Kuna baadhi ya maeneo upo competent lakini huwezi kuzidi uwezo wa tech kama AI na baadhi ya sehemu
Pia baathi ya tech haihusiani na competency, fikiria matumizi ya mitambo ya kunyanyulia vitu
Kwanza inapunguza cost, pili efficiency tatu mudaa , nk
Kwaio mimi naona tech itaathiri vitu vingi sana
Soma apo
Sababu ndio hizi
🚨📺 OFFICIAL: letter sent to the Premier League regarding scrapping VAR.
"Wolves have formally submitted a resolution to the Premier League to trigger a vote at the league's AGM in June, on the removal of VAR from the start of the 2024/25 season.
The introduction of...
Unaweza fafanua vizuri apo kwa askari na secretary?
Police ukimaanisha matumizi ya camera na kukatiwa fine kwa e-ways? Au yaani njia za mtandao tu? Shukran
Habari Jamii!
Nimekuwa nikifikiria sana jinsi teknolojia inavyobadilisha jinsi tunavyoishi na kufanya kazi leo. Kutoka kwa simu zetu za mkononi hadi kwa matumizi ya AI, teknolojia inaingilia kati kila sehemu ya maisha yetu.
Nataka kuanzisha mjadala kuhusu athari za mabadiliko haya. Je...
Habari wakubwa hii leo nakupa hii ya bure kabisaa
Uliza swali kama hujaelewa
Twende pamoja
Jinsi ya Kuchagua Speakers Bora kwa Kufurahia Muziki
Kwa wapenzi wa muziki, kuchagua speakers ni uamuzi muhimu ambao huathiri uzoefu wao wa kusikiliza. Hapa kuna mwongozo wa hatua kwa hatua kusaidia...
Duuh nakumbuka hawa jama walikua na ofisi nje kwetu makumbusho 2018
Nikaulizia wakaniambia 4M
Sasaivi naona wamepanda mpaka 6M
Kiukweli kwa kipindi kile kilichobisaidia sikua na hio ela
Ila hao jamaaa ni wanaku manipulate unaona utajiri huu apa ,,, wana brain wash
Huyo ndugu yako mkuu mpaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.