Search results

  1. Jabali la Siasa

    Makalla: Uchaguzi Mkuu utakuwa huru, haki, Wazi. Media, CHADEMA, ACT, CUF, TLP rukeni sarakasi zote ila kumbukeni hatuna mbadala wa Tanzania

    Katibu wa NEC Itikadi ,Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Mhe Amos Makalla, amesema chama Cha Mapinduzi CCM kitakuwa mstari wa mbele katika kutekeleza kwa vitendo haki, usawa na wajibu. Nia ya CCM Tanzania kuwa na uchaguzi ulio huru, wa haki na wenye kuaminika. Ndg Makalla...
  2. Jabali la Siasa

    IMF: Tanzania ni moja ya nchi 10 vinara zenye uchumi mkubwa zaidi Barani Afrika kwa mwaka 2024

    Hongera kwa Kila Raia wa Tanzania kwa kukuza Uchumi wako binafsi, Hii GDP inapatikana kwa kugawa jumla ya uchumi wa mtu mmoja mmoja kwa jumla ya Idadi yetu. #Samia hakamatiki ==== Below are the 10 largest economies in Africa in 2024 according to IMF by GDP: Rank Country GDP (billions) 1...
  3. Jabali la Siasa

    Abdulrahman Kinana amempongeza Rais Samia kwa kuvunja rekodi za Mapato

    Na Mwandishi Wetu, Musoma CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kupitia Makamu Mwenyekiti wake Tanzania Bara, Abdulurahman Kinana amesema Rais Dk. Samia Suluhu Hassan anafanya mambo makubwa ya maendeleo kwa Watanzania ikiwamo kuongeza mapato ya Serikali bila ya wananchi kushurutishwa au kuporwa fedha...
  4. Jabali la Siasa

    KINANA: Serikali msihamishe watu kwa fidia ya ahadi, Lipeni kwanza ndio watu wahame. CCM haitaki malalamiko toka kwa wananchi

    Na Mwandishi Wetu, Mara MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Abdulrahman Kinana ameeleza kuwa, ni vema Watumishi, wataalamu wa serikali kutotoa ahadi ambazo wanajua hazitatekelezeka au utekelezaji wake utachukua muda mrefu kukamilika kwani imekuwa ikikwamisha shughuli...
  5. Jabali la Siasa

    MARA: Kinana asema chini ya CCM hii hakuna mwenye haki ya kukatisha uhai wa mtu mwingine

    Na Mwandishi Wetu, Serengeti MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Abdulurhaman Kinana amepokea malalamiko mbalimbali yakiwemo madai ya mauaji ya wananchi katika hifadhi ya Serengeti mkoani Mara. Amesisitiza kuwa hakuna mwenye haki ya kukatisha uhai wa mtu mwingine...
  6. Jabali la Siasa

    Kafulila: Watanzania zaidi ya mil 40 ni Wakulima mil 28 kati yao ni Wanawake tunapunguza Umasikini kwa nchi yetu kuwekeza zaidi kwenye Sekta ya kilimo

    Akizungumza katika maadhimisho ya miaka mitatu ya Uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan Mkurugenzi Mkuu wa Ubia nchini PPP Mhe David Kafulila amesema, Nchi ya Tanzania kwa awamu hii ya sita imeamua kujikita zaidi kwa kuwekeza kwenye Sekta ya Kilimo ambayo...
  7. Jabali la Siasa

    Kafulila: Taasisi zinazoongozwa walau kwa theluthi moja na Wanawake hupata mafanikio karibu mara 10 zaidi ya zile zenye Wanawake wachache Viongozi

    Rank Country % of Women in Parliament Global rank 1 Rwanda 61.3% 1st 2 Senegal 46.1% 11th 3 South Africa 45.8% 14th 4 Namibia 44.2% 19th 5 Mozambique 43.2% 20th 6 Ethiopia 41.3% 25th 7 Cabo Verde 38.9% 30th 8 Angola 38.6% 32nd 9 Burundi 38.2% 36th 10 United Republic of...
  8. Jabali la Siasa

    NMB kupata faida inayovunja rekodi zote ya TZS 775 bilioni ni matokeo ya Sera chanya na rafiki za kibiashara za Rais Dkt Samia Suluhu Hassan

    Hii ndio taarifa iliyochapishwa kwenye tovuti ya NMB PLC, Binafsi imenivutia na haya moja kwa Moja ni matokeo ya Sera Bora na rafiki za Mama yetu Dkt Samia Suluhu Hassan, tunakwenda nae Mpaka 2030. Hiki ni kiashiria muhimu kinachoonesha kuwa uchumi wa Tanzania unakua kwa kasi sana...
  9. Jabali la Siasa

    KINANA: Wakati wa Uhuru Kawawa alikuwa mkono wa kushoto wa Mwl Nyerere huku Bibi Titi akiwa wa kulia, ampongeza Rais Samia kuanzisha " BIBI TITI DAY "

    KINANA AMPONGEZA RAIS SAMIA KUMUENZI BIBI TITI KWA VITENDO Na Mwandishi Wetu MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Abdulrahman Kinana, amempongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuchukua dhima na dhamana ya kumuenzi Bibi Titi Mohamed kwa vitendo. Kinana amesema uamuzi wa Rais Dkt. Samia...
  10. Jabali la Siasa

    Katikakatika ya Umeme na Uhaba wa mafuta yamtia kikaangoni Majaliwa mbele ya Wajumbe wa NEC, ashusha rungu kwa Mawaziri husika

    === Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Chama Cha Mapinduzi (CCM), imeelekeza kupatiwa ufumbuzi wa haraka wa kero ya kukatika kwa umeme, upungufu wa mafuta ambao huwa unajitokeza ingawa si mara kwa mara na changamoto ya bei ya mazao ya kilimo. Pia, katika kikao cha NEC kilichofanyika...
  11. Jabali la Siasa

    Waziri Mchengerwa aipiga stop Kampuni ya Nyanza Road Works LTD isipewe kazi tena Serikalini

    Kwa haraka moja kwa moja kwenye hoja, Kasi ya Waziri wa TAMISEMI Mhe Mohammed Omary Mchengerwa inaleta matumaini mapya kwa Watanzania hasa wanyonge na walalahoi huko vijijini. Kwasasa Tanzania inahitaji Viongozi aina ya huyu kijana ambaye ni jasiri na shupavu asiyependa sifa,kujisifia Wala...
  12. Jabali la Siasa

    Uchaguzi Mdogo Mbarali: Bahati Ndingo ashinda Kiti cha Ubunge

    #CCM BABA LAO, Matokeo ya uchaguzi mdogo wa kiti cha ubunge Jimbo la Mbarali mkoani Mbeya yametangazwa, Mgombea ubunge kupitia CCM Bi. Bahati Ndingo ameibuka mshindi kwa kura elfu 44,334 dhidi ya mpinzani wake wa karibu kutoka chama cha ACT Wazalendo Bw. Dickson Kilufi, aliyepata kura...
  13. Jabali la Siasa

    MBARALI: Rais Samia aifutilia mbali Government Notice Na. 28 ya mwaka 2022 iliyowafukuza Wananchi wasilime Wala kufuga katika bonde la Usangu

    Habari Njema sana, MAKAMU Mwenyekti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa Upande wa Bara Abdulrahaman Kinana amewaambia wananchi wa Wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya kuwa Rais Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan amekubali ombi lao la kuendelea na shughuli za kilimo na ufugaji katika eneo lililozuiwa kupitia...
  14. Jabali la Siasa

    Kinana na Zitto wahenyeshana Uchaguzi mdogo Mbarali. Kesho Septemba 19 kuamua ni ACT-Wazalendo au CCM

    Kazi inaendelea vizuri, Tume ya Taifa ya Uchaguzi ilitangaza Uchaguzi Mdogo wa Ubunge Jimbo la Mbarali kufuatia kifo cha Mbunge Marehemu Francis Mtega (CCM) pamoja na Kata 6 za Tanzania Bara utakaofanyika kesho tarehe 19 Septemba mwaka 2023. Kwa mujibu wa NEC kata zitakazofanya uchaguzi...
  15. Jabali la Siasa

    Morogoro Rais Samia apeleka TZS 7BL Kilosa kwaajili ya Ujenzi wa Daraja la Barega lililokwama tangu Uhuru

    Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Mhe Shaka Hamdu Shaka akimshukuru Rais Dkt Samia Suluhu kwa niaba ya Wananchi Wa Kilosa kwa kuwapatia daraja, BILIONI 7 ZA DKT SAMIA SULUHU HASSAN KUTUMIKA UJENZI WA DARAJA LA BEREGA, KILOSA MKOANI MOROGORO === Wananchi wa Berega, wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro...
  16. Jabali la Siasa

    Shaka aagiza TAKUKURU kuwachunguza waliotafuna fedha za miradi ya maendeleo Kilosa

    Tanzania inahitaji viongozi wanaothubutu kuchukua hatua Kama kijana huyu, Pesa zinatafutwa kwa shida Sana na Rais wetu Dkt Samia Suluhu Hassan lakini zinatumiwa vibaya na baadhi ya Watendaji wasio na huruma Wala haya, Tunahitaji kuona viongozi wote wakisimamia vizuri pesa za umma hata kama...
  17. Jabali la Siasa

    Dodoma: Mbunge Ditopile atoa msaada kwa wanafunzi 1,000

    Wanafunzi 1,000 wanufaika na msaada wa vifaa vya shule vyenye thamani ya tsh. milioni 32 kutoka kwa Mariam Ditopile Mbunge wa Viti Maalum kupitia CCM mkoani Dodoma. Mbunge viti Maalum Mkoa wa Dodoma anayetokana na Jumuiya ya Wanawake Tanzania (UWT) Mariam Ditopile amewawezesha wanafunzi wenye...
  18. Jabali la Siasa

    Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndg Daniel Chongolo aanza ziara ya siku 9 Mkoani Morogoro kwa kishindo huku akisisitiza kazi ya Siasa Sasa imeanza,

    Mamia wakifurahia na kuwapokea viongozi waliongozwa na Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndg Daniel Chongolo Katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Ndg Daniel Chongolo akiambatana na Katibu wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa Itikadi & Uenezi Ndg Sophia Mjema pamoja na Ndg Issa Haji Gavu Katibu wa...
  19. Jabali la Siasa

    Morogoro: Hatimaye Shaka Hamdu Shaka ala Kiapo cha Uaminifu

    === Tofauti kabisa na minongo'no na matarajio ya wengi kuwa huenda Mhe Shaka Hamdu Shaka hakufurahishwa kwa kuondolewa kwake kwenye Chama na kuteuliwa kuwa Mkuu Mpya wa Wilaya ya Kilosa akiondolewa kwenye nafasi hiyo ndani ya Chama aliyeihudumu kwa karibu Miaka miwili, Hatimaye Leo Mbele ya...
  20. Jabali la Siasa

    Kinana aendelea kukutana na mabalozi wa nchi mbalimbali rafiki wa CCM, akutana pia na Balozi wa Algeria kwa mazungumzo Ofisi ndogo ya CCM Lumumba

    Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana, amekutana na kufanya Mazungumzo na, Balozi wa Algeria nchini Tanzania Ahmed Djellal alipofika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, leo Januari 17, 2023.
Back
Top Bottom