Habari wana JF, tumaini langu mnaendelea vyema. Chapu tushuke kwenye mada.
Ni jambo la furaha kuanzisha mahusiano ya kimapenzi na mtu ulievutiwa nae katika mazingira yoyote na kwa lengo lolote liwe la ndoa au lah! danga and run /eat and run)).
Ni jambo la huzuni sana pale kwa pamoja...