mwananchi

Mwananchi Communications Ltd is a company based in Tanzania. Mwananchi Communications Ltd, engages in the print media and radio, and is the publisher of Tanzania's leading daily newspaper, Mwananchi (in Swahili), and others such as The Citizen, Sunday Citizen, Mwananchi Jumapili, and Mwanaspoti.
The executive editor is Bakari Steven Machumu and the Mwananchi daily managing editor is Frank Sanga. Abdul Mohamed heads Mwanaspoti in Tanzania and Kenya. Sanga is regarded as the sports journalism guru in the region. His influence in sports led Kenyan media to start sports newspapers, such as Sports On and Game Yetu.Thomas Mosoba is the managing editor of The Citizen Daily, which has contributed much to socio-economic changes in Tanzania and in the region as well.
The company was established in May 1999 by Ambassador Ferdinand Ruhinda as Media Communications Ltd. But in April 2001, a new business was established (Advertising Agency & Public Relations) and a new company was formed—Mwananchi Communications Ltd. In the very same year Mwananchi Communications Ltd was acquired by the Nation Media Group (NMG), which is based in Nairobi, Kenya.

View More On Wikipedia.org
  1. N

    Gazeti la Mwananchi km mmefilisika si muache biashara? Kila habari PRIME maanake nini?

    Mwananchi Online limekuwa la hovyo, kila habari tena habari za kawaida tu eti PRIME, kwanza nini maana ya PRIME? Km biashara biashara imewashinda bora muache tu vinginevyo mnajidhalilisha tu.
  2. M

    Huu si uchochezi waliondikwa Mwananchi?

    Wameandika "Kada aliyempinga Rais Samia aliwa kichwa" Ktk uandishi wa habari, heading hio ina maana ya kwamba: Kaliwa kichwa maaana kakatwa kichwa na kutenganisha na kiwili wili
  3. Jackal

    Tujikumbushe Miaka Hiyo Makolo Walipokuwa Kwenye Relegation Ponapona Yao Waliokolewa Na Mwananchi

    Hii ndiyo Ile tukawambiaga mtani alitaka kushuka daraja kama mnakumbuka 😂😂😂😂😂 Follow #CRIX ORG 🙏🙏
  4. Uwesutanzania

    Je, hutumika kipimo gani kutambua hali ya kiuchumi ya mwananchi mmoja mmoja katika taifa?

    Pita pita zangu katika mitandao nimeona mivutano ya hapa na pale mivutano hiko hivi:- A) wananchi wa Rwanda wanamaisha magumu kuliko wa Tanzania B)hapana wananchi wa Tanzania ndio wako na uchumi mgumu zaidi kuliko Rwanda A) Kenya ndio mambo safi zaidi, kwanza pesa yao iko juu na inathamani...
  5. Stephano Mgendanyi

    Rais Mwinyi: Kila Mwananchi Kulipwa Fidia Anayostahili

    RAIS MWINYI: KILA MWANANCHI KULIPWA FIDIA ANAYOSTAHILI. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amewahakikishia Wananchi kuwa Serikali itamlipa kila Mwananchi haki yake na hakuna Mwananchi atakae sononeka kwa Kukosa fidia. Rais Dk.Mwinyi ametoa agizo la...
  6. Li ngunda ngali

    Baadhi ya Waumini wa Kanisa Katoliki waonekana wakinywa Konyagi nje ya Kanisa la Mt. Joseph

    Gazeti la Mwananchi limeonyesha kabisa Waamini wa Kanisa la Mtakatifu Joseph Dar es Salaam wakinywa Konyagi Kanisani.
  7. Pdidy

    Latra fwatilien nauli zimepanda gafla na mnajua hili..shida sikukuu ama someni mwananchi la leo

    Ntashangaa kusikia tkt za kulanguliwa hazipo Dec Hii n miradi mirefu sana KUNA jamaa huwa ananunua HATA tkt 30 Dec analangua na ana madalali kabisa ukienda kwenye basi wanakwambia limejaa Basii halijajaaaa kinachofanyika Wana mtu special ana tkt zao ndio maana wakikwambia tkt zimeisha ama...
  8. Logikos

    Ustawi wa Jamii; A Penny Saved is a Penny Earned; Serikali inaweza Kumpunguzia Mzigo wa Matumizi Mwananchi hivyo Kumwongezea Kipato cha Kutumia

    Maadui wetu hawajawahi Kubadilika Umasikini, Ujinga na Maradhi..., Vilevile Mahitahi Muhimu ya Binadamu hayabadilika (Chakula Malazi na Mavazi); Karne ya sasa ambayo sio kila mtu anaweza kuchukua Jembe na kwenda kulima mihogo na kupata kitoweo Pesa inahitajika. Hii ndio itakupatia mahitaji...
  9. Waufukweni

    Ghorofa laendelea kushuka, zoezi la uokoaji lasimama, mwananchi watawanywa

    Mamlaka zimesitisha kwa muda zoezi la uokoaji hapa Kariakoo kutokana na jengo kuzidi kutitia na kuongeza wasiwasi wa kuongezeka kwa maafa. Bado inasadikika kuwa kuna idadi ya watu wengine chini ya kifusi japo baadhi wamekoma kuwasiliana na ndugu waliopo nje.
  10. JanguKamaJangu

    Mwananchi Arusha adai ametukanwa na kuchapwa makofi na Mkuu wa Wilaya ya Moshi, DC asema "aende Mahakamani"

    Mwanamke anayefahamika kwa jina la Getrude Shio mkazi wa Marangu mkoani Kilimanjaro, amedai kuwa amepigwa kofi na mkuu wa wilaya ya Moshi ndugu James Kaji ikiwa ni baada ya kukataa kutoa cheti cha kifo cha mama yake mzazi akiwa ndani ya ofisi ya mkuu wa wilaya hiyo. Getrude akizungumza na GADI...
  11. Logikos

    Swali kwa Serikali; Mwananchi ni Mwenye Nchi, Nguvu Kazi au Kitega Uchumi (Chanzo cha Mapato) ?

    Nimeona niulize haya sababu kinachoendelea inabidi ukiangalie kwa macho yako na sio kusikiliza kinachosemwa.... Sababu Siasa zishakuwa Ulaghai; https://www.jamiiforums.com/threads/siasa-mamboleo-mdomo-unapojaribu-kulidanganya-sikio.2123568/ Je Mwananchi ni Mwenye Nchi ? Sidhani, huyu jamaa...
  12. mr pipa

    Huwezi pata watendaji wazuri ikiwa utaongoza kwa umungu mtu!

    Hiyi nchi sio kwamba viongozi walio chini ya uongozi mkuu hawawezi wajibika hapana isipokuwa mamlaka aliyopewa Raisi ni makubwa kuliko uhalisia au uwezo halisi. Mimi naamini tuna viongozi bora sana na wenye nia ya kujituma ila kwakuwa mkuu ndio mwenye mamlaka ya kila kitu kitachofuata utafanya...
  13. V

    Mwananchi aliyesafri kwenda Dodoma kwa mgonjwa akitokea Singida atapeliwa na wasajili laini wa Mitandao ya simu

    Wakuu kama mtakumbuka mwezi mmoja uliopita niliandika Mada kuhusu wasajili lain za simu wanavyotapeli Watanzania wenzetu. Sina mengi naomba uchukue Muda kidgo sikiliza audio hapo chini
  14. Gemini AI

    Ili mwananchi wa kawaida (asiye na simu janja) atumie Mtandao anahitaji Tsh. 272,000 kununua Simu na GB 3. Pato la Mtanzania ni Tsh. 254,000

    Idadi ya kadi za simu zilizo sajiliwa kufikia 2023 TZ (TCRA) 2020 51.2 million 2021 54.0 million 2022 60.2 million 2023 67.0 million KE(CA) 2020 57.0 million 2021 60.1 million 2022 63.3 million 2023 66.1 million UG(UCC) 2020 29.1 million 2021 30.2 million 2022 31.5 million 2023 32.8 million...
  15. Vichekesho

    Simba wameiga idea ya Wiki ya Mwananchi

    Kuweka mambo sawa ni kwamba Simba ndiyo waanzilishi wa siku ya club yao (Simba day). Yanga wakaja na Wiki ya Mwananchi ambayo inajumuisha matukio mbalimbali kwa muda wa wiki nzima nakuhitimishwa na kilele chake katika Siku ya Mwananchi (Yanga day). Dalali alianzisha Simba day na iliadhimishwa...
  16. Roving Journalist

    Mwananchi awaambia TESEMA warekebishe haraka mfumo wa ukataji tiketi Busisi upande wa Serengeti

    Mdau wa JamiiForums.com ametoa maoni katika taarifa inayohusu ujenzi wa Daraja la J.P. Magufuli (Kigongo – Busisi) ambapo ameelezea changamoto ya mfumo wa ukataji tiketi. Ujenzi wa Daraja la Magufuli wafikia Asilimia 90
  17. M

    Kiboko ya wachawi aingia mtegoni

    Nabii kiboko ya wachawi aingia mtegoni na kuthibitika kua kweli ni tapeli baada ya Mwandishi kutoka Mwananchi Digital kupiga simu kwa kiboko ya wachawi na kujifanya mgonjwa na kiboko ya wachawi aliomba shilingi milioni kumi ili amponye. Licha ya Serikali kulifungia Kanisa la Christian Life...
  18. Mkalukungone mwamba

    SI KWELI Ali Kamwe alizuiwa kuingia uwanjani siku ya wiki ya Mwananchi kwa shinikizo la watu kadhaa ndani ya Yanga

    Wadau je ni kweli Ali Kamwe alizuiwa kuingia uwanjani siku ya wiki ya Mwananchi kwa shinikizo la watu kadhaa ndani ya Yanga? Maana ishu hii imekuwa kubwa sana ikizungumzwa naomba tuizungumze pamoja kumuhusu huyu Meneja wa Habari na Mawasiliano Yanga SC Klabu kubwa Afrika kwa sasa.
  19. L

    Upo uwezekano mkubwa mashabiki wa Yanga wakamzomea Haji Manara siku ya Mwananchi kutokana na mapenzi yao kwa Ally Kamwe

    Haji Manara leo amejikweza sana kwenye redio yao ya unafiki na umbea mwingi akidai kuwa yeye ndio msemaji wa Yanga na mkataba wake unasema hivyo, ametamba sana na kuitisha Simba isipeleke timu tarehe 8 akidai watafanya mauaji, akaahidi kuwa endapo Simba hatofungwa chini ya bao 4 atarudi pale...
  20. JanguKamaJangu

    Waziri Aweso: Marufuku kumkatia Huduma ya Maji Mwananchi Siku ya Sikukuu na Wikiendi

    Waziri wa Maji Jumaa Aweso amewataka wasoma mita kuacha mara moja kuwakatia maji wananchi siku ya sikukuu ama jumamosi na jumapili kwa kuwa ni haki yao.Aidha amesisitiza wananchi waombapo kuunganishiwa maji basi siku saba zitoshe kukamilisha zoezi hilo. Pia soma Meneja wa usambazaji maji...
Back
Top Bottom