Aliyemuoa mtoto wa Rais Hussein Mwinyi ndio kaoa,sie wengine tulioa ili mradi tusije kufa bila kuacha watoto

mdukuzi

JF-Expert Member
Jan 4, 2014
18,106
42,811
Mwanamke anakupa stress ukienda kwao mlango wa jikoni ukiupiga teke unadondoka.

Choo mlangoni wameweka gunia au khanga

Kanyumba kenyewe ka slope sebuleni ndio stoo ya kutunza udaga.

Ukimleta mjini akaanza kutakata anaanza maringo bila kujali umemsitiri.

Huyu mwamba wa Arusha aliyeoa mtoto wa Rais hata mbinguni kuna kiwanja chake,katupa somo wanaume,bora ufe bachelor kuliko kuoa familia ya ovyo,poverty cycle haitaisha kwenye ukoo wenu.

Mliooa familia duni poleni ,mliozaliwa familia duni pia poleni,mlaumu mama yako kuolewa na fukara.

Break the chain.
usioe wala kuolewa na lofa

Hakuna upungufu wa nguvu za kiume ni kukosa hela.
Hakuna mwanamke mwenye kiuno kigumu au kukosa utelezi ni madeni ya viccoba yanawakata stimu
1722140537568.jpg
 
Mwanamke anakupa stress ukienda kwao mlango wa jikoni ukiupiga teke unadondoka.

Choo mlangoni wameweka gunia au khanga

Kanyumba kenyewe ka slope sebuleni ndio stoo ya kutunza udaga.

Ukimleta mjini akaanza kutakata anaanza maringo bila kujali umemsitiri.

Huyu mwamba wa Arusha aliyeoa mtoto wa Rais hata mbinguni kuna kiwanja chake,katupa somo wanaume,bora ufe bachelor kuliko kuoa familia ya ovyo,poverty cycle haitaisha kwenye ukoo wenu.
Daaah 😔

Uko wapi.....
 
Ameoa shida sio raha hujui tu umewahi kuchumbia matajiri wewe mie nimewahi kuwa mtu wa tajiri . Wanakaraha zao sana tu , unyumba zero , wanapenda kukunyanyapa utaona tu wana sign zao , wanakera unaweza kukuta friji imejaa ila njaa huna , ni vituko sana , wanakufanyia kama familia ikishakuwa ijioni usikae nao wewe kula ondoka, nenda chumbani.

Saa ya sherehe lazima muende wote unaburuzwa tu maana huna raha na mume wako, unaingia magari ya kisasa , unakula sehemu zakisasa ila huna raha yamoyo. Ukiwa na wakaida tu ni raha unaenjoy unafurahia kile kidogo alichonacho nao shida ipo hauopo pekee yako . Ndio kero kwa wanaume maskini
 
Pale kwa mwinyi unaoa tu suala la makazi msosi unamuachia baba mkwe akikataa unamchukua mtoto wao unaenda kuishi nae kwenye chumba kimoja cha kupanga uswahili tuone kama dingi yake atakubali VIP protection ifanyike kwenye chumba kimoja
 
Mwanamke anakupa stress ukienda kwao mlango wa jikoni ukiupiga teke unadondoka.

Choo mlangoni wameweka gunia au khanga

Kanyumba kenyewe ka slope sebuleni ndio stoo ya kutunza udaga.

Ukimleta mjini akaanza kutakata anaanza maringo bila kujali umemsitiri.

Huyu mwamba wa Arusha aliyeoa mtoto wa Rais hata mbinguni kuna kiwanja chake,katupa somo wanaume,bora ufe bachelor kuliko kuoa familia ya ovyo,poverty cycle haitaisha kwenye ukoo wenu.
Bila picha ni uzushi tu
 
Back
Top Bottom