The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,939
Jengeni stadiums za maana, sio vichekesho vya 30,000 seaters. Na Mbona inajengwa kienyeji sana.
Nyang'au Teargas hebu msikilize mkenya mwenzako anavyoongea hapa😁😁
View: https://m.youtube.com/watch?v=tNoeS7nUnoI
Ni miaka mingi sana tunayo stadium ya 60,000 au unajifanya hujui?Jengeni stadiums za maana, sio vichekesho vya 30,000 seaters. Na Mbona inajengwa kienyeji sana.
Tulia kama unanyolewa! Alichokiri rais wako hadharani ni project iliyokuwa ikijengwa kitambo, mbumbumbu kama wewe mlipinga kila tulichoa waambia.Jengeni stadiums za maana, sio vichekesho vya 30,000 seaters. Na Mbona inajengwa kienyeji sana.
Lakini wa kwetu tofauti na nyie ni ya muchina sio muda kila kitu Kenya kitakuwa muchina owned Hadi flyover GOK mnashindwa kujenga wachina wanajengea Kisha kuwatoza mileleJengeni stadiums za maana, sio vichekesho vya 30,000 seaters. Na Mbona inajengwa kienyeji sana.
Huyo fala kwani bado anaongea? Kapigwa na FIFA kaja kumalizwa na rais wake na bado anaongea, nadhani sasa mnaelewa kwnn nilimpiga ignore, ni kwasababu chizi huyo, wenzake wote wametulia kwanza wanajitafakari lkn huyo kichaa bado anaongea.Tulia kama unanyolewa! Alichokiri rais wako hadharani ni project iliyokuwa ikijengwa kitambo, mbumbumbu kama wewe mlipinga kila tulichoa waambia.