Wakuu nilikuwa naomba kujua kiundani juu ya kozi hii ya electrical and biomedical engineering.
Je, unaposoma cozi hiyo utajishughulisha na ufundi wa vifaa vya tiba au na umeme kwa ujumla.
Ahsanteni
Wakuu nilikuwa naomba kujua kiundani juu ya kozi hii ya electrical and biomedical engineering.
Je, unaposoma cozi hiyo utajishughulisha na ufundi wa vifaa vya tiba au na umeme kwa ujumla.
Ahsanteni
Position: Electrical Technician Vacancies: Two (2)
Workplace: Bagamoyo Date: 08/05/2024
DUTIES/RESPONSIBILITIES
Attending plant preventive and corrective maintenance
Attending power receiving and distribution (in bothTG, generator and Grid)
Attending plant machine inspection
Ensure plants is...
Position: Electrical Technician
Qualification
Applicant should be a holder of VETA level lll/Diploma in Electrical Engineering from a recognized Institution. Key skills & Abilities:
Ability to maintain all the electrical equipment to acceptable and approved standards for efficient operation...
Habari za wakati huu ndugu zangu,
Samahanini sana kwa nitakao wakela kwa mimi kuleta uzi huu hapa jukwaani.
Nilikuwa naomba kwa ambao wamewahi kufanya interview utumishi ajira za TRC department ya umeme(locomotives engine).
Naomba mnisaidie maswali ambayo huwa yanaulizwa wakati wa interview...
Habarini!!
Nimesoma bachelor degree in Electrical Engineering pia nina diploma,pia nina leseni class C Electrical installation natafuta kampuni ya kufanya nae kazi ninaomba msaada wa internship au kazi
Namba:0762136488 au
missnzowatwb@gmail.com
Nahitaji Graduate Electrical Engineers wa mwaka jana. Hawa wenye reg. 2018-04-....
Naomba unitumie CV yako na vyeti pia kama ukiweka na application letter ni nzuri pia..
Eneo la kazi ni KAGERA SUGAR LIMITED
hamna idadi kamili inayoitajika, ni wale wataokuwa na sifa watajibiwa.. uonapo...
Aliye iloga Tanzania kafa. Nchi hii imegeuzwa kichwa cha mwenda wazimu Kabisa.
Hawa watendaji wa Serikali siyo kwamba hawajui Kazinila wameamua Kula kulingana nanurefu wa kamba Zao.
Unjanja unjanja mwinginwa kumwona kila mtanzania ni mkinga.
TANESCO Sisi tunataka umeme hizo hesabu zenunza...
Poleni na majukumu Wakuu,hoja muhimu ni kwamba Imekaaje chuo Chuo kikubwa nchini kam UDOM kukosa kozi tajwa hapo juu ,ikizingatiwa ni chuo chenye uwezo wa kubeba wanafunzi wengi Tanzania.Kwanini wadau na wizara zisipunguze mzigo kwa vyuo kama Udsm,DIT,MUSTnk maana vinachukua wanafunzi wengi...
Katika Kipengele cha uwekaji mfumo wa Umeme katika jengo mpaka kukamilika hupitia hatua 3 kuu.
(1) kutindua ( plan and design circuit's) hii inahusika na ujengaji wa metal box zote single na double, mainswitch, waterproof box pamoja na round box na uwekaji wa bomba baada ya hatua hii plasta na...
13 Job Vacancies at the Tanzania Electrical, Mechanical and Electronics Services Agency (TEMESA).
The Tanzania Electrical, Mechanical and Electronics Services Agency (TEMESA) is a Government Agency established in 2005 to provide engineering services in Electrical, Mechanical and Electronics...
S.E.C. (East African) Company Ltd has been registered in the United Republic of Tanzania under the Company Ordinance (CAP 212) with a certificate of Incorporation number 55091 as a Limited Company.
We are registered with the Contractors Registration Board (CRB) as specialist contractors In...
TPC Ltd is one of the most respected sugar producing companies in Tanzania. The company is situated at the foot of Mount Kilimanjaro, 22kms south of Moshi Municipality. Applications are invited from qualified, energetic, proactive and dynamic candidates to fill vacant position in the Factory...
Habari za jioni waungwana.
Kama nilivyoeleza hapo juu kwenye heading hio, Nimefanya kazi zote hizo kwa muda tofauti tofauti na bado hahusika nazo mpaka Sasa.
Nimekuja kwenu kuomba msaada wa kampuni, shirika, mtu binafsi atakayeweza/kuwa tayari kufanya kazi na mimi.
Napatikana mkoa wa...
Habari zenu wana Jamii Forums.
Nilikuwa nina uhitaji wa notes za course ya electrical engineering first year pale DIT ngazi ya diploma.
Wakuu wa DIT, naomba msaada.
Nahitaji kuwasiliana na kampuni zilizo sajiliwa na zenye ofisi Tanzania, ambazo zina uwezo na uzoefu wa kuagiza electrical, mechanical na instrumentation equipment and parts. Kampuni iwe na uwezo uzoefu wa kuagiza baada ya kupata order toka kwangu, kusafirisha, clearance, na ku deliver...
Naombeni msaada nataka mnisaidie kuchambua kati ya Mechanical na electrical engineering ngazi ya diploma kwa sasa ipi inalipa? Na urahisi wa kupata ajira??
Tanga Cement PLC believes that for employees to play their full role in the achievement of the Company’s business objectives, there should exist an on going comprehensive and effective training and development process at all levels. The company therefore invests in personal and professional...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.