Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkuu nlikuwa cjakuelewa kumbe unawang'ata af unawapuliza km panya
buddy i never said n slum m naangaliaga tu ila hii n battle so everyone anawaza ur weakness kuliko ur strength ayo makazi ya kisumu me nimeona ni kawaida hata korea kuna mrundikano wa nyumba ila kama mtu anapata umeme maji hospital i see no problem hata yuko anaishi kwenye so called slum so i think makazi ichoboy aliyoyaleta hayana tatizo kwangu mkuu nimeona yameendelezwa lami safi m sijaona tatizo kasoro tu izo nyumba na vibanda vya bati ndio vinazingua ila otherwise ni sehemu nzury kama watu waki work hard wakaendeleza makazi yao kama serikali inavozidi kuwa support

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kuna mtu mwingine amegundua hii design kwenye sgr stations? It's the coat of arms
vd.PNG
1577482041943.png
 
So wataka shindana na dar kwenye density sio
Hakuna density hapo, nimeona picha zako, and I know Dar proper! it's buildings (flats mostly) mumekusanya sehemu moja kwa wingi., and mere camera angle, it's like I take aerial view ya Zimmerman estate or parts of eastlands now, not those unapdated pics kwa google, utaona density kibao!! Or I take Nairobi old cbd from Ngara aerial view at some angle, itaonekana densely arranged., swara wewe., Dar ni mboga!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Weka facts to prove me wrong., hii ukweli hampendi hapa nawajua, ila sio wote, kuna wengi wapenda ukweli, haswa kwa jukwa za Tz., watu kama wewe mtawaita wasaliti ama wasio wazalendo., bure kabisa!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ingia Google Map search slums in Dar es salaam kisha ulete screenshot hapa then ingia tena andika slums in Nairobi kisha lete screenshot hapa tuone ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Yaani mnaforce kitu ambacho hakipo tuseme kipo,
Kwani sisi ndio tumeleta slums na flying toilets Nairobi,
Bure kabisa.
 
What is the population in those Kenyan slums?., check 2018/2019 data., weka aerial view tuone size in relation to the whole city., wachana na hiyo Dar yenyu, fanya Nairobi pekee. Dar naijua vizuri., sitaki useme ni propaganda ama nime cook anything., ukweli peupe. Najua kuna slums si pingi..,
Ingia Google Map search slums in Dar es salaam kisha ulete screenshot hapa then ingia tena andika slums in Nairobi kisha lete screenshot hapa tuone
Yaani mnaforce kitu ambacho hakipo tuseme kipo,
Kwani sisi ndio tumeleta slums na flying toilets Nairobi,
Bure kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
What is the population in those Kenyan slums?., check 2018/2019 data., weka aerial view tuone size in relation to the whole city., wachana na hiyo Dar yenyu, fanya Nairobi pekee. Dar naijua vizuri., sitaki useme ni propaganda ama nime cook anything., ukweli peupe. Najua kuna slums si pingi..,

Sent using Jamii Forums mobile app
Slums za Dar ni zipi hizo ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Eti stage ya kisumu!., chukua aerial view ya stage yote tuone ukweli wewe CCM propagandist. Cherry picking pictures out of context ku dhalilisha Kenya kwa walala hoi wenzako haitobadilisha ukweli., pole kaka Kenya sio size yenyu, ukatae ukubali, upende usipende.,

Weka aerial view ya hiyo Kisumu stage kama una uhakika, I dare u.,

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani hujui mtanzania na aerial view ni kama maji na mafuta? Kama za kwao ndio hawaeki zetu zenye ziko a bit organised ndio wataweka? Waulize wakuwekee aerial views za Dar estates utakutana na matusi ushangae
 
Now look at what you call a city in 21st century?., what percentage is slumish?., weka aerial view vs Nairobi..., Google earth ukitaka., Cities have slums, from Rio de Janeiro to Johannesburg, Cairo to Manila., difference ni percentage of the populace.,
Dar mpajenge kwanza ndio uongee View attachment 1305227View attachment 1305228View attachment 1305229View attachment 1305230View attachment 1305231View attachment 1305232

Sent using Jamii Forums mobile app
Utaambiwa hizo ni picha za Congo na Nigeria ๐Ÿ˜‚
 
Eti stage ya kisumu!., chukua aerial view ya stage yote tuone ukweli wewe CCM propagandist. Cherry picking pictures out of context ku dhalilisha Kenya kwa walala hoi wenzako haitobadilisha ukweli., pole kaka Kenya sio size yenyu, ukatae ukubali, upende usipende.,

Weka aerial view ya hiyo Kisumu stage kama una uhakika, I dare u.,

Sent using Jamii Forums mobile app
So umepanic tayar๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Now look at what you call a city in 21st century?., what percentage is slumish?., weka aerial view vs Nairobi..., Google earth ukitaka., Cities have slums, from Rio de Janeiro to Johannesburg, Cairo to Manila., difference ni percentage of the populace.,
Dar mpajenge kwanza ndio uongee View attachment 1305227View attachment 1305228View attachment 1305229View attachment 1305230View attachment 1305231View attachment 1305232

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa kupandisha hasira kwann usichoke picha za Congo uzilete pia hapa๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Hakuna density hapo, nimeona picha zako, and I know Dar proper! it's buildings (flats mostly) mumekusanya sehemu moja kwa wingi., and mere camera angle, it's like I take aerial view ya Zimmerman estate or parts of eastlands now, not those unapdated pics kwa google, utaona density kibao!! Or I take Nairobi old cbd from Ngara aerial view at some angle, itaonekana densely arranged., swara wewe., Dar ni mboga!

Sent using Jamii Forums mobile app
Uhahahhaa hakuna density au sio๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ yani dar ufananishe density na Nairobi ww ni mgonjwa bro๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom