BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,767
- 23,195
Yaani gharama za kwenda anakata go n return (ndege)
Hapo hujaangalia za kurudi na service ya gari yake akiwa bongo kabla ya safari, akiwa SA kujiandaa kurudi na akishafika bongo
Hapo hujaangalia za kurudi na service ya gari yake akiwa bongo kabla ya safari, akiwa SA kujiandaa kurudi na akishafika bongo
Gari ya cc 2.5 appx utatembea 8-9 km kwa kutumia lita 1 ya Petroli, sasa piga hesabu kutoka Dar mpaka Pretoria ni kilomita ngapi kwa njia utakazo pita? Hapo utapata atleast an idea ya kujua utatumia Petrol lita ngapi kwenda na kurudi.
Mkuu nakushauri hizo gharama zote utakazotumia njiani jumlisha na petroli ni bora ungeziunganisha ukapanda ndege