NImeshangaa kusema ukweli, nilikua natoka kwenye pilikapilika zangu Mikoani, wakati nashuka Stendi kuu ya Mabasi ya Nyegezi nikakutana na harufu kali ambayo kimsingi haivumiliki.
kugeuka kushoto kulika nikakuta maji machafu yatokanayo na kinyesi yanatitirika bila wasiwasi ndani ya stendi hiyo...
Wakazi Wa Mtaaa Lumbila Kata ya lwambi jijini wamesherekea vibaya Sikukuu ya Pasaka baada ya Kumka Asubuhi na kukuta kijana Daud Adamson Mwaitebele(23) aliyekuwa na tatizo la afya ya akili na changamoto ya kusikia ameuawa na watu wasiojulikana na mwili wake kukutwa shamba la mahindi mita chache...
Hatukatai uzazi wa mpango ni muhimu, tunazalisha idadi ya watoto tunaoweza kuwamudu na kuwahudumia.
Tatizo linakuja mna uwezo wa kuhudumia hata watoto nane lakini unakuta watu wanaamua kuzaa mtoto moja tu hadi watatu tu. INASHANGAZA !!
Mimi nina watoto wanne tu lakini laiti ningekuwa na uwezo...
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambaye pia ni Mbunge wa Mbeya Mjini, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, leo tarehe 19 Aprili 2025, amezindua gari la kubebea wagonjwa (ambulance) lililotolewa na Serikali kwa ajili ya Kituo cha Afya cha Mwakibete, jijini Mbeya. Uzinduzi huo unalenga...
Shambulio la angani la Israel limepiga lango la Hospitali ya Kuwaiti katika eneo la Muwasi, na kusababisha kifo cha mhudumu wa afya na kuwajeruhi wengine tisa, wakiwemo wagonjwa waliokuwa wakitibiwa.
Shambulio la angani la Israel limepiga lango la Hospitali ya Kuwaiti katika eneo la Muwasi...
Karibu upate peanuts butter ,ujenzi bora wa Afya yako .
Hizi waweza kuzitumia katika uji
Waweza kutumia katika Mboga
Waweza kutumia katika Chakula Kama kupika mihogo , ndizi
kwenye Mapishi: unaweza kuiweka katika Nyama, kande, Mboga za Majani na hata kupaka juu ya Mkate.
Bei ni kuanzia elfu...
Hii ndiyo taarifa nyeti ya mauaji ya wazee.
soma hapa
Mkurugenzi Mkuu wa NHIF, Dk Isaka, anasema:“Mikakati iliyopo ni pamoja na kuendelea kuomba Serikali kuidhinisha muda wa uchangiaji kuongezwa kutoka miaka 10 hadi 15, pamoja na wastaafu kuchangia kiasi cha fedha kutoka katika pensheni zao ili...
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania limechangia huduma tiba na afya kwenye hospitali ya Jiji la Berberati iliyoko nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati tarehe 14 Aprili mwaka 2025.
Akizungumza mara baada ya uchangiaji wa huduma hizo kwa niaba ya Kamanda Kikosi cha Nane cha Ulinzi wa Amani nchini...
Habari jf , ni vifurushi vya Ngorongoro na Serengeti kwa kuanzia :-
1. Kuna dawa muhimu zimetolewa
2.Gharama zimeongezeka
3.kuna ukomo wa gharama zako za kutibiwa
Nini kifanyike kuboresha hivi vifurushi na huduma za afya ?
Nakumbuka enzi za zamani mtu mwembamba alikuwa anaonekana mgonjwa na watu kuwa na hofu nae lakini mambo yamebadilika kwasasa mtu ukiwa mnene watu ndio wanakuwa na hofu nawewe.
Kwa ufupi maisha yamebadilika wembaba imekuwa afya unene imekuwa ugonjwa watu kunyoosha kidole jamaa yule sio bure...
Habari Wana JF natumaini muwazima
naomba kuuliza niwapi nitapata kipimo kikubwa Cha afya Yani HIV ambacho kinadetect kwa muda mfupi nanitapatiwa huduma kwa bei gani
Mbunge wa Bunda Vijijini, Boniphace Mwita Getere akizungumza Bungeni Aprili 10 amesema;
"Wengi mnakaa humu ndani Bungeni ila sijawahi kuona unakaa na mwanadamu mstaarabu kama Waziri Mkuu tuliyenaye sasa hivi, ni mstaarabu mno, ni mchapakazi na mstaarabu, kila mtu anamsikiliza."
"Sasa mimi...
Waziri wa Afya, Jenista Mhagama amempongeza Naibu Waziri wake, Dkt. Godwin Mollel na kueleza kuwa anaitendea haki nafasi yake hiyo na amekuwa msaada mkubwa kwake.
Amesema hayo Aprili 8, 2025 ambapo amekabidhi zawadi kwa mikoa, wilaya, vijiji na shule za msingi, sekondari na vyuo vikuu katika...
Juzi nikiwa katika safari zangu nilipita Urambo, nilipofika katika Stendi ya Wilaya ambapo basi letu lilipita hapo, nilishangazwa na muonekano wa Kituo hicho, kilikuwa ‘too local’, mazingira yake sio mazuri na ukweli hali hiyo inasikitisha.
Tulishuka na wenzangu kadhaa na kwenda kwenye vyoo vya...
Hello bosses and roses....
Afya Mingle App ni suluhisho lako kwa mambo ya Afya na Mahusiano.
Ni app pekee hapa Tanzania ambayo inakuwezesha kuwasiliana na madaktari wabobevu lakini pia kupata mchumba unaeendana nae.
Tunajali sana faragha za watumiaji wetu na ndio maana hata kwenye kipengele...
Habari za Leo wakuu,
Kijana wenu naomba kuuliza mwenye kujua chochote kuhusu chuo Cha Afya Kolandoto kwenye upande wa utoaji maarifa.
Maana kijana wangu anataka kwenda, Kusomea diploma ya radiology katika taasisi hiyo,
Je, chuo hicho kina uwezo mzuri katika utoaji wa kozi hiyo?
Japo nasikia...
Habari za jumapili wakuu,
Kijana wenu naomba kuuliza mwenye kujua chochote kuhusu chuo Cha Afya Kolandoto kwenye upande wa utoaji maarifa.
Maana kijana wangu anataka kwenda, Kusomea diploma ya radiology katika taasisi hiyo,
Je, chuo hicho kina uwezo mzuri katika utoaji wa kozi hiyo?
Japo...
Mods msiunganishe Uzi Huu, lengo ni Wahusika wake na majibu !!
Hili ni Bandiko la MwanaJF Megalodon ambalo wengine hatukuliona hili mapema !!.
Ni Ukweli ulio Wazi, Kwa miaka mitatu mfululizo ya nyuma , kote Report ya CAG ilionyesha NHIF imepata Hasara kubwa.
Mwaka 2023 ,Hasira ilikua Kubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.