bushland
JF-Expert Member
- Mar 6, 2015
- 7,016
- 4,961
Kwa
Kwanini bidada? Au umempenda yeyenimeipenda avatar yako mkuu
Kwanini bidada? Au umempenda yeyenimeipenda avatar yako mkuu
Huo ugonjwa ukoje .... Anakuaje!??Ana tatizo la kwenye ubongo ambalo hawezi kurudi Katika hali ya kawaida tena Katika maisha yake. Ila ni mambo ya kifamilia hayo.Hata Muhimbili waliligundua hilo na hata kwenda India ilikuwa haina maana kwasababu ni tatizo ambalo ukipata halina tiba zaidi ya palliative care tu.
Alipelekwa tu India na Serikali kwasababu wakati ule kundi lilikuwa maarufu na ilionekana kama viongozi wanapelekwa India why not Wasanii lakini kitaalam walikuwa wanaojua nothing new will be detected or diagnosed.
Yuko Kigamboni kwa Babu na baadhi ya ndugu zake wakimpa msaada pamoja kundi lao la OK likiongozwa na Masanja Mkandamizaji.
Ila inasikitisha sana.
Kwa
Kwanini bidada? Au umempenda yeye
Anapoteza kumbukumbu...dementia na poor neurons coordination inayotokana na cerebral atrophyHuo ugonjwa ukoje .... Anakuaje!??
Hivi anaumwa nini?? UKIMWI au Kansa?Hauna uhakika na unachokizungumza yupo anasumbuliwa na maradhi kwa kipindi kirefu sasa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Dahhhh mkuu samahani naomba uje na lugha rahisi kidogo walau wote tuambulie maarifa hayo.Anapoteza kumbukumbu...dementia na poor neurons coordination inayotokana na cerebral atrophy
Huyu si ndio yule alikuwa anadhihaki watu wagonjwa kama mh Mrema. alisahau kuwa "haujafa haujaumbika" Mungu atende miujiza aponye ili aweze kujutia aliyokuwa akiyafanya
Cerebral atrophy ndio ugonjwa gani????Anapoteza kumbukumbu...dementia na poor neurons coordination inayotokana na cerebral atrophy