sms

SMS (short message service) is a text messaging service component of most telephone, Internet, and mobile device systems. It uses standardized communication protocols that let mobile devices exchange short text messages. An intermediary service can facilitate a text-to-voice conversion to be sent to landlines.SMS, as used on modern devices, originated from radio telegraphy in radio memo pagers that used standardized phone protocols. These were defined in 1986 as part of the Global System for Mobile Communications (GSM) series of standards. The first test SMS message was sent on December 3, 1992, when Neil Papwort, a test engineer for Sema Group, used a personal computer to send "Merry Christmas" to the phone of colleague Richard Jarvis. SMS rolled out commercially on many cellular networks that decade and became hugely popular worldwide as a method of text communication. By the end of 2010, SMS was the most widely used data application, with an estimated 3.5 billion active users, or about 80% of all mobile phone subscribers.
The service allows users to send and receive messages of up to 160 characters (when entirely alpha-numeric) to and from GSM mobiles. Although most SMS messages are sent from one mobile phone to another, support for the service has expanded to include other mobile technologies, such as ANSI CDMA networks and Digital AMPS.Mobile marketing, a type of direct marketing, uses SMS. According to a 2018 market research report, the global SMS messaging business was estimated to be worth over US$100 billion, accounting for almost 50 percent of all revenue generated by mobile messaging.

View More On Wikipedia.org
  1. D

    Kuna ukweli kuhusu SMS ya usahili kutoka KCB?

    Habari, Je, kuna ukweli wowote kuhusiana na sms iliyotumwa tarehe 22/08/2023 kuhusiana na usahili? sms inasomeka hivi: "Tafadhali fika VETA Chang'ombe kwa usahili tarehe 25/08/2023 saa moja asubuhi ukiwa na kitambulisho kati ya hivi, NIDA/mpiga kura/leseni ya udereva/barua ya serikali ya mtaa...
  2. Mama Edina

    Makampuni nataasisi ya kifedha hizi sms za mikopo za kaz ipi

    Nimepokea sms ya kutakiwa kujiandaa nikakopeshwe is as if Hawa watu wanajua mshahara umeongezeka. Yaani utafikiri nina miadi nao. Jamani nina mikopo mingi Sana slip inakaribia kujaa. Nyie watu hizi sms zenu Sina stua Sana. Haya mambo yaacheni bana
  3. Yisen

    Mchumba wangu huwa hataki nimpigie simu wala SmS bosi wake wa kiume akiwepo

    Mimi na mchumba wangu tuna mahusiano ya miezi 5, anafanya kazi katika familia ya watumishi wa selikali nikimaanisha baba na mama ni wafanyakazi serikalini. Shida ni kwamba bosi wake wa kike asipo kuwepo akawepo wa kiume huwa hataki tuchati wala kupigiana simu (Hasa usiku) , akidai hataki boss...
  4. H

    Ukiona mtandao wa simu unakupa sms 10 kwenye kifurushi cha 1500 au 2000 ujue hali ni mbaya

    Salam, mambo ni mengi kwa sasa tuendelee tu Hii mitandao ya mawasiliano sàsa naona kama iko taabani. Inaonekana inapumulia mashine ya gesi ila yanajikaza kisabuni. Yaani sms za kuhesabu sàsa hivi tofauti na zamani. Huwa nikijiunga kifurushi huwa siangalii sms ziko ngapi, huwa najua zipo tu...
  5. safuher

    Ubabaishaji wa haloteli na sms ya 75% ya kifurushi, halotel hawajui mahesabu

    Habari za jioni wakuu,natumai wazima. Nimechoshwa kabisa na hii tabia ya halotel kutuma sms ya kubakisha 75% za kifurushi wakati haujafanya jambo la maana. leo saa nne na robo asubuhi (10: 15) nilijiunga kifurushi cha wiki cha mb 440 kupitia halopesa(megabando). CHa kushangaza saa nne na...
  6. Money Penny

    Nimekuta SMS ya I miss you kwenye simu ya mpenzi wangu, nifanyaje?

    Chai ni tamu ikiwa ya moto, ikipoa sasa umeme na gesi vyote vikawa vimeisha ndio utajua hujui. Haya sasa, kwa mnaonifahamu ingawa mimi sio mwamba. Msaidieni mwenzenu apashe kiporo au?
  7. Requal

    Nimeshangazwa na Sms za mpenzi wangu ambae nilitegemea awe mke wangu. Inavyoonekana atakuwa anajihusisha na madawa ya kulevya

    Mtu ambae niko nae kwenye mahusiano kwa zaidi ya miaka 4, nikiwa na mipango ya kuoana nae. Leo nimejikuta nashindwa kumuelewa, Hapa chini ni baadhi ya text nilizochati nae kabla ya kumpigia simu kujiridhisha ni yeye kweli Tukaendelea Baada ya hizi text nikaona isiwe tabu nikampigia simu, the...
  8. Until_The_End

    Msaada: njia ya kuforwad automatic email kutoka gmail kuja sms za kawaida

    Habari wakuu: Kichwa cha thread kinajieleza naomba mnisaidie njia ya kufoward email zangu zikiingia tu kasha la kupokelea zije moja kwa moja kwenye inbox ya kawaida kama SMS. Nimegoogle nikakutana na msamiati "SMS gateway domain" hapo nikashindwa. Mnisaidie kupata hiyo njia na maelezo ya huo...
  9. J

    Nimekuta SMS hizi kwenye simu ya zamani ya Mume wangu, sijazielewa naombeni mnisaidie mlioko kwenye Ndoa

    Habari, Mimi na mwenzangu tumeishi miaka kama 13 kwenye ndoa yetu na tumebarikiwa na kuwa na watoto 2. Niseme ukweli hatujawahi kukorofishaba au kugombana tunapendana sana. Sasa wiki mbili zilizopota kuna picha moja nilipigaga na mume wangu na watoto. Niliikumbuka nikamuuliza mume wangu kuhusu...
  10. Amani ya Mungu

    DOKEZO: Matangazo yanayoingia kwa SMS yatozwe/yaongezewe kodi

    Mitandao ya simu imekuwa ikituma matangazo yao mbalimbali kwa njia ya SMS kama vile M-KOBA, SONGESHA, VODABIMA, 15350, VodaTaarifa, Vodacom Ofa, M-PAWA, LipaKwaSimu, TigoPesa, TigoNivushe, 15571, BUSTISHA, TIGOPEKEE na SMS Code zingine. Matangazo haya pamoja na kwamba yanaweza yakawa...
  11. Teko Modise

    Tigo mnatuchosha na sms za 'Kopa Simu'

    Asubuhi hata hatujanywa chai, sms inaingia "Kopa Simu" Mchana hata sijaenda kula ugali kwa mlenda na dagaa wenye pilipili kali sms inaingia, Kopa Simu. Usiku najiandaa kubaiolojika, sijaanza mambo vizuri unasikia sms ukiifingua, Kopa Simu. Tigo na Zantel Mnatuchosha jamani, sms zenu za" Kopa...
  12. O

    Mtuhumiwa mauaji ya mke amtumia sms mama mkwe

    Moshi. Ni matukio nadra kutokea katika jamii, baada ya mtuhumiwa anayesakwa kwa udi na uvumba na polisi kwa tuhuma za mauaji ya mkewe, kumwandikia mama mkwe ujumbe mfupi (SMS), kuelezea ushiriki wake katika tukio hilo. Mtuhumiwa anadaiwa kutuma ujumbe huo wakati polisi wakiwa tayari wamechukua...
  13. Infinite_Kiumeni

    Kwanini anakupotezea kwenye sms lakini mkionana anakuchangamkia

    Umemshawishi ukachukua namba ya mwanamke mzuri umtakaye. Akilini mwako ushapanga kumtoa out. Jinsi utakavyomfikisha kileleni na ufundi wako wa kitandani. Kadri siku zinavyozidi kwenda ndo unazidi kumuwaza na kuona unachelewa. Ukikutana nae katika mizunguko ya kila siku mnaongea vizuri tu...
  14. Venture783

    MSAADA: Anayejua kuhusu ALSTZ anisaidie

    ALSTZ ni kinani? Wamenitumia sms hii hapa "This is to inform you that your order is confirmed, Code is 848837. We are delighted to have you as our customer" na sijajiunga na huduma yoyote! Anayewajua tafadhali msaada isije kuwa mtego.
  15. Izzi

    Usiombe mtu unayemjua akukaushie kwa kutokujibu SMS

    Siku 3 zilizopita Mwanamziki Benpol alisema hakufurahia ndoa kama ambavyo anaona wengine wanavyofurahia ndoa zao. Ndoa anayoizungumzia ni ya yeye na Anerlisa - binti kutoka Kenya. Lakini mara kadhaa Anerlisa amesisitiza kuwa hataki kuzungumziwa na Benpol kwa chochote - iwe ni kizuri au kibaya...
  16. S

    Amenisadia sana, lakini nataka nimuache niolewe na HB. Namuachaje kiustaarabu?

    Jamaa ni husband material lkn siyo photogenic hata kumpost nashindwa. Kiumri kanizidi miaka 5 tu lkn ana mambo ya kizamani sana maana amekaa kipori pori. The guy kajipanga kimaisha yuko vizuri, lkn huo muonekano usiopendeza kwenye picha unaninyima raha. Kanifanyia makubwa sana hapa mjini...
  17. ChizzoDrama

    Naomba msaada kufungua line ya Vodacom upande wa calls na sms

    Habari wadau Nilikua najaribu kuminya codes tofauti kwenye simu yangu, Sasa sijajua nimeilock kwa codes zip? Laini ninayo tumia ni Vodacom , naomba msaada wa codes za kui activate, Natanguliza shukrani zangu
  18. D

    Simu yangu inabadilisha SMS kuwa MMS

    Habari zenu wana jamii Naomba msaada tafadhali, simu yangu kila meseji ninayoituma hata ikiwa nataka kufowadi namba au meseji ndefu na fupi ina convert to MMS, nimehangaika nimeshindwa nimekuja hapa tusaidiane hili suala Natumia Samsung A02
  19. M

    Hivi ni wakati gani mtu anaweza kuthibisha amemfumania mpenzi wake: Kumuona anaongea na mtu? Kumkuta chumbani kwa mtu? Kukuta SMS ya mahaba?

    Kila mahusiano yanakumbana na hizi changamoto. Mtu anamkuta mtu wake anapiga stori na mtu ina kuwa ugomvi. Akimkuta chumbani kwa mtu ndio balaa kabisa. Fumanizi huwa ni kipindi gani?
  20. OLS

    Matumizi ya SMS na Simu yanapungua, wamejua na wanaongeza bei za data

    Kwenye mawasiliano mtu anaweza kutumia SMS au simu za kawaida kuwasiliana. Hata hivyo uwepo wa internet unaonesha watu wengi wanapiga simu kwa namna nyingine tofauti na kutumia ujumbe kwa njia nyingine zaidi ya SMS. Uwepo wa mitandao kama WhatsApp, Telegram etc unaonesha watu wanaweza kupigiana...
Back
Top Bottom