uwekezaji

  1. Deinstein 01

    Kwanini hela zinazoenda HESLB kila mwaka zisiingizwe kwenye uwekezaji ili kuongeza ajira?

    Habari wakuu! Kama ilivyo ada kila mwaka serikali inapeleka matrillioni kwenye bodi ya mikopo ya elimu ya juu yaani HESLB ili kuwawezesha wanafunzi wamudu gharama za kupata elimu ya juu. Sasa kuliko kuchangia katika kuzalisha wahitimu wasiokuwa na ajira na wenye madeni ya HESLB ni bora fedha...
  2. Lycaon pictus

    Ni biashara gani au uwekezaji gani una failure rate kubwa hapa Tanzania?

    Ni biashara gani au mradi gani hapa Tanzania unaongoza kwa kufelisha watu. Yaani unakuta biashara ndani ya mwaka inafungwa sana. Ni mradi gani ambao watu wengi wakiufanya huangukia pua? Pia ni mradi na biashara gani ambayo ina failure rate ndogo ndani ya mwaka mmoja?
  3. Meneja Wa Makampuni

    Dangote mmoja ni wachina 500 kwenye uwekezaji

    Linapokuja swala la userious kwenye uwekezaji wachina hawako seriously kabisa. Mpaka sasa tangu wameanza kuingia hapa Tanzania sijaona mradi hata mmoja walio wekeza zaidi ya kamari na kufungua fremu za biashara za kodi ya millioni 2 hadi 3. Hebu angalia Dangote mradi aliowekeza huko Nigeria...
  4. Ojuolegbha

    RAIS MWINYI: TUTANGAZE FURSA ZA UWEKEZAJI NA KUZINGATIA DIPLOMASIA YA UCHUMI

    RAIS MWINYI: TUTANGAZE FURSA ZA UWEKEZAJI NA KUZINGATIA DIPLOMASIA YA UCHUMI Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi amewasisitiza Mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania katika Nchi mbalimbali kuzingatia Diplomasia ya Uchumi na Kuzitangaza fursa za Uwekezaji...
  5. N

    AXIAN TELECOM (KAMPUNI MAMA YA YAS) YAPOKEA UWEKEZAJI WA DOLA ZA MAREKANI MILIONI 100 KUTOKA EIB GLOBAL KWA AJILI YA KUBORESHA HUDUMA ZA INTANETI

    Waziri wa Posta na Mawasiliano wa Madagascar, Stéphanie Delmotte (katikati), akionesha mkataba wa dola za Marekani milioni 100 uliosainiwa kati ya Benki ya Uwekezaji ya Ulaya (EIB) na Axian Telecom (Kampuni mama ya Yas) kwa ajili ya upanuzi wa huduma za intaneti kwa ajili ya Tanzania na...
  6. Mbwa dume

    Je sheria inaruhusu uwekezaji wa kujenga Mortuary binafsi

    Habari zenu wadau wa jukwaa hili.. Nichukue nafasi hii kuwataka radhi wale ambao watachukizwa na uzi huu lengo langu ni kupata ushauri juu ya wazo langu la biashara. Nianze kama ifuatavyo: Mimi ni mfanya biashara wa huduma ya majeneza na vifaa vingine vya mazishi kiukweli kuna kipindi...
  7. Introv

    M wekeza ni bonge la uwekezaji kutoka Vodacom kwa watu wenye mpunga wa maana

    Wakuu hii huduma ya Vodacom m wekeza ni bonge la uwekezaji aisee yaani nimetia pesa huko Sasa hivi nafanya kazi ya kuamka na Taulo huku nikinywa maziwa pesa yangu ikiniletea faida halafu uzuri wanaweka pesa. Tarehe 3 tu mwanzoni mwa mwezi mungu anipe nini mimi
  8. Meneja Wa Makampuni

    Raia wakigeni wasio kidhi vigezo vya uwekezaji wafukuzwe nchini (mtaji wa mwekezaji mgeni unaanzia BILLIONI 1)

    Tuwapende wafanyabiashara wa kigeni pale tu wanapo kuwa wamefwata sheria za uwekezaji. Kama hawakidhi vigezo vya uwekezaji tuwafukuze bila huruma. Mipaka ya nchi inatakiwa kuheshimiwa na kila raia wa kigeni. Naomba nitoe mfano mdogo: Leo hii tuna raia wa kigeni wa bara la Asia ambao sio...
  9. B

    MJI WA MAKAMBAKO NDO CENTRE YA KANDA MPYA YA UWEKEZAJI YA NYASA INAYO JUMUISHA MIKOA YA IRINGA ,NJOMBE NA RUVUMA

    Kanda ya nyanda za juu kusini ni kubwa sana kieneo inajumuisha mikoa ya Mbeya ,iringa, njombe, ruvuma ,songwe , rukwa na katavi kijiografia hii Kanda ingegawanywa mara mbili kutokana na umbali wa mikoa mingine kuifikia Mbeya ambapo ndo makao makuu ya hii Kanda wanaweza wakamega Kanda Kama...
  10. T

    Naomba msaada kwenu wadau wenye uzoefu

    Habari zenu wadau. Hivi ni Bank gani ina toa riba nzuri pale mtu anapoweka pesa Kwa lengo la kupata faida. Je Kuna ukweli kuwa ECO Bank Wana riba kubwa kuzidi UTT?? Naomba mawazo yenu, maana nipo kwenye process ya kuanza uwekezaji mdogo kwenye hizi Financial Entities. Nawasilisha Ahsante.
  11. The Watchman

    Pre GE2025 Naibu Waziri Mipango na Uwekezaji: Maswa tutampa kura za kishindo Rais Samia

    Naibu Waziri Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji na Mbunge wa Maswa Mashariki, Stanslaus Nyongo, amesema hana wasiwasi kuhusu ushindani katika kura za maoni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2025, akiamini kuwa maendeleo yaliyotekelezwa jimboni kwake yanampa nafasi kubwa ya...
  12. ChoiceVariable

    Prof. Kitila: Nchi ina utitiri wa Taasisi za kutoza Kodi, zote zinaongeza Tozo kwa Wafanyabiashara. Watumishi anzisheni biashara mtaheshimu wawekezaji

    Akiongea wakati wa Uzinduzi wa kiwanda Cha mwekezaji mzawa huko Njombe,Prof.Kitila Mkumbo Ameelezwa kusikitishwa na jinsi wawekezaji wanavyohangaishwa na watu wa Serikali. Amesema kumekuwa na utitiri wa taasisi za Kutoza Kodi ambazo zinadai kubuni vyanzo vya Mapato Kwa kumuongezea...
  13. Pfizer

    Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC), yalidhishwa na maendeleo ya ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Shinyanga

    Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC), ikiongozwa na Mwenyekiti wake Mheshimiwa Augustine Vuma, leo Alhamisi Machi 20, 2025 imetembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Shinyanga, ambapo imeeleza kuridhishwa na hatua iliyofikiwa ya asilimia 75 ya...
  14. Ojuolegbha

    Tanzania na Misri kukuza ushirikiano katika Biashara na Uwekezaji

    Tanzania na Misri kukuza ushirikiano katika Biashara na Uwekezaji Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa Mahmoud Thabit Kombo na Waziri wa Mambo ya Nje, Uhamiaji na Wamisri Waishio Nje wa Jamhuri ya Kiarabu ya Misri, Mheshimiwa Dr. Badr Abdelatty, wameshiriki...
  15. fundi bishoo

    Nikiwa na milion 500 naweza kufanya uwekezaji gani wakuu?

    Naombeni ushauri wakuu ni biashara au uwekezaji gani utanifaa kwa hii pesa PESA SINSA ILA NAJARIBU KUVUTA PICHA SIKU NIKIZIPATA TUWAKUU
  16. The Watchman

    Pre GE2025 Kamati ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma imeiagiza TANROADS kuwasimamia makandarasi kukamilisha miradi kwa wakati

    Wakati Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega aking’aka hatua ya makandarasi wanaojenga miundombinu ya mradi wa mabasi yaendayo haraka jijini Dar es Salaam, kutokamilisha kwa wakati, Bunge nalo limeiagiza Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) kuwasimamia kikamilifu makandarasi. Limeagiza mradi wa...
  17. Meneja Wa Makampuni

    Kima cha chini cha uwekezaji kwa wawekezaji wa wa kigeni nchini Tanzania ni Billioni 1.3

    Hivi kuna wawekezaji wakigeni waliopo Kariakoo mtaji wao unafika Billioni 1.3?? Ni swali.
  18. U

    Nimebubujikwa na machozi ya shangwe mwanafunzi Esther akimshukuru Rais Samia kwa uwekezaji mkubwa kwenye elimu utakaowasaidia kutimiza ndoto zao

    Wadau hamjamboni nyote? Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan akiwa ziarani mkoani Tanga hususani wilaya za Muheza na Mkinga alikutana na mwanafunzi wa sekondari ya magila aendaye kwa jina la Esther aliyemshukuru kwa kufanya uwekezaji mkubwa sekta ya elimu. Wadau nimeguswa sana na tukio hili na...
  19. S

    Uwekezaji Katika Mfuko wa JIKIMU UTT

    Habari wadau wa UTT, Hivi kwa wale wenye uzoefu ukiwa umewekeza kiasi cha shilingi Milioni 2 na laki moja jikimu fund utapata kiasi cha shiling ngapi kwa kila miezi 3 yaani quoter 1, quoter 2, quoter 3 na quoter 4? na je hicho kiwango huwa kinawekwa muda gani mfano miezi mitatu ya mwanzo bimana...
  20. J

    Fursa ya Biashara/uwekezaji Katika Utengenezaji wa Pombe Kali

    Wakuu Natumai mko salama na mnaendelea vyema. Mimi ni kijana mwenye ndoto kubwa na maono makubwa ya kujiajiri na kuleta mabadiliko katika sekta ya utengenezaji wa pombe kali. Ninapenda sana fani hii, na kwa miaka kadhaa nimejifunza na kupata uzoefu wa hali ya juu katika kutengeneza pombe kali...
Back
Top Bottom