dalali

  1. Dalali wa kimataifa

    GHOROFA LINAUZWA,KARIAKOO DARESSALAAM TANZANIA,BEI NI BILLION 2.5,MAONGEZI YAPO,🇹🇿Call/WhatsApp +255758844717

    GHOROFA LINA UZWA LOCATION:KALIAKOO MTAA WA KIUNGANI STREET Kuna vyumba 10 floor no 1 Floor no 2 Ina vyumba 10 Ground floor Ina flem 10 Mbele zipo flem 3 nyuma zipo flem 7 Na kuna Godown 1 Eneo lite lina SQm 290 BEI NI Bilion 2.5 tish maongezi kidogo sana Mtaa mzur sana kwa biashara yeyote ile...
  2. Dalali_wa_kimataifa

    House4Sale Nyumba ya ghorofa inauzwa fukwe ya Kigamboni

    One storey Beach House for sale at Kigamboni, Magogoni -It has six bedrooms all en-suite, sitting room, dining room, kitchen, store and public toilet. -There is a lift and Swimming pool - Servant Quarter with one bedroom, sitting room and public toilet -Plot size Sqmtrs 1,960 -Document...
  3. GENTAMYCINE

    Mzee Dalali nakuheshimu sana na acha kabisa kutaka Kuwadanganya wana Simba SC kuwa sijui Yanga SC wanatuhujumu ili tufungwe Keshokutwa na Al Masry

    “Kuna watu hawataki tuendelee hivyo wanawatumia baadhi ya watu wetu wa ndani. Wanasimba wote njoeni uwanjani, na jamaa pia njoeni muone, hata wakitaka wavae misuli njoeni kushangilia timu yetu. Lakini nawambia tarehe 9 mwarabu atatafuta sehemu ya kupitia.”- Mwenyekiti wa zamani wa Simba, Hassan...
  4. ndege JOHN

    Kuwa dalali au mtu wa madini

    Ipo kazi nzuri kati ya hiyo kwa mtu ambaye ana ari ya kupambana kutoboa kirahisi.changamoto ninayoijua Mimi kwenye madini ni kwamba lazima uyajue madini lazima uyajue aidha uyasomee au uzoefu.na hata udalali uwe mzoefu na mwenye NGUVU ya ushawishi MPAka kuachiwa kuendesha mchongo. All in all...
  5. Top Gun

    Njiwa kaingia nyumbani na wala haoneshi dalali ya machachari na wala hataki kuondoka

    Sijaona jirani wa karibu kama anafuga njiwa. Saa kumi na moja jioni, Mke wangu amerudi kutoka kusuka , ile anafika nyumbani ndio ikawa imeanza kunyesha, ndio akakukatana na njia ambaye kama amenyong'onyea. Akamasaidia kumtoa katika mvua akamwingiza ndani. Baadae akamtoa nje ila hajaruka na...
  6. M

    NAUZA KIWANJA KIPO UBUNGO-GOBA Plot P 44132 chenye 866sqm Bei 45 mil..hakina dalali

    Kichwa cha habari kimejitosheleza kiwanja kina hati kabsaa hakina dalali me ndio muhusika... Phone: 0712183658 Mita 200 toka barabara ya lami ya goba mtaa barabara ya mwishekhe
  7. W

    Natafuta dalali wa kiwanja

    TANGAZO: NATAFUTA DALALI WA KIWANJA Natafuta dalali wa kusaidia kuuza kiwanja changu kilichopo Bukoba Mjini. Kiwanja kina eneo zuri, kipo kwenye mahala pazuri kwa makazi au biashara, na kina hati halali. Dalali anayejua soko la viwanja Bukoba na anaweza kupata mteja haraka awasiliane nami...
  8. R

    Nani anapaswa kulipa hela ya udalali kati ya mwenye nyumba na mpangaji?

    Wakuu, Katika harakati za kutafuta nyumba kwa ajili ya shughuli mbalimbali madalali wamekuwa wakitumika kufanikisha jambo hilo. Wenye nyumba hutafuta madalali ili kuweka wepesi katika kupata wateja, na imekuwa rahisi kwa wapangaji kufikia maeneo hayo kirahisi kupitia madalali. Ambapo, baada ya...
  9. ahmedj

    House4Rent Dalali wa nyumba, vyumba na viwanja Bagamoyo road

    4RENT - CHUMBA SEBULE CHOO NA JIKO LOCATION: GOBA SENTA BEI: TSHS 300000 CALL - 0716442950
  10. Manka R

    APARTMENT FOR RENT 300K PUGU KIGOGO - NO DALALI FEES

    FEATURES....... VYUMBA VIWILI KIMOJA MASTER SEBULE, JIKO PUBLIC TOILET NDANI YA FENSI PAVING BLOCKS NYUMBA MPYA INAJITEGEMEA UMEME, MAJI.... Inbox pls only serious buyer
  11. K

    Haya mazungumzo ndio ya kumkamata Slaa?!! Mbowe kweli anapewa msaada na dola kubaki CHADEMA?!! Mbowe aaminiwe ama amegeuka kua dalali wa watawala?!

    MODERATORS: Tafadhali msiunganishe Uzi huu kwani una umuhimu,unatoa insights kadhaa za miaka mitatu nyuma na yajayo. Kwa mustakabali mpana wa yanayojiri kwa Slaa,Mbowe,Lissu na CHADEMA kwa sasa,nakuomba ungana nami kwa dakika chache tutafakari na kuamua baada ya kusoma,kutazama na kusikiza...
  12. OMOYOGWANE

    From scratch: Jinsi ya kuwa dalali popote pale ulipo.

    Eeeh wakuu, Leo nitavunja code ya udalali kwa watu wote ambao wanalala hawajui wakiamka waende wapi wakatafute ridhiki. Hii code kanipa jamaa aliyekuja huku bariadi kwa ishu zake namimi nimeona niwape bure. NILIMUULIZA ULIANZAJE ANZAJE KAZI YA UDALALI Akanijibu short tu, "nilishikwa mkono...
  13. X

    China imeufunga huu mwaka kwa kishindo kikubwa imekuwa nightmare kwa watengeneza silaha wa Marekani na dalali wao Pentagon

    Mwisho wa mwaka huu haujawa mzuri kwa Pentagon na defense contractors wake, kwa ujumla unaweza kuwaita U.S MIC (U.S Military Industrial Complex) Mapema mwezi Novemba kwenye Zhuhai Air show China walionyesha toleo jipya na la pili la 5th generation fighter jet J-35 ambayo imekuja kuichallange...
  14. RIGHT MARKER

    "Huruma yako inaweza kuwakaribisha na kuwalea maadui"

    Mhadhara (53)✍️ Binadamu anapaswa kuwa na huruma kwa binadamu mwenzake, lakini ahakikishe huruma yake ina kiasi. Usiwe na huruma kupita kiasi kwani unaweza kuwakaribisha na kuwalea adui hatarishi. Adui wengine hupita kwenye mlango wa huruma, kila mara atahitaji msaada wako hata kwenye jambo...
  15. RIGHT MARKER

    Dalali ndiye anayechelewesha biashara

    Mhadhara - 52: Kama utafuatilia kwa undani utagundua kuwa biashara nyingi za upangishaji na mauzo ya mali mbalimbali kama vile viwanja, nyumba, mapagala, mashamba, vyumba vya kupanga, mazao, magari, visima vya mafuta, n.k, zinakuwa ngumu kuuzika au kupangishika kwa haraka. Wanaochelewesha...
  16. RIGHT MARKER

    Dalali ndiye anayechelewesha biashara

    Mhadhara - 52: Kama utafuatilia kwa undani utagundua kuwa biashara nyingi za upangishaji na mauzo ya mali mbalimbali kama vile viwanja, nyumba, mapagala, mashamba, vyumba vya kupanga, mazao, magari, visima vya mafuta, n.k, zinakuwa ngumu kuuzika au kupangishika kwa haraka. Wanaochelewesha...
  17. RIGHT MARKER

    Dalali ndiye anayechelewesha biashara

    Mhadhara - 52: Kama utafuatilia kwa undani utagundua kuwa biashara nyingi za upangishaji na mauzo ya mali mbalimbali kama vile viwanja, nyumba, mapagala, mashamba, vyumba vya kupanga, mazao, magari, visima vya mafuta, n.k, zinakuwa ngumu kuuzika au kupangishika kwa haraka. Wanaochelewesha...
  18. RIGHT MARKER

    Dalali ndiye anayechelewesha biashara

    Mhadhara - 52: Kama utafuatilia kwa undani utagundua kuwa biashara nyingi za upangishaji na mauzo ya mali mbalimbali kama vile viwanja, nyumba, mapagala, mashamba, vyumba vya kupanga, mazao, magari, visima vya mafuta, n.k, zinakuwa ngumu kuuzika au kupangishika kwa haraka. Wanaochelewesha...
Back
Top Bottom