Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 10,491
- 18,193
Magufuli alifanya hili zoezi la vyeti feki kwa Tanzania lakini alikuwa selective. Magufuli hakugusa TPDF, Bunge na Wakuu wa mikoa. Hata Polisi na TISS nao hawakuguswa. Halafu alidhulumu mafao ambayo ni jasho lao.
Nashauri tu kuwa kama William Rutto anataka lifanikiwe alifanye across-the-board kwa sekta zote, asiwe selective
Nashauri tu kuwa kama William Rutto anataka lifanikiwe alifanye across-the-board kwa sekta zote, asiwe selective