa au tumeridhika na kukamilika kwa kipande cha kutoka Dar es Salaam mpaka Dodoma

Mimi ningependa kujua hivi kipande cha sgr kutoka dodoma mpaka singida ujenzi wake umefikia asilimia ngapi?,lini kina kamilika?

Na kwanini unakuta muda mwingi kipande cha Isaka mpaka Mwanza kinazungumziwa kuwa kinakaribia kukamilika wakati hichi kiunganishi cha muhimu hakizungumziwi
 
Nimebaki najiuliza ni kama watanzania tumepumbazwa au tumeridhika na kukamilika kwa kipande cha kutoka Dar es Salaam mpaka Dodoma

Mimi ningependa kujua hivi kipande cha sgr kutoka dodoma mpaka singida ujenzi wake umefikia asilimia ngapi?,lini kina kamilika?

Na kwanini unakuta muda mwingi kipande cha Isaka mpaka Mwanza kinazungumziwa kuwa kinakaribia kukamilika wakati hichi kiunganishi cha muhimu hakizungumziwi
Kama unamaanisha Makotopola tayari kilishakamilika. SGR haindi hadi Singida mjini bali inapita Makotopola na Manyoni. Kituo kikubwa cha Singida nafikiri ni hicho cha Makotopola.
 
Nimebaki najiuliza ni kama watanzania tumepumbazwa au tumeridhika na kukamilika kwa kipande cha kutoka Dar es Salaam mpaka Dodoma

Mimi ningependa kujua hivi kipande cha sgr kutoka dodoma mpaka singida ujenzi wake umefikia asilimia ngapi?,lini kina kamilika?

Na kwanini unakuta muda mwingi kipande cha Isaka mpaka Mwanza kinazungumziwa kuwa kinakaribia kukamilika wakati hichi kiunganishi cha muhimu hakizungumziwi
2030
 
Mwezi WA pili lakini hawakutaja mwaka .My take
Mwigulu amechukua hundi nyingine Italy Kwa kipande hicho hicho so soon kitakuwa tayari .Tuwe na Ka uvumilivu.
 
Nimebaki najiuliza ni kama watanzania tumepumbazwa au tumeridhika na kukamilika kwa kipande cha kutoka Dar es Salaam mpaka Dodoma

Mimi ningependa kujua hivi kipande cha sgr kutoka dodoma mpaka singida ujenzi wake umefikia asilimia ngapi?,lini kina kamilika?

Na kwanini unakuta muda mwingi kipande cha Isaka mpaka Mwanza kinazungumziwa kuwa kinakaribia kukamilika wakati hichi kiunganishi cha muhimu hakizungumziwi
JPM Akifufuka,ila Kwa Hali ilivyo, imekula kwetu
 
Nimebaki najiuliza ni kama watanzania tumepumbazwa au tumeridhika na kukamilika kwa kipande cha kutoka Dar es Salaam mpaka Dodoma

Mimi ningependa kujua hivi kipande cha sgr kutoka dodoma mpaka singida ujenzi wake umefikia asilimia ngapi?,lini kina kamilika?

Na kwanini unakuta muda mwingi kipande cha Isaka mpaka Mwanza kinazungumziwa kuwa kinakaribia kukamilika wakati hichi kiunganishi cha muhimu hakizungumziwi
kipande cha isaka mwanza kipo 66% kipande cha dodoma tabora kipo 57% na tayari kipo mkoa wa singida ila hakipiti singida mjini
 
Gentleman ,
kinachoendelea hivi sasa ni zoezi la uhakiki na ulipaji fidia wananchi katika maeneo ambayo yatapita reli reli hiyo ya kisasa, lakin pia katika maeneo yatakayotumika kama kambi za kuhifadhia vifaa vya ujenzi.

kama taifa,
yafaa kuwashukuru waTanzania wenzetu wazalendo sana, hususani katika maeneo ya Bahi, Maktupora, Kintinku, Saranda, Manyoni n.k kwa namna walivyo wepesi kutoa sehemu za maeneo ya ardhi zao za mashamba na makazi ili mradi huu muhimu sana wa kimkakakati uwezo kujengwa, na kuwanufaisha waTanzania wote kijamii, kisiasa na kiuchumi.

Mradi huu mkubwa sana unatarajiwa kukamilika 2030🐒
 
Back
Top Bottom