mtumba

Mtumba is an administrative ward in the Dodoma Urban district of the Dodoma Region of Tanzania. According to the 2002 and 2012 census., the ward has a total population of 7,277.The ward is along the main road to Dar es salaam. Residence in this ward depends much on Agricultural activities as well as Animal keeping.
The Wards of District of Dodoma urban -Dodoma Region-Tanzania
Chamwino | Chihanga | Dodoma Makulu | Hazina | Hombolo | Ipala| Kikombo| Kukuyu North | Kikuyu South | Kilimani | Kiwanja cha Ndege (Dodoma)| Kizota | Madukani | Majengo (Dodoma) | Makole | Makutupora | Mbabala | Mbalawala | Miyuji | Mkonze | Mpunguzi | Msalato | Mtumba | Nala | Ng’ong’ona | Nzuguni | Tanbukareli | Uhuru | Viwandani | Zuzu

View More On Wikipedia.org
  1. V

    NAUZA MABALO YA MTUMBA NAPATIKANA ILALA BOMA 0657710078

    Karibuni sana vunjabeimtumbagrade1 wauzaji wa balo za mtumba grade 1 tuna balo za nguo aina zote Leo nawapa Bei ya nguo baadhi tu ✅Jeans kiume 450000 kike 320000 PC 80 mpk 90 ✅nguo ya mtoto 400000 PC 350 ✅ gauni 400000 PC 130 ✅blouse 380000 pc 280 ✅shati 900000 PC 200 ✅viatu 250 PC 40 ✅ school...
  2. V

    Nauza mabalo ya mtumba

    Karibuni sana vunjabeimtumbagrade1 wauzaji wa balo za mtumba grade 1 nguo kutoka uk china Dubai na Canada Whatapp group VUNJABEI BALO ZA MTUMBA GRADE 1 QUALITY 👕👖👙👟 Mawasiliano 0657710078 Tunapatikana Ilala dar es salaam mkoani tunafanya delivery
  3. Mlume ndagu

    TV Mpya vs. Mtumba: Ipi ni Bora kwa Bajeti ya Milioni 1.5

    Wataalamu wa mambo naomba msaada wenu katika uamuzi huu. Nina bajeti ya milioni 1.5 kwa ajili ya kununua TV, na leo nimezunguka madukani kutafuta chaguo bora. Katika maduka ya bidhaa mpya, nimepata TV mbili zinazovutia: Hisense 65A6K/N – UHD Smart 4K TCL UHD Smart 4K Zote zinauzwa kwa...
  4. chiembe

    Kwa mliofika Mji wa Serikali Mtumba Dodoma, unatoa asimia ngapi kwa ubunifu katika uchoraji ramani za majengo (archtecture designs)?

    Nawauliza wadau wa JF mliofika Mji wa Serikali Mumbai, mnatoa maksi ngapi? Jengo lipi mchoraji amefunika?
  5. H

    Wapi nitapata mashuka ya mtumba ya kulenga

    Nina mtaji wa laki na nusu, naomba kujuzwa wapi wanauza mashuka ya mtumba kwa bei rahisi ninunue kwa lengo la kuja kuuza mtaani kwetu.
  6. Mwamuzi wa Tanzania

    Maisha ni vile wewe umeamua kuishi. Ukisema kuanzia sasa sitavaa nguo ya mtumba mpaka kifo chako itakuwa hivyo

    Jamaa mmoja aliapa kuwa hatakula chakula cha mama nitilie. Alikuwa mfanyakazi mwenye mshahara wa kawaida sana. Lakini aliweza kula hotelini kipindi chote alipokuwa kazini mpaka alipostaafu kwa hiyari 2017. Ukijiapiza kuwa kuanzia leo sitatoa sadaka chini ya sh .elfu 10 ndio utaishi hivyo na...
  7. JourneyMan

    Ushauri: Display/Showcase Fridge, Mtumba au Mpya?.

    Wadau nahitaji Showcase/display fridge ya lita 300-380, kwa ajili ya biashara.. Nikinyoosha sana mkono Naishia 1.5M, kulingana na Brand na ujazo. Brands ninazoziwaza ni kati ya Midea Haier Hisense Westpoint Bruhm au Von, Ninacho omba kujua kwa wazoefu, kuna za mtumba Nyingi tu kama LG...
  8. Roseyree

    Sale sale: Jamani karibuni nauza Mtumba gauni 3500 tu na vishati 1500 tu sketi imebaki moja 2000 tu karibuni sale ya moto Mbezi Magufuli

    Kabla ya kufungua mzigo mpya nimeamua nifanye sale Jaman nauza gauni mtumba quality 3500 af tatu tu Sket imebak moja 2000 tu Vitop vishat 1500 tu Karibuni sana wasap or call 0625056158
  9. Roseyree

    Nauza Magauni ya mtumba, jumla 2500 hadi 3000. Unapata gauni kali

    Hellow wapendwa nauza nguo za mtumba kali Magauni na tops kali pia. -Magauni jumla utapata kuanzia sh 2000, 2500 tu hadi 3000 guys vigauni vizuri mnoo ambayo ukienda kuuza unapata faida kama unataka kuanza biashara karibu Nauza magauni kwa reja reja pia kuanzia sh elfu 7000 hadi 15000...
  10. Under-cover

    Nilichukua balo la mizura niuze kipindi cha baridi, aisee nilikuta mizura yote ni ya Father Christmas

    Ilikuwa ni mwezi wa sita nilichukua balo la mizura niuze kipindi cha baridi, aisee nilikuta mizura yote ni ya father christmas. Yaani yote ni aina moja father christmas, na biashara ikaishia hapo hapo, nikapaki tu ndani , yani ikifika kipindi cha siku kuu nagawa kidogo kidogo mingine naacha...
  11. M

    Wapi nitapata Kadeti za mtumba grade one Dar es Salaam?

    Ni chimbo gani Dar nitapata kadeti za mtumba grade one? Ni manunuzi ya rejereja tu make sifanyi biashara
  12. Pdidy

    Nauza condom za mtumba.

    Kwa anaehitaji ancheki Msiogope sio tu nguo za mtumba hata condom zipo za bei poa Cya Zina lazy nzuri kama mpya
  13. Anna Deo

    Eneo la shule linauzwa Dodoma Eneo la Mtumba Mji wa serikali

    Eneo la shule linauzwa Dodoma , Mtumba Area karbu na mji wa Serikali. Ukubwa wa eneo: Sqm 33,000 Bei: Tsh 10,000 kwa Sqm Ni surveyed pot Fixed Price Interested njoo PM Au +254746360628 only whatsapp Ramani ipo kwenye attachment
  14. V

    INAUZWA Tunauza mabalo ya nguo za mtumba

    Karibuni sana vunjabei mtumba grade1 wauzaji wa balo za mtumba grade 1 kutoka China Dubai uturuki Canada Tuna balo za nguo aina zote kama Gauni jeans suruali Koti blouse skirt tshirt jeans kadeti pens Shati Viatu mabegi pazia shúka Tunapatikana Ilala boma dar es salaam mtaa wa mwanza...
  15. General Nguli

    Iphone latest za mtumba uwezo na bei zake.

    Wakuu natumai nikwema huku tukiendelea na pilika za kujiandaa na msimu mpya wa Ligi yetu pendwa ya Mpira wa miguu. Nende moja kwa moja kwenye mada kuwa wapi naweza pata IPHONE nzuri ya mtumba kuanzia 13 na kuendelea. Ikiwemo gharama zake na hata uwezo wake. N.B hizi simu hata kama watu...
  16. Minjingu Jingu

    Wapi naweza kupata nguo na viatu vya Mtumba vya quality na bei nzuri?

    Wadau, Naombeni msaada wapi nitapata Mashati na suruali kwa bei nzuri hapa Dar na Quality ya ukweli. Mimi hupendelea mtumba sababu unakuwa wa tofauti kidogo kuliko Dar Combine. Anywhere but not Kariakoo please.
  17. Bata Boy Official

    Natafuta marafiki wanaofanya biashara ya viatu vya mtumba

    Habari wakuu? Wanasema ndege wenye manyoya ya kufanana huruka pamoja. Na mimi pia naamini kwenye mzunguko wa watu wangu wa karibu nikiwa na watu wanaofanya kitu kama changu itanisaidia kukua. Mimi nafanya biashara ya viatu vya mitumba lakini kwa sasa bado nipo hatua ya...
  18. Mributz

    INAUZWA VITU USED TOKA U. K friji, zulia za mtumba na n. K

    ZULIA ZA MTUMBA BEI 70K NJOO (0718909429) Friji ndogo laki 2 Pasi 50k
Back
Top Bottom