Kijiji.ca ( kee-JEE-jee; Swahili pronunciation: [kiˈʄiʄi], village) is a Canadian online classified advertising website that operates as a centralized network of online communities, organized by city and urban region, for posting local advertisements. Kijiji was launched in February 2005 as an eBay subsidiary and become part of the eBay Classifieds Group in 2007. The Kijiji brand is used in more than 100 cities in Canada and with kijiji.it in Italy, while eBay Classifieds websites are available under different brands in other countries (Gumtree in the UK and Marktplaats.nl for the Netherlands). The Canadian and Italian websites are managed by Dutch company Marktplaats BV, which is part of eBay Classifieds Group. Kijiji was made available to selected cities in the United States on June 29, 2007, however the brand was changed to eBay Classifieds in 2010.Kijiji is the most popular online classifieds service in Canada and draws more traffic compared to competitor Craigslist in that country. The New York Times referred to Kijiji's Canadian site as representing "one of the few online brands that fizzled in the United States but found success elsewhere."Kijiji offers similar services and is seen as a competitor to Craigslist, with the biggest differences being that Kijiji has an extensive pets section, as well as a more modern interface.
Mwenyeskiti Kijiji cha nyamkonge kata Nyahongo wilaya rorya kwa kushirikiana na diwani pamoja na mbunge , walihamua kupindisha ramani nakupitisha barabara kwenye makazi ya wananchi kwakutumia mabavu nakufukia mazao Yao nakuwaaribia muundo mbinunkwenye viwanja ivyo.
bila kulipwa fidia yoyote ata...
Wanawake wenye tabia hii huwa mnafikiria nini? Nimekaa sehemu nakusubiri kipenzi changu unakuja na watu zaidi ya wanne unatagemea nini? eti mashosti.
Mtakula na kunywa mwaisho wa siku najifanya naongea na simu napita mlango wa nyuma na simu nazima,
Badilikeni.
Baada ya Mwanachama wa JamiiForums.com kulalamika kuwa Wakazi wa Kijiji cha Kemakorere, Kata ya Nyarero Wilayani Tarime wana changamoto ya kukosekana kwa huduma ya maji kwa muda wa zaidi ya miezi miwili sasa, hatimaye huduma imerejea.
Aidha, Mdau alidai kuwa Ofisi za Wakala wa Maji na usafi...
Rais wa Tanganyika Law Society (TLS) Boniface Mwabukusi, amesema Waziri hana Mamlaka ya Kufuta Vijiji vya Ngorongoro
Ameyasema hayo leo 20/08/2024 Mkoani Dar Es Salaam alipokuwa anaongea na Waandishi wa habari. Amesema kama TLS wanaaangalia cha kufanya. "Wale wananchi wa Ngorongoro hawapaswi...
Ukiangalia wilaya ya hai kijiji kizima na vitonoji vyake kakabishiwa Mjomba wa Oman. Huu uwekezaji wa kufuta vijijiipo siku watafuta mkoa mzima na kuwakabidhi wajomba, tuendelee kusapoti ujinga na kuona hayatuhusu haya.
Kasi ya kufuta vijiji na kuwakabidhi maeneo wawekezaji ni kubwa sana, na...
WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde amefanya ziara kukagua shughuli za uchimbaji madini na kusikiliza changamoto za wachimbaji wadogo katika eneo la Lemishuku,Wilayani Simanjiro eneo ambalo ni maarufu kwa uchimbaji wa madini vito ya Green Garnet
Waziri Mavunde amepata nafasi ya kukagua uwekezaji...
Huu ni uzi maalum kwa MwanaJF kutoa Wimbo wake ambao amekuwa akiutafuta kwa miaka mingi, Bila ya Mafanikio. Kwa yule aliyenao anaweza kumsaidia mwenzie kwa kumtumia wimbo huo hapa.
Tangu mwanzo wa vita wengi walitarajia Urusi kuvamia Ukraine na kuteka yote NDANI Ya muda mfupi Sana
Na pengine kumfurusha Zelensky Kama sio kumuangamiza kabisa
Lakini Cha ajabu huu ni mwaka wa pili Urusi inapambana na Ukraine
Huu ni ushindi mkubwa kwa ukraine
Lakini Cha ajabu Leo wamevamia...
Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan ameendelea na ziara yake ya kikazi mkoani Morogoro. Ziara hii ni muendelezo wa ziara zake za kutembelea mikoa mbalimbali ya Tanzania kwa ajili ya kuzindua miradi ya kimkakati, kuhamasisha maendeleo na kitatua kero za wananchi.
Wakati Rais akifanya ziara...
Mahakama ya Wilaya ya Missenyi imemhukumu, Florian Kaizilege Method, adhabu ya kifungo cha miaka mitatu Jela.
Adhabu hiyo imetolewa baada ya kuthibitika kosa la Rushwa kinyume na kifungu cha 15 cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Sura ya 329.
Mshtakiwa kwa makusudi alijipatia manufaa...
UZINDUZI WA BIMA YA AFYA YA JAMII KIJIJI CHA MUNDINDI - WILAYANI LUDEWA
Tunakushukuru kwa tukio la Uzinduzi wa Bima ya Afya ya Jamii ya Kijiji cha Mundindi- Kata ya Mundindi- Wilayani Ludewa.
Kijiji cha Mundindi kimefanikiwa kuandikisha wananchi kwenye mfuko wa Bima ya afya ya Jamii (iCHF)...
POST VILLAGE EXECUTIVE III – 13 POST
EMPLOYER Hai District Council
APPLICATION TIMELINE: 2024-07-07 2024-07-22
JOB SUMMARY NIL
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
Accounts Officer and chief executive of the village government;
To manage the protection and safety of citizens and their properties, to be...
POST VILLAGE EXECUTIVE III – 9 POST
EMPLOYER Karagwe District Council
APPLICATION TIMELINE: 2024-07-09 2024-07-22
JOB SUMMARY NIL
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
Accounts Officer and chief executive of the village government;
To manage the protection and safety of citizens and their properties, to...
ZIARA YA SIKU YA KWANZA TARAFA YA SUBA KATA NYAMUNGA KIJIJI CHA MKENGWA
Leo tarehe 03/07/2025, Mh Mbunge kaanza ziara tarafa ya Suba kwa kuzungumza na wananchi wa kijiji cha mkengwa juu ya agenda tatu:-
1. Uchaguzi wa Seriakali za vijiji na vitongoji
2. kujiandikisha daftari la kudumu la...
MTATIRO ALIFUNGA KANISA LINALOKATAZA KINA MAMA WASIENDE KUJIFUNGULIA KLINIKI
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Wakili Julius Mtatiro, amelifunga kanisa la CHURCH OF GOD lililoko kijiji cha Mendo, Tarafa ya Itwangi, Wilaya ya Shinyanga ili kupisha uchunguzi maalum.
Akiambatana na Kamati ya Usalama...
Wananchi wa Kijiji cha Kalangale, Kata Miswaki, Wilaya Uyui Mkoa wa Tabora wamenifaika na Mradi wa Zahanati uliokamilika na kuzinduliwa Mei 25, 2024.
Awali, walikuwa wakiangaika kufuata Huduma za Afya kwa umbali mrefu jambo ambalo ilikuwa ni tatizo hasa kwa akina mama Wajawazito na Watoto...
Naanza kupata mashaka kuhusu kijiji cha nguruwe kinacho tumia nguvu nyingi kupitia watu maarufu kuwekeza mradi.
Hivi kama umefanikiwa kuna ulazima gani watu watoe pesa zao wafugiwe,watafutiwe soko na faida.
Tafakarini kabla jua kuzama ijumaa
Utangulizi;
Kurahisisha ufikishaji wa umeme nchi nzima na utoshelevu, ni lazma vyanzo vipya vya uzalishaji wa nishati viongezeke kutokana na mazingira husika. Kama sehemu yenye milima iliyo na maporomoko ya maji Kama njombe na milima ya upare, ambayo ina maporomoko mengi ambayo hayatumiki...
Na Mwandishi Wetu, Tanga.
NAIBU Waziri wa Nishati Judith Kapinga amegawa mituni ya gasi 1500 kwa wakazi wa Kijiji cha Msomela Handeni Wilayani Handeni mkoani Tanga iliyotolewa na Kampuni ya Taifa Gas.
Kutolewa kwa mitungi hiyo kwa wakazi hayo inalenga kuunga mkono kampeni ya Rais wa Jamhuri ya...
KIJIJI CHA KATARYO CHAONGEZA KASI YA UJENZI WA ZAHANATI YAKE: MBUNGE AKICHANGIA SARUJI MIFUKO 200
Kijiji cha Kataryo ni moja ya vijiji vitatu vya Kata ya Tegeruka. Vijiji vingine ni: Mayani na Tegeruka.
Kijiji cha Kataryo hakina zahanati yake, kwa hiyo wakazi wake wanalazimika kusafiri umbali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.