Tumesikia huko Arusha kuna mfumo wa control number umebainika tofauti na wa kihalali. Sasa hizi akili za ma genius watoto wa IT. Nashauri hawa wapewe ajira ni hatari sana kuwacha mtaani.
Bora wawe wanapewa kazi toka vyuoni huko
Habari wadau, poleni na kazi.
Hivi mwalimu aliyesoma Mathematics na IT chuo anaweza kufundishia Computer science Kwa ngazi ya A-Level?
Nawasilisha mada.
UTANGULIZI
"MINING GEOLOGY IT" ni uwanja wa kipekee ambapo jiolojia inakutana na teknolojia ya habari na mawasiliano (ICT) katika tasnia ya uchimbaji madini. Hii inajumuisha matumizi ya teknolojia ya habari kusaidia katika michakato yote ya uchimbaji madini, kutoka utafiti wa awali hadi...
Position: System Analyst–Information Technology
Job Ref. No: HRJLICT1023
report to the:
Administratively: Chief Operating Officer
Technically: Senior Manager – Long-term Applications
Role Purpose
The analyst is responsible for identifying and implementing application solutions to solve...
Naomba ushauri: Nimechaguliwa Chuo cha CBE kozi ya information technology IT na chuo cha TIA kozi ya accountancy nichague kozi gani yenye soko kubwa la ajira?
Msaidizi wa kazi za IT Anahitajika.
Vigezo
Awe anajua kusoma na kuandika vizuri kiingereza
Awe na simu ya smart phone
Awe na uelewa kiasi jinsi ya kutumia computer
Awe anajua kutype kwenye computer
Ofisi ipo Makumbusho Dar es salaam
Kwa alikwepo tayari atume message inbox ikiwa na maelezo...
Post Title: Information Technology Officer
Interesting Career Opportunities at WFT-Trust
WFT-Trust is the first and only women’s rights fund in Tanzania that has been in existence since 2008 and has been at the forefront championing gender equality, equity and women and girls’ rights through a...
Greetings guys of JF nimepost Uzi huu natafuta field ya IT katioa level ya diploma nimetafuta field jimekosa nimeona nije umu kwa ajili ya msaada wenu mkoa was Dar au Dodoma Niko tayari kwenda.
Information Technology Intern
Internship
Dar es Salaam
WiA Company Limited
WIA is a System Integrator, leader specialized in providing Enterprise and government with innovative, reliable and cost effective ICT solutions.
Job Description:
We are looking for a competent Junior IT engineer...
Job Overview
Information Technology Intern
Internship
Dar es Salaam
WiA Company Limited
WIA is a System Integrator, leader specialized in providing Enterprise and government with innovative, reliable and cost effective ICT solutions.
RECENT GRADUATE IT INTERN
Job Description:
We are looking...
Habari wapendwa .
Rejea kichwa cha habari apo juu .
Natafuta kazi ngazi ya Diploma
Nina experience katika :-
Computer application ì
Computer troubleshooting.
Simple LAN configuration.
Retail POS ( vend and shopify)
Cashier
Salesman
Marketing
Balloon decoration ( husaidia kuongeza wateja na...
Habari wanajukwaa naamini humu kuna watu wa aina Tofauti Tofauti na wengine wamepata kazi zao kupitia hili jukwaa.
Hivyo nakuja mbele yenu kuomba Nafasi au Connection itakayonisaidia Kuweza kupata Ajira ...
Elimu yangu NI BACHELOR DEGREE IN INFORMATION TECHNOLOGY.
nimespecialize kwenye...
About:
Announcement Number: Dar es Salaam-2022-037
Hiring Agency: Embassy Dar Es Salaam
Position Title: Voucher Examiner (Alternate Cashier)
Open Period:03/17/2022 – 03/31/2022 Format MM/DD/YYYY
Vacancy Time Zone: GMT+3Series/Grade:LE – 0420 7
Salary: TZS TSh29,568,947
Work Schedule: Full-time –...
Karibu nikuzie laptop na computer aina zote kama:
-HP
-DELL
-LENOVO
-APPLE
-FUJITSU
-ALIENWARE
-SAMSUNG n.k
Accessories aina zote zinapatikana kama:
-RAM (1gb 2gb 4gb 8g)
-Hard disk (180gb, 320gb, 500gb, 1000gb, 2000gb)
-Adapter charge aina zote
-Keyboard na Mouse wired na wireless
-VGA...
Wakuu naombeni ushauri wenu juu hizi kizi.
Kati y business information technology na information technology ipi ni nzuri zaidi..
naingia degree mwaka wa kwanza (business information technology) pale UDSM na tayari nimeshai-confirm.. but wengine wanasema et information technology ni bora zaidii...
Ndugu watanzania, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 mwenye changamoto ya kukosa ajira. Naomba msaada wa ajira yoyote ile kwani nina uhitaji sana.
Elimu yangu nilifanikiwa kumaliza kidato cha nne na kujiunga na chuo cha Uandishi wa Habari nikasoma semester moja ila sikufanikiwa kumaliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.