chasambi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. kipara kipya

    Wanaofurahi chasambi kujifunga je wamesahau mzize kama tutakosa Afcon ni goli alilojifunga!

    Manara alisema wenye akili yanga ni wawili tu ila hata yeye hana akili pia aliy komwe hana akili na wengineo....akili zao kama za kuku wameprint jezi jina la chasambi kisa tu kujifunga ni upuuzi wa hali ya juu wamesahau mechi ya kongo mzize ndio aliyetuangusha hakuna aliyeprint jezi mimi nasema...
  2. L

    Chasambi hilo kapu la Hela litunze kama ukumbusho

    Wonder Boy Chasambi nakupa hongera sana kwa kurudi kibabe mchezoni baada ya kujifunga kwa bahati mbaya na kupelekea majonzi makali kwa mashabiki wa Simba na kupeleka furaha kubwa kwa mashabiki wa Yanga. Ulitukanwa sana, ulidhihakiwa sana na walitaka kukutumia wewe kama ngazi ya kupeleka tafrani...
  3. M

    Mashabiki wa Simba sc: "Ladack chasambi hatukudai na tumekusamehe"

    Nguvu moja Mara baada ya wanajeshi kuwatoa jasho vyura. Mwalimu Fadlu muanzishe last born wetu hapo kesho dhidi ya walinzi wa jela
  4. Carasco Putin

    Laani ya chasambi

    Bila GSM kudhamini timu kibao sisi yanga tungeshuka daraja😞 Rasmi nahamia simba
  5. Waufukweni

    Azim Dewji awajibu wanaomponda Chasambi, adai "mimi mbona nampenda Maxi, je mi ni Yanga?

    Mfadhili wa zamani wa Simba SC, Azim Dewji amesema haoni maana yoyote ya kosa la Ladack Chasambi katika mechi ya Fountain Gate lizue mjadala kwa sababu alishawahi kumtaja mchezaji wa Yanga Maxi Nzengeli kama mchezaji kioo chake. Dewji amesema yeye pia anampenda Maxi Nzengeli na ndiye mchezaji...
  6. MwananchiOG

    Mchezaji Ladack Chasambi kutolewa Namungo kwa mkopo

    Tetesi zinasema katika dirisha dogo, mchezaji Ladack Chasambi anatarajiwa kutua Namungo sc. Imeelezwa Namungo wameshatuma maombi ya kumnasa kinda huyo katika kujiimarisha na kuongeza nguvu kikosi hicho.
  7. SAYVILLE

    Alichokifanya Chasambi walishakifanya Zimbwe na Che Malone

    Huu uzi si wa kutetea upuuzi alioufanya Ladack Chasambi katika mechi ya jana kati ya Fountain Gate vs Simba. Huu uzi nia yake kuelezea maeneo mawili ambayo Simba imekuwa na tatizo nayo kwa muda mrefu. Nasisitiza, kosa moja halihalalishi makosa mengine. Katika mechi kati ya Simba vs Yanga ambayo...
  8. mdukuzi

    Ya Aishi Manula kumkuta Chasambi ,hauzwi ila hatapangwa hata mechi moja wala reserve

    Aliwahi kusema Simba hakuna role model wake na role model wake ni Max Nzegeli Sasa Nzegeli anatua msimbazi na Chasamvi anatua benchini mpaka mkataba wake huishe, Sio kwajishuti lile
  9. Rozela

    Lile kosa ni la Camara sio Chasambi

    Rejeeni magoli mawili aliyofungwa kwenye mechi kati ya Coastal Union na Simba, ni kama la jana tu, anajitahidi kujiweka kwenye kiwango ambacho hana, matokeo yake anagawa uroda kirahisi. Hongera Chasambi, wewe na Bacca wa Yanga ni mabeki wenye magoli NBCPL. Keep it up bro.
  10. Mbabani

    Sawa Chasambi kakosea, ingekuaje Camara angeudaka mpira?

    Mpira ni mchezo wa makosa, hilo ni kawaida kwa wa mpenzi wa mpira tunakubaliana isipokua wapenzi wa Simba na Yanga. Ingekuaje Mussa Camara angeamua kuudaka ule mpira? Madhara yangekua yapi katika mechi?
  11. kipara kipya

    Kosa la chasambi tumeliona game nzuri tumeshuhudia ila Mpanzu ni habari nyingine

    Hiyo dabi yanga wajipange mpanzu anapasua vichaka jamaa ni mwepesi sana anapiga ma-uturn ya kiulaya yale mapasi kama wenzie watamuelewa vyema tegemeeni Yanga kufa goli nyingi hata kama Refa atakuwa Ramadhani Kayoko au Hersi Saidi..... kifupi Mpanzu hakupaswa kucheza kwenye hii ligi dhaifu ya...
  12. ngara23

    Tetesi: Chasambi kutua Singida Black Stars dirisha kubwa

    Inadaiwa kuwa Management ya mchezaji Chasambi ipo katika mazungumzo na SBS ili kumsajili winga Chasambi Chasambi hana amani Simba, amekuwa akiandamwa na mashabiki wa timu hiyo kuwa anawachoma Chasambi anaonekana wazi kuwa kimwili yupo Simba ila moyoni Kuna timu ya ndoto zake anataka kucheza...
  13. THE FIRST BORN

    We shabiki wa Simba unaemtukana Chasambi unakumbuka issue ya Gerrad 2014?

    Wanajukwaa la Sport habar, Nimewaza tu hivi Mashabiki wa Simba haya Matatizo ni Kwa sababu ya Umaskin au Ujinga tuliona nao wa kukosa Elimu na kukosa kustaarabika? Hivi Mchezaji anafanya kosa bado Match 10+ mnaenda kumshambulia Kiasi Kile serious? Nani analikumbuka Kosa la Gerrad 2014 Tena...
  14. Waufukweni

    Ahmed Ally amtetea Chasambi baada ya kujifunga bao lililoigharimu timu yake

    Rasmi leo ndio umekua mtu mzima wa kimpira, ingekua kimaumbile tungesema umebaleghe hii leo Matusi, kejeli, na dhihaka zote utakazopokea leo ni ukaribisho kwenye ukubwa wako, yasikutishe tamaa na wala yasikuvunje moyo, KARIBU UKUBWANI Umeumiza mioyoo ya Wana Simba, lakini wewe sio wa kwanza...
  15. Pdidy

    Camara nae apewe maua yake..Hili goli sawa na goli la Yanga alilorudiaha mpira ndani..Maua yako mpendwa

    Huyu kijana ninashauri apewe maua yake Anatusaidia sana wana yanga kwa kweli Wengi mnammpigia kelele chasambii hamjaona upuuzi wa kamara alioufanya. Hakuna tofauuti na goli la yanga Yeye yuko nyuma yle mpira angeuacha ulikuwa n kona Hakukuwa na haja ya kurudisha ndan mpira kama umeshajua...
  16. chiembe

    Chasambi afukuzwe

    Nashauri huyu dogo afukuzwe, mpuuzi sana
  17. Its Pancho

    Chasambi hakukosea kabisa, na kina baunsa ateba wajifunze kwa mzize

    i salute you kinsmen kwa jina la gusa achia twende kwao nimechunguza sana kauli ya bwana chasambi kuwa ndani ya team yake hakuna role model wake ila yanga wapo anaowakubali akiwemo max mpia sasa simbilisi mnamchukia kijana kwanini? kiukweli chasambi aliwastahi tu sio kwamba uongo, kimsingi...
  18. ngara23

    Naupongeza uongozi wa Simba kuchukulia chanya maoni ya Chasambi

    Radack Chasambi alionekana kutoa maoni yake juu ya mchezaji kioo kwenye ligi, Yeye Kwa mtazamo wake aliamua kumtaja Maxi Nzengeli kuwa ni mchezaji anayemvumtia na ana mtazama kama kioo na kufata nyendo zake Baada zilizo hoja kutoka Kwa wachambuzi na baadhi ya members humu Jamii forums...
  19. OKW BOBAN SUNZU

    Chasambi katukosea heshima wana Simba, atuombe msamaha

    https://www.youtube.com/watch?v=NTfMlQAdvLs Mtangazaji: Katika uchezaji wako wa mpira Chasambi, nani unamtizama kama kioo kwako" Chasambi: Namtizama kama kioo kwenye timu yangu au......? Mtangazaji: Role model wako Chasambi: Kwenye timu yangu Mtangazaji: Akaitikia kwa kutikisa kichwa Chasambi...
Back
Top Bottom