information technology

  1. julaibibi

    Vijana wenye uwezo wa kutengeneza Control number ni bora wapewe ajira rasmi badala ya kuachwa mtaani

    Tumesikia huko Arusha kuna mfumo wa control number umebainika tofauti na wa kihalali. Sasa hizi akili za ma genius watoto wa IT. Nashauri hawa wapewe ajira ni hatari sana kuwacha mtaani. Bora wawe wanapewa kazi toka vyuoni huko
  2. Hu Jintao

    Computer science na Information Technology

    Habari wadau, poleni na kazi. Hivi mwalimu aliyesoma Mathematics na IT chuo anaweza kufundishia Computer science Kwa ngazi ya A-Level? Nawasilisha mada.
  3. MINING GEOLOGY IT

    MINING GEOLOGY IT: Uwanja wa kipekee ambapo jiolojia inakutana na Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (ICT) katika tasnia ya uchimbaji madini

    UTANGULIZI "MINING GEOLOGY IT" ni uwanja wa kipekee ambapo jiolojia inakutana na teknolojia ya habari na mawasiliano (ICT) katika tasnia ya uchimbaji madini. Hii inajumuisha matumizi ya teknolojia ya habari kusaidia katika michakato yote ya uchimbaji madini, kutoka utafiti wa awali hadi...
  4. Jamii Opportunities

    System Analyst–Information Technology at Jubilee Insurance October, 2023

    Position: System Analyst–Information Technology Job Ref. No: HRJLICT1023 report to the: Administratively: Chief Operating Officer Technically: Senior Manager – Long-term Applications Role Purpose The analyst is responsible for identifying and implementing application solutions to solve...
  5. M

    Msaada: Anayejua kuhusu Kozi ya Instructional Design and Information Technology anijuze

    Anayejua kuhusu Kozi ya Instructional Design and Information Technology anijuze Nauliza juu ya hii kozi, mwenye kujua juu ya hii anihabarishe.
  6. M

    Kati ya information technology na accountancy nichukue ipi?

    Naomba ushauri: Nimechaguliwa Chuo cha CBE kozi ya information technology IT na chuo cha TIA kozi ya accountancy nichague kozi gani yenye soko kubwa la ajira?
  7. partsonamani

    Natafuta kazi, nimemaliza (UDOM) Bachelor degree in instructional design and information technology(IDIT).

    Kazi ambazo naweza kufanya ni: ✅Graphics Design(Logo design, posters design....nk) ✅Motion graphics ✅Video editing ✅Photography ✅2D animation ✅Design learning content for adults ✅Online courses development ✅Mobile maintenance ✅Computer maintenance ✅Maintain daily website activities Email...
  8. J

    Information technology Secretary Anahitajika

    Msaidizi wa kazi za IT Anahitajika. Vigezo Awe anajua kusoma na kuandika vizuri kiingereza Awe na simu ya smart phone Awe na uelewa kiasi jinsi ya kutumia computer Awe anajua kutype kwenye computer Ofisi ipo Makumbusho Dar es salaam Kwa alikwepo tayari atume message inbox ikiwa na maelezo...
  9. Jamii Opportunities

    Information Technology Officer at WFT-Trus May, 2023

    Post Title: Information Technology Officer Interesting Career Opportunities at WFT-Trust WFT-Trust is the first and only women’s rights fund in Tanzania that has been in existence since 2008 and has been at the forefront championing gender equality, equity and women and girls’ rights through a...
  10. Next Elon Musk

    Natafuta field ya IT diploma

    Greetings guys of JF nimepost Uzi huu natafuta field ya IT katioa level ya diploma nimetafuta field jimekosa nimeona nije umu kwa ajili ya msaada wenu mkoa was Dar au Dodoma Niko tayari kwenda.
  11. K

    Bachelor of science in business information technology UDSM-COICT.

    Kuna katoto ka dada yangu kamechaguliwa hiyo kozi udsm.ila naona kama ni kozi mpya hivi. Kwa wanaoifahamu hii kozi,wanipe abc zake please.
  12. Jamii Opportunities

    Information Technology Intern at WiA Company Limited

    Information Technology Intern Internship Dar es Salaam WiA Company Limited WIA is a System Integrator, leader specialized in providing Enterprise and government with innovative, reliable and cost effective ICT solutions. Job Description: We are looking for a competent Junior IT engineer...
  13. Jamii Opportunities

    Information Technology Intern at WiA Company Limited

    Job Overview Information Technology Intern Internship Dar es Salaam WiA Company Limited WIA is a System Integrator, leader specialized in providing Enterprise and government with innovative, reliable and cost effective ICT solutions. RECENT GRADUATE IT INTERN Job Description: We are looking...
  14. Waibi fredy

    Natafuta Kazi, nimesomea IT nina uzoefu wa kufanya mapambo

    Habari wapendwa . Rejea kichwa cha habari apo juu . Natafuta kazi ngazi ya Diploma Nina experience katika :- Computer application ì Computer troubleshooting. Simple LAN configuration. Retail POS ( vend and shopify) Cashier Salesman Marketing Balloon decoration ( husaidia kuongeza wateja na...
  15. U

    Natafuta kazi nina bachelor degree in information technology"

    Habari wanajukwaa naamini humu kuna watu wa aina Tofauti Tofauti na wengine wamepata kazi zao kupitia hili jukwaa. Hivyo nakuja mbele yenu kuomba Nafasi au Connection itakayonisaidia Kuweza kupata Ajira ... Elimu yangu NI BACHELOR DEGREE IN INFORMATION TECHNOLOGY. nimespecialize kwenye...
  16. Jamii Opportunities

    Information Technology Assistant at U.S Embassy Dar Es Salaam

    About: Announcement Number: Dar es Salaam-2022-037 Hiring Agency: Embassy Dar Es Salaam Position Title: Voucher Examiner (Alternate Cashier) Open Period:03/17/2022 – 03/31/2022 Format MM/DD/YYYY Vacancy Time Zone: GMT+3Series/Grade:LE – 0420 7 Salary: TZS TSh29,568,947 Work Schedule: Full-time –...
  17. Termux Black

    Computer4Sale Karibu nauza laptop, Computer na nafanya maintenance

    Karibu nikuzie laptop na computer aina zote kama: -HP -DELL -LENOVO -APPLE -FUJITSU -ALIENWARE -SAMSUNG n.k Accessories aina zote zinapatikana kama: -RAM (1gb 2gb 4gb 8g) -Hard disk (180gb, 320gb, 500gb, 1000gb, 2000gb) -Adapter charge aina zote -Keyboard na Mouse wired na wireless -VGA...
  18. ngotho

    Business information technology vs information technology.

    Wakuu naombeni ushauri wenu juu hizi kizi. Kati y business information technology na information technology ipi ni nzuri zaidi.. naingia degree mwaka wa kwanza (business information technology) pale UDSM na tayari nimeshai-confirm.. but wengine wanasema et information technology ni bora zaidii...
  19. C

    Nina certificate ya Information Technology, natafuta kazi Dar es Salaam au Mwanza

    Ndugu watanzania, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 mwenye changamoto ya kukosa ajira. Naomba msaada wa ajira yoyote ile kwani nina uhitaji sana. Elimu yangu nilifanikiwa kumaliza kidato cha nne na kujiunga na chuo cha Uandishi wa Habari nikasoma semester moja ila sikufanikiwa kumaliza...
Back
Top Bottom