Habarini za mchana wana jamvi....
CDM inaonekana kukonga mioyo ya watanzania wengi ambao wamechoka na ufedhuri na dhuruma ya CCM. Hii ni dalili njema kwamba kumekaribia kupambazuka, tuendelee kumwomba sana Mungu wetu wa haki.
Simba wa nyika Tundu Lissu na Heche kila waungurumapo CCM inapagawa...
Habari wana JF,
Ngoja nisonge kwenye mada, kwa kipindi cha miezi ya hivi karibuni nilikumbwa na changamoto iliyohitaji fedha ya haraka. Basi katika pita pita zangu nikaangukia kwenye kampuni za mkopo mtandaoni ambazo ni PesaX pro na Zimacash. Nilikopa na kulipa kwa wakati.
Baada ya hapo...
Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mwanza imemhukumu Mwandishi wa habari kituo cha runinga cha Star Tv, Alocye Nyanda kulipa faini ya Sh 2 bilioni baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kufanya udhalilishaji wa kimtandao.
Hukumu hiyo iliyosomwa leo Aprili 11, 2025 na Hakimu Mkazi Mwandamizi Mkoa wa...
Nilikua nafannya malipo ya game, sasa kutoka na uizi mtandaoni, wanakata kwanza pesa kidogo, kisha unatakiwa kuingiza hicho kiasi cha pesa kilichokata kuthibitisha kweli ndio mmiliki wa hiyo kadi.
Sasa kimbembe kimekuja, wao wamekata salio kwa usd, ila kwenye kuweka kiwango unachagua sarafu...
Kutumia hashtag vizuri ni kama viungo kwenye mitandao ya kijamii, vinaweza kuongeza ladha na kusaidia maudhui yako kufikia hadhira yako na kuwafikia watu wengi zaidi.
Hii itakusaidia kuongeza wafuatiliaji "Followers" wapya na kurahisisha upatikanaji wa maudhui yako kwa urahisi.
Kutumia...
Kama unataka utumie nguvu zako au jasho lako kupata utajiri sahau.
Kama kazi yako kusafiri na mizigo kutoa hapa kwenda kule sahau utajiri.
Kama unataka ukalime mpunga sahau utajiri.
Pesa ziko online.
Waache walime wewe tumia mitandao kuuza hayo mazao yao .
Usihangahike na mikorokoro, .
USIKAE na...
Habari wakuu
Kama kichwa kinavyojieleza vitu hvyo ni kama vifutavyo
✅Good profile
✅Goodsite kama vile upwork,fiverr na zingineezo
✅Skills
✅Mullavid VPN
✅Tor browser
✅Crypto wallet kama vile binance
✅burner phone
✅Proxy 5
✅Good OPSEC
✅RDP
✅Cc cleaner
Vingine tuendelee kuvishusha kwenye comment...
Habari za Jumapili!
Hatukatai nanyi ni wanaume mnapenda wanawake wazuri Sana.
Hatukatai wanaume tumeumbwa kuwajaribu wanawake kuona yaliyomo yamo na anamsimamo au Hana!
Kama mwanaume kutongoza kupo damuni.
Sisi Watibeli hatuzuii wake zetu au wachumba zetu kutongozwa kwa Sababu kuu mbili...
Redflags zangu nikijaribu kuwa karibu na mtu ninakutana nae Online:
-Akiwa mtu wa kukwepa mkutane au hataki kabisa videocall
-Hata hamjazoeana anaanza kukuomba au anataka umkopeshe hela
-Mtu anaeniuliza taarifa zangu binafsi, nablock
-Naangalia kama taarifa zake ziko kwenye mitandao mingine ya...
Huwa nashangazwa na kukerwa sana na tabia ya kina dada baadhi kupost picha za mitego mitandaoni kisha baadae kujitokeza na kulalamika picha zao kutumika kufanya utapeli. Kina dada wa aina hii wanastahili kucharazwa viboko hadharani. Mbaya zaidi wakati wakilalamika huporomosha matusi ya nguoni...
"As-salamu alaykum," kwa ndugu zangu Waislamu.
“Bwana Yesu Kristo Asifiwe,” kwa ndugu zangu Wakristo
Bila kupoteza muda, nimekuja kwenu hili kuwajuza juu ya wimbi la biashara za online ambazo kila kukicha zinazidi kuibuka kama uyoga. Vitu vingi vinaama kutoka kwenye ulimwengu wa kawaida na...
Habari, naitwa omary ni dereva timamu,sina usumbufu kwenye mali ya mtu uwaminifu 100%.naweza kuendesha gari na Bajaji kwa boss yeyote mwenye uhitaji katika chombo kimoja wapo tajwa hapo juu iwe ya hesabu au mkataba pia iwe ya gesi au petrol tuwasiliane 0654037276.Nina uzoefu wa miaka 2 katika...
Mtu dhaifu hujitutumua ili asionekane dhaifu.
Mtu maskini hujitutumua ili asionekane maskini.
Mtu asiye na fedha hujitutumua ili asionekane hana pesa.
Pia ni tabia za Kiafrika kila mtu kutoka kujionyesha si mnyonge.
Hizo picha za maeneo mazuri zisikupagaishe, hapo ni bar, restaurants, hotel...
Smart phone revolution imekuja na changamoto zake , hasa kwa wale wasioweza kujidhibiti na kujikuta wakipost ama maudhui yasiyo na maadili au maudhui yasiyo natija kwa jamii. Orodha hii itakuwa refu kulingana na utafiti wangu siku za usoni.
1. Malkia wa nyuki
2. Cynacute
3. Hello tanzania
4...
Habari wanajamvi,
Wilaya ya Kilombero eneo la Ifakara limekumbwa na wimbi la MATAPELI WA MTANDAONI maarufu kama halohaloo. Tumejaribu kila njia kuripoti katika vyombo vya usalama lakini hakuna hatua zozote zinachukuliwa dhidi ya MATAPELI Hawa..
Cha kusikitisha polisi wilaya ya Kilombero haswa...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro limewakamata watu saba wanaodaiwa kuendesha biashara haramu ya fedha mtandaoni bila kibali cha Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
Soma pia: Jeshi la polisi Mbeya limewakamata watu watano kwa kuhusika na mchezo wa upatu wa LBL
Watuhumiwa hao ni wawakilishi wa kampuni...
Ndugu zangu habari.
Baada ya baadhi ya shughuli zangu kwenda mrama nimeamua kufanya kazi ya taxi mtandaoni maarufu uber.
Sasa nimekuja hapa jukwaani kuomba ushauri kutokana na gari nitakalotumia. Gari langu ni toyota porte, namba DX cc 1490. Hii gari huwa naitumia kwa shughuli za hapa mjini na...
Habarini wana jamii
Matumizi ya mtandao wa intaneti hivi sasa ni makubwa sana hapa nchini, si kwa watu wazima tu bali hata kwa wanafunzi. Hata hivyo wanafunzi wengi kwa maoni yangu huwa wanatumia mitandao sana sana kwa ajili ya burudani, ni mara chache utamkuta mwanafunzi akitumia mitandao kwa...
Picha zinaongea yote, wahusika wameshachezesha kuwahi viwanja.
Walisema walipoulizwa kwa contacts zao, kwamba kuanzia tarehe 17, sasa itakuwa tarehe 25 Februari.
Mnao wahi mkawahi. Labda vitapungua tena na tena kabla.
Halmashauri inatakiwa kujieleza kwanini wanadanganya wananchi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.