Yuko wapi Vengu-mchekeshaji wa comedy

Ubongo wa mshikaji ndiyo basi tena. Kifupi jamaa anasubiria tu siku ifike ila no hope at all at all!
 
Ana tatizo la kwenye ubongo ambalo hawezi kurudi Katika hali ya kawaida tena Katika maisha yake. Ila ni mambo ya kifamilia hayo.Hata Muhimbili waliligundua hilo na hata kwenda India ilikuwa haina maana kwasababu ni tatizo ambalo ukipata halina tiba zaidi ya palliative care tu.

Alipelekwa tu India na Serikali kwasababu wakati ule kundi lilikuwa maarufu na ilionekana kama viongozi wanapelekwa India why not Wasanii lakini kitaalam walikuwa wanaojua nothing new will be detected or diagnosed.

Yuko Kigamboni kwa Babu na baadhi ya ndugu zake wakimpa msaada pamoja kundi lao la OK likiongozwa na Masanja Mkandamizaji.

Ila inasikitisha sana.
Huo ugonjwa ukoje .... Anakuaje!??
 
Hivi kundi lao bado lipo hai? Mastaa wawili wapo kwenye matangazo ya biashara za makampuni, mwingine anajishughulisha na mambo ya injili, mc Regan na wakuvwanga hawajulikani wanafanya shuguli gani. Ki ukweli hili kundi lilijipatia umaarufu mkubwa sana
 
Huyu si ndio yule alikuwa anadhihaki watu wagonjwa kama mh Mrema. alisahau kuwa "haujafa haujaumbika" Mungu atende miujiza aponye ili aweze kujutia aliyokuwa akiyafanya



hadi kibaraghasia chake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom