exit
JF-Expert Member
- Feb 14, 2013
- 1,670
- 1,808
Asisahau kubandika reflects sticker kwenye bumper mbele na nyuma. Maana watamsumbua polisi sana.Mkuu zingatia tairi za hiyo gari usitumie ilizokuja na gari pitia Lusaka hapo Nakonde kuna road toll,bima,council hizo. kukata nadhani hazizidi 100 usd unapita Living Stone kazungura kuelekea Botswana kuingia Botswana unalipia usd 50 kwa kuingia na utakaporudi hautalipia tena utaruhusiwa kupita hizo karatasi kupata ni saa moja tuu pita boarder iliyo karibu na Gaborone kuingia haina magari mengi hata utakapotoka. South Africa kuingia haulipii kitu kupata document pale umbali kutoka Tunduma mpaka pretoria ni 2700 km..