Kituko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2009
- 9,555
- 9,356
Kaka jitahidi muwe wawili au watatu kusaidiana hiyo safari ni safari nzuri lakini inafikia kipindi utatamani utembee kwa miguu
Maandalizi ya safari utaanza na Service yako ya gari vizuri, kisha utalipeleka gari traffic pale makao makuu kwa wakaguzi wa gari (Vehicle Inspector) ukishapata hiyo Report yao, utaenda nayo INTERPOL (pale Wizara ya Mambo ya Ndani) wao watakupa Clearance report kuwa hiyo gari ni yako na haina tatizo lolote hivyo kokote utakofika walihesabie kuwa hilo gari sio la wizi, HIYO REPORT YA INTERPOL NI MUHIMU SANA SAA NYINGINE UNAWEZA KUPATA USUMBUFU UKIWA HAUNA HIYO
Safari za mbali hazihitaji speed zaidi ya 100km/hr , ukiwa na speed kubwa zaidi ya hiyo utahitaji concentration kubwa na utachoka mapema,
Kwanza Ipange safari yako kwamba siku ya kwanza utalala Tunduma, ili asubuhi uanze na paper work, kwa upande wa Tanzania watataka kuona karatasi zote pamoja na hiyo interpol report, KADI YAKO ORIGINAL YA GARI ITABAKI PALE BORDER UPANDE WA TANZANIA (Custom),
Zambia wanakuwa na kausumbufu kadogo, hakikisha gari lako umelibandika vi reflector vidogo. Mbele vyeupe na Nyuma vyekundu, Zambia utalipia insurance kulingana utakaa siku ngapi hapo (Transit status), kisha utalipia Carbon Tax, na vitu vingine vidogvidogo, ukianza procedure hizo za paper work say saa moja na nusu au saa mbili basi ikifika saa tano utakuwa umemaliza na unaweza kuanza safari yako
Umbali wa kutoka Tunduma/ Nakonde mpaka Lusaka unaweza kukuchukua masaa 18 mpaka 20, kuna sehemu za kujaza mafuta kwenye miji mikubwa ya njiani kama Serenje, KapiliMposhi nk, uwe makini na speed kwa upande wa Zambia hasa kutoka Tunduma/Nakonde mpaka Kapilimposhi njia sio nzuri sana,
Kutoka Lusaka njia nzuri ni ya kupitia Botswana, hivyo utaelekea njia ya Livingstone mpaka Kazungula hapo kuna kivuko cha kuingia Botswana, ukishaingia Botswana utaitafuta Gaborone kwa kupitia miji ya Maun, Serowe, Francistown, Palapye, Mahalapye, Mochudi kisha Gabs,
Kutoka Gaborone mpaka Border ya South africa ni Umbali wa kutoka Mwenge mpaka Posta Mpya, na hiyo Border inakuingiza moja kwa moja Gauteng Provence ambayo ndio ina Jos na Pretoria, kutoka Gabs mpaka Jos ni six hrs
PLZ: Kwa safari ndefu kama hizo usisahau Spare tyres hata mbili, spanner zote muhimu zinazofungua gari yako Fix na combine, wheel spanner ile ya msalaba pamoja na jack, set ya Screw drivers, set ya fuse zinazotumika kwenye gari yako, hydraulic na engine oil, ikiwezekana set ya bulb pia uwe nayo
Kidumu cha maji na dumu la liter 20 la Petrol,
Maandalizi ya safari utaanza na Service yako ya gari vizuri, kisha utalipeleka gari traffic pale makao makuu kwa wakaguzi wa gari (Vehicle Inspector) ukishapata hiyo Report yao, utaenda nayo INTERPOL (pale Wizara ya Mambo ya Ndani) wao watakupa Clearance report kuwa hiyo gari ni yako na haina tatizo lolote hivyo kokote utakofika walihesabie kuwa hilo gari sio la wizi, HIYO REPORT YA INTERPOL NI MUHIMU SANA SAA NYINGINE UNAWEZA KUPATA USUMBUFU UKIWA HAUNA HIYO
Safari za mbali hazihitaji speed zaidi ya 100km/hr , ukiwa na speed kubwa zaidi ya hiyo utahitaji concentration kubwa na utachoka mapema,
Kwanza Ipange safari yako kwamba siku ya kwanza utalala Tunduma, ili asubuhi uanze na paper work, kwa upande wa Tanzania watataka kuona karatasi zote pamoja na hiyo interpol report, KADI YAKO ORIGINAL YA GARI ITABAKI PALE BORDER UPANDE WA TANZANIA (Custom),
Zambia wanakuwa na kausumbufu kadogo, hakikisha gari lako umelibandika vi reflector vidogo. Mbele vyeupe na Nyuma vyekundu, Zambia utalipia insurance kulingana utakaa siku ngapi hapo (Transit status), kisha utalipia Carbon Tax, na vitu vingine vidogvidogo, ukianza procedure hizo za paper work say saa moja na nusu au saa mbili basi ikifika saa tano utakuwa umemaliza na unaweza kuanza safari yako
Umbali wa kutoka Tunduma/ Nakonde mpaka Lusaka unaweza kukuchukua masaa 18 mpaka 20, kuna sehemu za kujaza mafuta kwenye miji mikubwa ya njiani kama Serenje, KapiliMposhi nk, uwe makini na speed kwa upande wa Zambia hasa kutoka Tunduma/Nakonde mpaka Kapilimposhi njia sio nzuri sana,
Kutoka Lusaka njia nzuri ni ya kupitia Botswana, hivyo utaelekea njia ya Livingstone mpaka Kazungula hapo kuna kivuko cha kuingia Botswana, ukishaingia Botswana utaitafuta Gaborone kwa kupitia miji ya Maun, Serowe, Francistown, Palapye, Mahalapye, Mochudi kisha Gabs,
Kutoka Gaborone mpaka Border ya South africa ni Umbali wa kutoka Mwenge mpaka Posta Mpya, na hiyo Border inakuingiza moja kwa moja Gauteng Provence ambayo ndio ina Jos na Pretoria, kutoka Gabs mpaka Jos ni six hrs
PLZ: Kwa safari ndefu kama hizo usisahau Spare tyres hata mbili, spanner zote muhimu zinazofungua gari yako Fix na combine, wheel spanner ile ya msalaba pamoja na jack, set ya Screw drivers, set ya fuse zinazotumika kwenye gari yako, hydraulic na engine oil, ikiwezekana set ya bulb pia uwe nayo
Kidumu cha maji na dumu la liter 20 la Petrol,