Ni takribani wiki sasa inapita napatwa na dalili hizi
1. Muwasho sehemu za siri kwenye uume na pumbu zinapata zinapata vipele flani havijai maji ila nikivikuna vitamu sana nasikia raha sana mpaka natoka michubuko.
2. Muwasho matakoni karibia na msingi najikuna sana mpaka matako yamechubuka.
3...
Nawashukuru wana jamvi mliohusika kwenye ushauri wenu baadhi ya point zenu zimenisaidia nimeacha na yule shangingi sasa naendelea kupambana nile jasho langu
Ushauri kwa vijana wenzangu tulizike na vipato vyetu tuwe wabunifu katika kujikwamua kimaisha
Umenistua hapo asee sikufikiria hili jambo qqmake dah kuna mjamvi mmoja kasema ataniachia kesi kule juu linataka kufanana na hili asee asante sana nafunguka sasa nashukuru sana
Sijakataa ushauri ila najaribu kudefend ili nipate mawazo mengi na tofauto zaidi nikisema nikubali tu mapema zisinge fika reply zaidi ya 30 hivyo napatia taratibu napata maoni na mawazo then nafanya maaumuzi
Ila kwenye jambo la umalaya tangu nipo nae sijawahi kumfuma na simu kila kila nikiangalia sioni hizo mishe za kunicheat ila muonekano wake tu ndo unanipa wasiwasi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.