Naomba ushauri katika hili, mawasiliano ya huyu mwanamke yananichanganya

Naishi kwake kwangu aligoma kuja kwakua ni uswahilini hapendi kuishi changanyikeni
We nawe!!

Yaani unakaa kwake sio!!?

Huyo anataka ndoa ya kudumu ili akuendeshe vizuri na kukuza status zake kia married!!

Anaweza kuwa mutu ya mfumo hiyo!!!

Wanatabia za kuongea nje usiku na sim muda mrefu SANA!

Makinika sepa faster Mkuu!!
 
Ni takribani mwezi sasa nipo kwenye mahusiano na bidada mmoja wa kuvalia miwani na mwenye artifical (kajichubua kiasi) colour wakuvalia vikuku na urembo wa kutosha ila kuna vitu ambavyo simuelewi kila simu yake ikipigwa anatoka nje kabisa au tukiwa chumbani anatoka sebuleni kuongea maongezi, kinachonistua zaidi maongezi yake yamejaa kutaja majina ya Afande fulani, washa gari nendeni sehem fulani.

Simu za usiku wa manane haziishi mara muda mwingine nikistuka najikuta nipo kitandani peke yangu nikitoka nakuta yupo nje anaongea na simu nikijaribu kunyata na kusikilza nasikia maongezi ya stahili hiyo mara chukua magazini kadhaa muondoke nazo.

Baada ya kuona hivyo nilifanya uchunguzi wangu kiitelijensia nikatumia mbinu za Delila kujua password ya simu yake iphone 14 pro max nikafanikiwa siku kaenda kuoga nikatumia muda huo kuangalia majina hayo sikuona jina hata moja la polisi yoyote wa afande flani naona majina mbele yamejaa makopa kopa tu na maua na majina ya watu wa kwenye vikoba vyake kama (aisha upatu, mwajuma kikoba, rose kijumbe) majina tajwa ni mifano tu yalivyoseviwa hivyo.

Kazi yake aliniambia mwanasheria lakini sioni hata dalili za uanasheria pale nikimwambia nije ofisini kwako nikuone hataki, kuna siku nilimuliza kazi yake kamili nilipatasha vitisho hatari na nikijaribu kumuliza swali hilo tena naweza kila makofi na mapenzi kuvunjwa sasa wanajamvi kinachonipa maswa na kuomba ushauri ni kuwa inaweza kua ni
1. Kahaba professional kulingana na muonekano wake?
2. Au kitengo kwenye mambo ya usalama
3. Au kweli mwanasheria manake haelewiki anakula pombe hata kreti mbili anaweza kula pombe siku tatu nzima.

Kwa watalamu wa haya mambo kuwadetect watu wanijuze nisije kua nimeingia kwa mtu wa kitengo au kahana professional vikuku vinanitisha sana.
Sema kajichubua,hio kiasi ni wewe umesema

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Niendelee nae au nisonge mbele nipige chini
Sasa unapouliza uendelee nae au umuache ? Utashindwa kueleweka kama mwanaume halisi mwenye maamuzi magumu na sahihi, kwasababu Akili Mungu aliyokupa inakutosha kabisa kuyahimili mazingira yako na mahusiano kwa ujumla na huhitaji nyingine.....man up bro

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Sasa unapouliza uendelee nae au umuache ? Utashindwa kueleweka kama mwanaume halisi mwenye maamuzi magumu na sahihi, kwasababu Akili Mungu aliyokupa inakutosha kabisa kuyahimili mazingira yako na mahusiano kwa ujumla na huhitaji nyingine.....man up bro

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Mpaka nimekuja hapa mkuu nipo half half yani sielewi nakusanya point then nakuja na comeback ya maana
 
Naishi kwake kwangu aligoma kuja kwakua ni uswahilini hapendi kuishi changanyikeni
Hapo una afadhali, ni rahisi sana wewe kumtoroka manake huko mbele atakuja kukuletea matatizo makubwa sana, tafuta mtoto mbichi ishi nae mjenge maisha, mtu kama huyo ni rahisi sana kukuua ndugu yangu, hana sifa za mwanamke wa kuoa
 
Mpaka nimekuja hapa mkuu nipo half half yani sielewi nakusanya point then nakuja na comeback ya maana
Huyo ALIKUA anasubiri KWA hamu sana type yako,yawezekana akikataa na tamaa kabisa,SASA umejileta kwenye maisha yake,atakuganda sana !wa aina hii mara nyingi wanakuendwsha sana yaani wewe ndio unakua umeolewa vile!

"Huwezi nipotezea muda"yaani hataki mwachane kabisa mkuu

Peleka posa mkuu!
 
Hapo una afadhali, ni rahisi sana wewe kumtoroka manake huko mbele atakuja kukuletea matatizo makubwa sana, tafuta mtoto mbichi ishi nae mjenge maisha, mtu kama huyo ni rahisi sana kukuua ndugu yangu, hana sifa za mwanamke wa kuoa
Ndo unipe muongozo mkuu kivipi yani kwasababu ya muonekano wake wa kikahaba au mambo yake ya kisiri ndo yatakayo niangamiza
 
Huyo ALIKUA anasubiri KWA hamu sana type yako,yawezekana akikataa na tamaa kabisa,SASA umejileta kwenye maisha yake,atakuganda sana !wa aina hii mara nyingi wanakuendwsha sana yaani wewe ndio unakua umeolewa vile!

"Huwezi nipotezea muda"yaani hataki mwachane kabisa mkuu

Peleka posa mkuu!
Kwenye jambo la kupelekeshwa nimeficha tu ila dah ijapokua kuna maokoto ya kutosha sana yani
 
Ndo unipe muongozo mkuu kivipi yani kwasababu ya muonekano wake wa kikahaba au mambo yake ya kisiri ndo yatakayo niangamiza
Kwanza kabisa elewa kuwa angekuwa anakupenda kutoka moyoni asingekaa muonekano wa kikahaba nje ya nyumba yenu yaani mambo hayo angekuwa anakuonesha wewe tu, lakini kitendo cha yeye kuonesha watu wengine pia bado kuna kitu anakitafuta kwa hao watu,
 
Kwanza kabisa elewa kuwa angekuwa anakupenda kutoka moyoni asingekaa muonekano wa kikahaba nje ya nyumba yenu yaani mambo hayo angekuwa anakuonesha wewe tu, lakini kitendo cha yeye kuonesha watu wengine pia bado kuna kitu anakitafuta kwa hao watu,
Ila kwenye jambo la umalaya tangu nipo nae sijawahi kumfuma na simu kila kila nikiangalia sioni hizo mishe za kunicheat ila muonekano wake tu ndo unanipa wasiwasi
 
Back
Top Bottom