Dar to Pretoria na gari private: Ushauri na changamoto zake plus gharama

Kaka jitahidi muwe wawili au watatu kusaidiana hiyo safari ni safari nzuri lakini inafikia kipindi utatamani utembee kwa miguu

Maandalizi ya safari utaanza na Service yako ya gari vizuri, kisha utalipeleka gari traffic pale makao makuu kwa wakaguzi wa gari (Vehicle Inspector) ukishapata hiyo Report yao, utaenda nayo INTERPOL (pale Wizara ya Mambo ya Ndani) wao watakupa Clearance report kuwa hiyo gari ni yako na haina tatizo lolote hivyo kokote utakofika walihesabie kuwa hilo gari sio la wizi, HIYO REPORT YA INTERPOL NI MUHIMU SANA SAA NYINGINE UNAWEZA KUPATA USUMBUFU UKIWA HAUNA HIYO

Safari za mbali hazihitaji speed zaidi ya 100km/hr , ukiwa na speed kubwa zaidi ya hiyo utahitaji concentration kubwa na utachoka mapema,
Kwanza Ipange safari yako kwamba siku ya kwanza utalala Tunduma, ili asubuhi uanze na paper work, kwa upande wa Tanzania watataka kuona karatasi zote pamoja na hiyo interpol report, KADI YAKO ORIGINAL YA GARI ITABAKI PALE BORDER UPANDE WA TANZANIA (Custom),

Zambia wanakuwa na kausumbufu kadogo, hakikisha gari lako umelibandika vi reflector vidogo. Mbele vyeupe na Nyuma vyekundu, Zambia utalipia insurance kulingana utakaa siku ngapi hapo (Transit status), kisha utalipia Carbon Tax, na vitu vingine vidogvidogo, ukianza procedure hizo za paper work say saa moja na nusu au saa mbili basi ikifika saa tano utakuwa umemaliza na unaweza kuanza safari yako

Umbali wa kutoka Tunduma/ Nakonde mpaka Lusaka unaweza kukuchukua masaa 18 mpaka 20, kuna sehemu za kujaza mafuta kwenye miji mikubwa ya njiani kama Serenje, KapiliMposhi nk, uwe makini na speed kwa upande wa Zambia hasa kutoka Tunduma/Nakonde mpaka Kapilimposhi njia sio nzuri sana,
Kutoka Lusaka njia nzuri ni ya kupitia Botswana, hivyo utaelekea njia ya Livingstone mpaka Kazungula hapo kuna kivuko cha kuingia Botswana, ukishaingia Botswana utaitafuta Gaborone kwa kupitia miji ya Maun, Serowe, Francistown, Palapye, Mahalapye, Mochudi kisha Gabs,

Kutoka Gaborone mpaka Border ya South africa ni Umbali wa kutoka Mwenge mpaka Posta Mpya, na hiyo Border inakuingiza moja kwa moja Gauteng Provence ambayo ndio ina Jos na Pretoria, kutoka Gabs mpaka Jos ni six hrs

PLZ: Kwa safari ndefu kama hizo usisahau Spare tyres hata mbili, spanner zote muhimu zinazofungua gari yako Fix na combine, wheel spanner ile ya msalaba pamoja na jack, set ya Screw drivers, set ya fuse zinazotumika kwenye gari yako, hydraulic na engine oil, ikiwezekana set ya bulb pia uwe nayo
Kidumu cha maji na dumu la liter 20 la Petrol,
 
Asante sana. Kwa hyo pesa ya kitanzania natakiwa niandae sh ngapi? Samahani kwa usumbufu. Mimi nina ujasiri wa kwenda popote nifanya majaribio ya kwenda Uganda nikiwa na miaka 22,na nikapasua, Nb kwa hy mi nikipata Aidia nakwenda kabisa. Nb niulizeni Swali lolote la Ug ntawajibu hata kwa lugha ya Kiganda. Tutabonga
Gwe sebo
 
Kaka jitahidi muwe wawili au watatu kusaidiana hiyo safari ni safari nzuri lakini inafikia kipindi utatamani utembee kwa miguu

Maandalizi ya safari utaanza na Service yako ya gari vizuri, kisha utalipeleka gari traffic pale makao makuu kwa wakaguzi wa gari (Vehicle Inspector) ukishapata hiyo Report yao, utaenda nayo INTERPOL (pale Wizara ya Mambo ya Ndani) wao watakupa Clearance report kuwa hiyo gari ni yako na haina tatizo lolote hivyo kokote utakofika walihesabie kuwa hilo gari sio la wizi, HIYO REPORT YA INTERPOL NI MUHIMU SANA SAA NYINGINE UNAWEZA KUPATA USUMBUFU UKIWA HAUNA HIYO

Safari za mbali hazihitaji speed zaidi ya 100km/hr , ukiwa na speed kubwa zaidi ya hiyo utahitaji concentration kubwa na utachoka mapema,
Kwanza Ipange safari yako kwamba siku ya kwanza utalala Tunduma, ili asubuhi uanze na paper work, kwa upande wa Tanzania watataka kuona karatasi zote pamoja na hiyo interpol report, KADI YAKO ORIGINAL YA GARI ITABAKI PALE BORDER UPANDE WA TANZANIA (Custom),

Zambia wanakuwa na kausumbufu kadogo, hakikisha gari lako umelibandika vi reflector vidogo. Mbele vyeupe na Nyuma vyekundu, Zambia utalipia insurance kulingana utakaa siku ngapi hapo (Transit status), kisha utalipia Carbon Tax, na vitu vingine vidogvidogo, ukianza procedure hizo za paper work say saa moja na nusu au saa mbili basi ikifika saa tano utakuwa umemaliza na unaweza kuanza safari yako

Umbali wa kutoka Tunduma/ Nakonde mpaka Lusaka unaweza kukuchukua masaa 18 mpaka 20, kuna sehemu za kujaza mafuta kwenye miji mikubwa ya njiani kama Serenje, KapiliMposhi nk, uwe makini na speed kwa upande wa Zambia hasa kutoka Tunduma/Nakonde mpaka Kapilimposhi njia sio nzuri sana,
Kutoka Lusaka njia nzuri ni ya kupitia Botswana, hivyo utaelekea njia ya Livingstone mpaka Kazungula hapo kuna kivuko cha kuingia Botswana, ukishaingia Botswana utaitafuta Gaborone kwa kupitia miji ya Maun, Serowe, Francistown, Palapye, Mahalapye, Mochudi kisha Gabs,

Kutoka Gaborone mpaka Border ya South africa ni Umbali wa kutoka Mwenge mpaka Posta Mpya, na hiyo Border inakuingiza moja kwa moja Gauteng Provence ambayo ndio ina Jos na Pretoria, kutoka Gabs mpaka Jos ni six hrs

PLZ: Kwa safari ndefu kama hizo usisahau Spare tyres hata mbili, spanner zote muhimu zinazofungua gari yako Fix na combine, wheel spanner ile ya msalaba pamoja na jack, set ya Screw drivers, set ya fuse zinazotumika kwenye gari yako, hydraulic na engine oil, ikiwezekana set ya bulb pia uwe nayo
Kidumu cha maji na dumu la liter 20 la Petrol,
Ushauri wa maana huu
 
Sheria za Barabarani ni kama za huku tu wala hakuna shida ni kama za huku kwetu tu, Lakini kwa safari za mbali mawasiliano yako na gari ya mbele na nyuma yako ni muhimu sana
1: Usiwashe full light ukiwa nyma ya gari au kama mbele kuna gari inakuja
2: Kama gari ya nyuma yako iwewasha Full light na inakusumbua basi wewe washa hazard light, kisha zima na washa tena, madereva wengi wanaosafiri safari za mbali wanajua hiyo sign na ataweka taa zake kwenye beam
3: usiipite gari ya mbele yako kwenye Blind corner na ukiwa unataka kuipita mtaarifu kuwa unataka kupita, na kama akikuwashia indicator ya kulia basi usipite njia sio salama, na akikuwashia ya kushoto basi njia ni salama na unaweza kupita Madereva wa Maroli wako makini sana na wana ushirikiano mzuri sana Barabarani,
4: Usiovertake kwenye maeneo yenye center Single au double white Solid lines, Zambia wako makini sana kwenye hilo.
5: Angalia sana vibao vya speed, Zambia na South wako makini sana kwenye speed Limits
6: South wako makini sana na Yellow line, usipite wala kupaki gari nje ya hiyo Yellow line
7: Zambia, Botswana na hata South ni shida kumjua traffic police kwani hawana uniform za tofauti kama hizi za TZ wao wanavaa kama Police wa kawaida tu
8: Zambia na Botswana hawana shida sana ya Barabara, lakini kwa South barabara zao ni pana sana na ziko complex kiasi fulani, yaani zambia na Botswana huwezi kusumbuka ila kwa South uwe makini, kuna sehemu ukikosea kupita basi Uturn ya kukurudisha ulipokosea ina umbali wa kutoka Dar mpaka Chalinze
 
Nakonde vuka asubuhi na malori ili ukalale Lusaka Kutoka Maana ukitoka hapo km 100 panaitwa Isoka miji yao ipo kwa ndani mnapita nje km 100 zifuatazo panaitwa Chinsari ukitoka hapo kuna mji mwingine unaitwa Mpika hapo kunywa chai.ukitoka hapo tembea kuna mji unaitwa Serenje pita chakula cha mchana kale Mkushi panaitwa Food coart ni njiani tu.ukitoka hapo unaingia kapili mposhi ila ukifika tu kapili mposhi kuelekea Lusaka kunakuwaga na tochi ila huku km 800 zote hazina tochi.tochi nyingi km unaingia Lusaka epuka kupakia abiria ni wezi na polisi wa Zambia wasumbufu andaa rushwa 5 pin na ten pin unaangalia anakujaje akiomba ya soda mpe 5.Usiache kufunga seatbelt usivae sandalz wanajifanya wanafungua mlango kukusalimu wanaangalia sandalz
 
Kutokea Serenje mpaka mkushi njia ina tuta nyembamba ukiwa unapishana na lori punguza sana mwendo wana mchezo wa kukanyaga chaki kujihami na kutoka Kapili mposhi hadi Lusaka km ukikuta mvua usikimbie barabara inateleza sana
 
Kaka jitahidi muwe wawili au watatu kusaidiana hiyo safari ni safari nzuri lakini inafikia kipindi utatamani utembee kwa miguu

Maandalizi ya safari utaanza na Service yako ya gari vizuri, kisha utalipeleka gari traffic pale makao makuu kwa wakaguzi wa gari (Vehicle Inspector) ukishapata hiyo Report yao, utaenda nayo INTERPOL (pale Wizara ya Mambo ya Ndani) wao watakupa Clearance report kuwa hiyo gari ni yako na haina tatizo lolote hivyo kokote utakofika walihesabie kuwa hilo gari sio la wizi, HIYO REPORT YA INTERPOL NI MUHIMU SANA SAA NYINGINE UNAWEZA KUPATA USUMBUFU UKIWA HAUNA HIYO

Safari za mbali hazihitaji speed zaidi ya 100km/hr , ukiwa na speed kubwa zaidi ya hiyo utahitaji concentration kubwa na utachoka mapema,
Kwanza Ipange safari yako kwamba siku ya kwanza utalala Tunduma, ili asubuhi uanze na paper work, kwa upande wa Tanzania watataka kuona karatasi zote pamoja na hiyo interpol report, KADI YAKO ORIGINAL YA GARI ITABAKI PALE BORDER UPANDE WA TANZANIA (Custom),

Zambia wanakuwa na kausumbufu kadogo, hakikisha gari lako umelibandika vi reflector vidogo. Mbele vyeupe na Nyuma vyekundu, Zambia utalipia insurance kulingana utakaa siku ngapi hapo (Transit status), kisha utalipia Carbon Tax, na vitu vingine vidogvidogo, ukianza procedure hizo za paper work say saa moja na nusu au saa mbili basi ikifika saa tano utakuwa umemaliza na unaweza kuanza safari yako

Umbali wa kutoka Tunduma/ Nakonde mpaka Lusaka unaweza kukuchukua masaa 18 mpaka 20, kuna sehemu za kujaza mafuta kwenye miji mikubwa ya njiani kama Serenje, KapiliMposhi nk, uwe makini na speed kwa upande wa Zambia hasa kutoka Tunduma/Nakonde mpaka Kapilimposhi njia sio nzuri sana,
Kutoka Lusaka njia nzuri ni ya kupitia Botswana, hivyo utaelekea njia ya Livingstone mpaka Kazungula hapo kuna kivuko cha kuingia Botswana, ukishaingia Botswana utaitafuta Gaborone kwa kupitia miji ya Maun, Serowe, Francistown, Palapye, Mahalapye, Mochudi kisha Gabs,

Kutoka Gaborone mpaka Border ya South africa ni Umbali wa kutoka Mwenge mpaka Posta Mpya, na hiyo Border inakuingiza moja kwa moja Gauteng Provence ambayo ndio ina Jos na Pretoria, kutoka Gabs mpaka Jos ni six hrs

PLZ: Kwa safari ndefu kama hizo usisahau Spare tyres hata mbili, spanner zote muhimu zinazofungua gari yako Fix na combine, wheel spanner ile ya msalaba pamoja na jack, set ya Screw drivers, set ya fuse zinazotumika kwenye gari yako, hydraulic na engine oil, ikiwezekana set ya bulb pia uwe nayo
Kidumu cha maji na dumu la liter 20 la Petrol,
Umeongea vzr mpaka nikajihisi kesho mimi ndo naondoka.
 
nipe bei kamili na passport sina tupeni process na sisi twende nje ya nchi!
Passport 50,000 tu ukitimiza mashariti yao... Mintakushika mkono ntakuongoza hata kwa bus tutaenda.
Kazi kwako kusak passport
Nauli pesa ya mahitaji ya kutalii.
 
Passport 50,000 tu ukitimiza mashariti yao... Mintakushika mkono ntakuongoza hata kwa bus tutaenda.
Kazi kwako kusak passport
Nauli pesa ya mahitaji ya kutalii.
Andaa na pesa ya kununua vitu kdg vya biashara wanavitu vizuri sana hutojuta.
 
Back
Top Bottom