promo

PROMO (Promoting Missouri) is a Missouri statewide LGBTQ advocacy and lobbying nonprofit organization. A member of the Equality Federation, it is the largest LGBTQ organization in the state.
So called conversion therapy is as of July 2018 still legal in Missouri (with the exception of a few jurisdictions) and PROMO is campaigning to ban the practice when it is forced on minors. PROMO, and partners such as the ACLU of Missouri and the Human Rights Campaign, work to pass a non-discrimination act in Missouri. A current project PROMO supports, with MTUG, is the Transgender Memorial Garden in St. Louis. PROMO is a major supporter of St. Louis PrideFest.
What became PROMO formed in 1986 as People Aligned for Change and Equality (PACE), in response to Bowers v. Hardwick. In 1990 it was formally registered as Privacy Rights Education Project (PREP). SAGE Metro St. Louis merged into PROMO in 2015.

View More On Wikipedia.org
  1. D

    Kwa nini maandamano ya Mwanza hayana promo?

    Eti wanakambi, mbona maandamano ya Mwanza hayana promo wala msisimko kama ilivyokuwa Dar? Au yamepigwa stop na Amos Makalla? Au sababu za maandamano yamepatiwa ufumbuzi tayari? Au Chadema imeons maandamano bila virungu hayanogi?
  2. S

    Uzi wa maalum magari mazuri yasiyopewa promo hapa Tanzania

    Kumekuwa na trends ya magari ya aina fulani kutamba katika kipindi fulani cha muda, ambalo kimsingi si jambo baya. Lakini hii inaweza kusababisha watu wengine kununua gari kwa kufuata mkumbo tu. Hivyo lengo la uzi huu ni kuorodhesha aina nyingine za magari mazuri ya yanayofaa katika mazingira ya...
  3. M

    SIRI: Timu yetu ya Taifa Stars isipokuwepo na promo ya media,ahadi za wanasiasa,kocha akipanga timu mwenyewe bila shinikizo mara nyingi tunafanikiwa

    Mods naomba msiunganishe hii thread! Leo hii kila Mtanzania akiwa na Furaha baada ya timu yetu ya Taifa Stars Kufuzu Afcon mwakani. Sasa kila Mtanzania ana uhakika wa Kukaa kwenye TV na kuona Vijana Wetu wakiliwalisha Taifa Huko Ivory Coast... Sasa tumegundua ya kuwa timu yetu Ili kufanikiwa...
  4. Hance Mtanashati

    Bila kupewa promo na Diamond Platinumz, Alikiba si chochote wala si lolote

    Zimebaki siku chache mwezi huu wa July uishe. Hivyo basi Ally Kiba autumie huu mwezi vizuri kabla Diamond hajaondoa msaada wake. Diamond Platinumz huwa anamjibu Ally Kiba Ili angalau kum boost kwenye muziki wake. Nyinyi wenyewe ni mashahidi , Diamond akiachaga tu kujibizana na Ally Kiba, Ally...
  5. Valencia_UPV

    Subaru Tribeca chuma makini

    Japo Subaru Forester imepata Promo na vijana walamba lips wengi wanainunua. Hiki chuma TRIBECA (Subaru) kimekosa kabisa machawa wa kupigia promo hapo Bongo?
  6. Robot la Matope

    Spika Dkt. Tulia aomba jimbo la Mbeya Mjini kugawanywa

    Picha: Spika Dkt. Tulia Akson Spika wa Bunge, Tulia Ackson ni miongoni wa wabunge waliowasilisha maombi ya kugawa majimbo yao ili kuwa mawili kutokana na ukubwa na wingi wa watu. Taarifa hiyo imetolewa leo bungeni na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu Ummy...
  7. PakiJinja

    Mafundi Magari wa Kibongo hufanikiwa kujiinua kwa Promo halafu ukiwapatia kazi wanajiua kwenye kazi ya kwanza tu

    Mafundi garage wa kitanzania wana mchango mkubwa sana katika kuyatia ubovu magari ya watu. Mafundi hawa ni wazuri sana kwenye kujipigia promo na kuwaharibia waliofanya uwekezaji mkubwa. Utakuta fundi anawachambua yale magereji makubwa yakiwemo ya wachina na wakorea kwamba wale hamna kitu...
  8. M

    Kwanini hizi Jogging Clubs zinafanyiwa sana 'Promo' Maredioni? Je, kuna yaliyojificha nyuma ya ufanyaji Mazoezi?

    Kuna Jogging Club moja mahala fulani Mwenyekiti na Katibu wanatuhumiana kwa Mmoja kumzidi Mwenzake idadi ya Wanawake aliyolala nao. Na katika Jogging Club hiyo hiyo Wanawake wakikimbia muda Wote Wanakuwa Wananuniana kwani wapo ambao Wanawaibia Wenzao Waume na Wapenzi Wao. Na katika Jogging...
  9. R

    Wanaotuambia wanachama kuzifanyia promo shule za binafsi nchini watoto wao wanasoma shule za serikali?

    Nimeona imetolewa hoja kwamba kutangaza mwanafunzi Bora au kutangaza shule Bora nikuzifanyia marketing shule binafsi. Aliyetangaza au kutoa TANGAZO hili simfahamu historia yake lakini natabiri kwamba watoto wake aidha wanasoma au walisoma shule nzuri za private . Ametuambia NI vigumu...
  10. Lady Whistledown

    NECTA yaacha Utaratibu wa Kutangaza Wanafunzi bora na Shule bora kwa Kidato cha 4

    Baraza la mitihani NECTA limesitisha utaratibu wa kutangaza shule bora na mwanafunzi bora wa matokeo ya kidato cha nne Kaimu katibu Mtendaji wa Baraza la mitihani Tanzania NECTA Athumani Salumu Amasi amesema utaratibu huo wa kutangaza shule bora ulikuwa unazitangazia biashara baadhi ya shule...
  11. PAZIA 3

    Mkesha wa VUKA NA CHAKO: Kutoka Uwanja wa Benjamin Mkapa na prophet Boniphace Mwamposa - 16/12/2022

    Bwana Yesu asifiwe? Bila shaka asilimia 70 ya watanzania wamchao Mungu, muda huu wenye tvs watakuwa live kufuatilia kongamano kubwa la VUKA NA CHAKO ikiwa ni maono ya mtumishi Boniphace Mwamposa yenye maudhui ya kuupokea mwaka mpya ukiwa tayari umeshapokea Baraka, uponyaji, Rehema na Mambo...
  12. GENTAMYCINE

    Yanga SC hivi Mechi yenu 'Nyepesi' ya Marudiano na 'Zalan Ndembendembe FC' ni ya kuifanyia 'Promo' Redioni?

    Hivi Bondia Anthony Joshua ( Uingereza ) akijua kabisa anaenda Kupigana na Bondia Mchovu na asiye na Uwezo wowote ule Kwake Twaha Kiduku ( Tanzania ) anaweza kweli akajitangaza na akaitangaza ( akaipigia sana Promo ) Redioni? Acheni Ushamba ( Umbwiga ) Mechi pekee ya Kupigwa Promo na ya maana...
  13. sky soldier

    Fiverr & Upwork: Je, naweza kutengeneza account rapa za kununua na kujilipa huduma zangu na kujipigia promo kwenye reviews ili nipate michongo zaidi?

    Nataka nitengenez account kama 20 hivi za wanunuaji wa bidhaa wa fiverr, ntakuwa nalipia kupitia visa hizi za mpesa/ Airtel. Nataka niwe nanunua bidhaa zangu mwenyewe halafu najipongeza kwamba natoa huduma nzuri ili nijenge jina. Ntakuwa nacheza na Ip address tofauti kwa kila browser tofauti...
  14. S

    Sijawahi kuona promosheni ya safari lager hii bia ni big brand inajiuza bila kutegemea promo

    Hayo ma castle lite serengeti lite kinachowasaidia ni promosheni utakuta unaambiwa elfu 10 bia nane Safari haitegemei promo wala kushusha bei ni big brand
  15. chizcom

    Kuhusu Mgahawa wa Rayvanny, ni wake au anapiga promo?

    Leo nimeshtuka sana baada watu wakimnadi ray vanny kafungua mgahawa wake. Nikasema jambo zuri lakini nikaanza kupata wasi wasi Kwa sababu mtu ambaye anafanya hivi vitu ni mtu ambaye na mfahamu zamani sana tokea milenium tower makumbusho. Hii project alikuwa nayo tokea zamani ikabidi...
Back
Top Bottom