Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (born 10 September 1976) is a Tanzanian politician belonging to the ruling Chama Cha Mapinduzi. On October 2, 2022 she has been appointed as a Minister in Presidents Offfice Region Administration and Local Government (PoRALG). In her last cabinet appointment she was the Minister of State in the President's Office. She previously served as Minister of Mining and the Deputy Minister for Lands, Housing and Human Settlement as well as Constitutional and Legal Affairs. Prior to joining politics, she worked as a lawyer in both public and private sectors.
Kufuatia agizo la Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alilolitoa Aprili 4, 2024 akiwaapisha viongozi mbalimbali alitoa maelekezo mahususi kwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, kuhusu kuhamasisha uwekezaji katika sekta ya utalii kwa kushughulikia changamoto ya upatikanaji wa...
Wanajamvi,
Makamu wa Rais, Dkt. Phillip Mpango alikuwa awe mgeni rasmi wa mkutano wa TAWIRI unaofanyika Dodoma, hata hivyo amewakilishwa na Angella Kairuki.
https://www.jamiiforums.com/threads/dkt-philip-mpango-anatarajiwa-kuwa-mgeni-rasmi-wa-mkutano-wa-tawiri-dec-6-8.2164385/
Rais Samia Suluhu Hassan amejipambanua kuwa ni msikivu kwa watu anaowaongoza. Samia amerejesha uongozi shirikishi. Kwamba unapotaka kuwaletea maendeleo wananchi basi uwashirikishe Ili kujua nini kipaumbele chao. Usilazimishe kuwajengea daraja kumbe shida yao ni kisima cha maji nakadhalika.
Sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.