Manara alisema wenye akili yanga ni wawili tu ila hata yeye hana akili pia aliy komwe hana akili na wengineo....akili zao kama za kuku wameprint jezi jina la chasambi kisa tu kujifunga ni upuuzi wa hali ya juu wamesahau mechi ya kongo mzize ndio aliyetuangusha hakuna aliyeprint jezi mimi nasema...
Wonder Boy Chasambi nakupa hongera sana kwa kurudi kibabe mchezoni baada ya kujifunga kwa bahati mbaya na kupelekea majonzi makali kwa mashabiki wa Simba na kupeleka furaha kubwa kwa mashabiki wa Yanga.
Ulitukanwa sana, ulidhihakiwa sana na walitaka kukutumia wewe kama ngazi ya kupeleka tafrani...
Mfadhili wa zamani wa Simba SC, Azim Dewji amesema haoni maana yoyote ya kosa la Ladack Chasambi katika mechi ya Fountain Gate lizue mjadala kwa sababu alishawahi kumtaja mchezaji wa Yanga Maxi Nzengeli kama mchezaji kioo chake.
Dewji amesema yeye pia anampenda Maxi Nzengeli na ndiye mchezaji...
Huu uzi si wa kutetea upuuzi alioufanya Ladack Chasambi katika mechi ya jana kati ya Fountain Gate vs Simba. Huu uzi nia yake kuelezea maeneo mawili ambayo Simba imekuwa na tatizo nayo kwa muda mrefu. Nasisitiza, kosa moja halihalalishi makosa mengine.
Katika mechi kati ya Simba vs Yanga ambayo...
Aliwahi kusema Simba hakuna role model wake na role model wake ni Max Nzegeli
Sasa Nzegeli anatua msimbazi na Chasamvi anatua benchini mpaka mkataba wake huishe,
Sio kwajishuti lile
Rejeeni magoli mawili aliyofungwa kwenye mechi kati ya Coastal Union na Simba, ni kama la jana tu, anajitahidi kujiweka kwenye kiwango ambacho hana, matokeo yake anagawa uroda kirahisi.
Hongera Chasambi, wewe na Bacca wa Yanga ni mabeki wenye magoli NBCPL. Keep it up bro.
Mpira ni mchezo wa makosa, hilo ni kawaida kwa wa mpenzi wa mpira tunakubaliana isipokua wapenzi wa Simba na Yanga.
Ingekuaje Mussa Camara angeamua kuudaka ule mpira? Madhara yangekua yapi katika mechi?
Hiyo dabi yanga wajipange mpanzu anapasua vichaka jamaa ni mwepesi sana anapiga ma-uturn ya kiulaya yale mapasi kama wenzie watamuelewa vyema tegemeeni Yanga kufa goli nyingi hata kama Refa atakuwa Ramadhani Kayoko au Hersi Saidi.....
kifupi Mpanzu hakupaswa kucheza kwenye hii ligi dhaifu ya...
Inadaiwa kuwa Management ya mchezaji Chasambi ipo katika mazungumzo na SBS ili kumsajili winga Chasambi
Chasambi hana amani Simba, amekuwa akiandamwa na mashabiki wa timu hiyo kuwa anawachoma
Chasambi anaonekana wazi kuwa kimwili yupo Simba ila moyoni Kuna timu ya ndoto zake anataka kucheza...
Wanajukwaa la Sport habar,
Nimewaza tu hivi Mashabiki wa Simba haya Matatizo ni Kwa sababu ya Umaskin au Ujinga tuliona nao wa kukosa Elimu na kukosa kustaarabika?
Hivi Mchezaji anafanya kosa bado Match 10+ mnaenda kumshambulia Kiasi Kile serious?
Nani analikumbuka Kosa la Gerrad 2014 Tena...
Rasmi leo ndio umekua mtu mzima wa kimpira, ingekua kimaumbile tungesema umebaleghe hii leo
Matusi, kejeli, na dhihaka zote utakazopokea leo ni ukaribisho kwenye ukubwa wako, yasikutishe tamaa na wala yasikuvunje moyo, KARIBU UKUBWANI
Umeumiza mioyoo ya Wana Simba, lakini wewe sio wa kwanza...
Huyu kijana ninashauri apewe maua yake
Anatusaidia sana wana yanga kwa kweli
Wengi mnammpigia kelele chasambii hamjaona upuuzi wa kamara alioufanya. Hakuna tofauuti na goli la yanga Yeye yuko nyuma yle mpira angeuacha ulikuwa n kona
Hakukuwa na haja ya kurudisha ndan mpira kama umeshajua...
i salute you kinsmen kwa jina la gusa achia twende kwao
nimechunguza sana kauli ya bwana chasambi kuwa ndani ya team yake hakuna role model wake ila yanga wapo anaowakubali akiwemo max mpia
sasa simbilisi mnamchukia kijana kwanini?
kiukweli chasambi aliwastahi tu sio kwamba uongo, kimsingi...
Radack Chasambi alionekana kutoa maoni yake juu ya mchezaji kioo kwenye ligi, Yeye Kwa mtazamo wake aliamua kumtaja Maxi Nzengeli kuwa ni mchezaji anayemvumtia na ana mtazama kama kioo na kufata nyendo zake
Baada zilizo hoja kutoka Kwa wachambuzi na baadhi ya members humu Jamii forums...
https://www.youtube.com/watch?v=NTfMlQAdvLs
Mtangazaji: Katika uchezaji wako wa mpira Chasambi, nani unamtizama kama kioo kwako"
Chasambi: Namtizama kama kioo kwenye timu yangu au......?
Mtangazaji: Role model wako
Chasambi: Kwenye timu yangu
Mtangazaji: Akaitikia kwa kutikisa kichwa
Chasambi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.