Ndugu wana JF popote mlipo neema ya Bwana ikawe juu yenu na Mungu amebariki

Wakuu nauliza Mwana wa Mungu, kaka wa taifa hili, mzalendo asie na mfano Ndugu Lissu, yuko wapi?

Binafsi kama mwananchi na kama mfuasi wake ni haki yangu jua alipo maana na ni siku zimepita kidogo simsikii wapi alipo?

Lissu popote ulipo naomba jitokeze ulipo hata kwa Salam tu .

Nawakilisha wakuu
Nimeona in 4days alikuwa na Mkutano somewhere kupitia Youtube. I think yupo.

Unajua Nchi iko kwenye mtanzuko wa maswala Mbali mbali.

Nina Uhakika Huyu Mtumishi wa Mungu Tundu Lissu Eliya na Daniel wa Nyakati zetu Yuko Salama.

Popote Alipo Apokee Salam Zangu.

AllahuAkbar
 
Ukisikia kuwa Samia ni mwanasiasa aliyewiva basi indicators zake ni kama hizi. Leo Lissu anatafutwa kwa vile hasikiki.

Hasikiki kwa vile Samia ameruhusu kila kitu vyama vya upinzani vifanye. Karuhusu shughuli za vyama vya siasa, karuhusu maandamano. Wamefanya maandamano Arusha, Mwanza, Mbeya na Dar es Salaam, matokeo ya maandamano yao wanayajuwa wenyewe.

Laiti Samia angewakatalia kufanya maandamano basi sasa hivi ungesikia kila siku kwenye social media wakidai maandamano.

Hapo ndipo unatambua kuwa Urais wa Tanzania hauhitaji mabavu na kuua wapinzani kama alivyokuwa anafanya Magufuli bali unahitaji akili na busara tu
Lissu alikuwa anatafutwa nyakati zote.

Lissu hajawahi kuchuja.

Hata wewe unampenda sema tu........!!! Basi
 
Ukisikia kuwa Samia ni mwanasiasa aliyewiva basi indicators zake ni kama hizi. Leo Lissu anatafutwa kwa vile hasikiki.

Hasikiki kwa vile Samia ameruhusu kila kitu vyama vya upinzani vifanye. Karuhusu shughuli za vyama vya siasa, karuhusu maandamano. Wamefanya maandamano Arusha, Mwanza, Mbeya na Dar es Salaam, matokeo ya maandamano yao wanayajuwa wenyewe.

Laiti Samia angewakatalia kufanya maandamano basi sasa hivi ungesikia kila siku kwenye social media wakidai maandamano.

Hapo ndipo unatambua kuwa Urais wa Tanzania hauhitaji mabavu na kuua wapinzani kama alivyokuwa anafanya Magufuli bali unahitaji akili na busara tu
Poor analysis. Usiudanganye Umma!!
 
Ndugu wana JF popote mlipo neema ya Bwana ikawe juu yenu na Mungu amebariki

Wakuu nauliza Mwana wa Mungu, kaka wa taifa hili, mzalendo asie na mfano Ndugu Lissu, yuko wapi?

Binafsi kama mwananchi na kama mfuasi wake ni haki yangu jua alipo maana na ni siku zimepita kidogo simsikii wapi alipo?

Lissu popote ulipo naomba jitokeze ulipo hata kwa Salam tu .

Nawakilisha wakuu
Yupo busy na kazi zake za kimataifa
 
Ukisikia kuwa Samia ni mwanasiasa aliyewiva basi indicators zake ni kama hizi. Leo Lissu anatafutwa kwa vile hasikiki.

Hasikiki kwa vile Samia ameruhusu kila kitu vyama vya upinzani vifanye. Karuhusu shughuli za vyama vya siasa, karuhusu maandamano. Wamefanya maandamano Arusha, Mwanza, Mbeya na Dar es Salaam, matokeo ya maandamano yao wanayajuwa wenyewe.

Laiti Samia angewakatalia kufanya maandamano basi sasa hivi ungesikia kila siku kwenye social media wakidai maandamano.

Hapo ndipo unatambua kuwa Urais wa Tanzania hauhitaji mabavu na kuua wapinzani kama alivyokuwa anafanya Magufuli bali unahitaji akili na busara tu
Wewe ni mjinga sn, kwahiyo hii nchi ni mali binafsi ya Samia?
 
Back
Top Bottom