Kinjekitile Jr
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 421
- 1,156
🖕🖕🖕🖕Pumbavu
🖕🖕🖕🖕Pumbavu
Nimeona in 4days alikuwa na Mkutano somewhere kupitia Youtube. I think yupo.Ndugu wana JF popote mlipo neema ya Bwana ikawe juu yenu na Mungu amebariki
Wakuu nauliza Mwana wa Mungu, kaka wa taifa hili, mzalendo asie na mfano Ndugu Lissu, yuko wapi?
Binafsi kama mwananchi na kama mfuasi wake ni haki yangu jua alipo maana na ni siku zimepita kidogo simsikii wapi alipo?
Lissu popote ulipo naomba jitokeze ulipo hata kwa Salam tu .
Nawakilisha wakuu
Kwa Mujibu wa Mipango ya Mungu aliyemuepusha na wale Simba 16 pale Dodoma Mungu ana jambo Kubwa na Mtumishi wake.Mipango ya kumsimamisha Lissu kama Rais upo wazi na anachukua nchi asubuhi sana ila tu kama uchaguzi utakuwa huru na haki
Lissu alikuwa anatafutwa nyakati zote.Ukisikia kuwa Samia ni mwanasiasa aliyewiva basi indicators zake ni kama hizi. Leo Lissu anatafutwa kwa vile hasikiki.
Hasikiki kwa vile Samia ameruhusu kila kitu vyama vya upinzani vifanye. Karuhusu shughuli za vyama vya siasa, karuhusu maandamano. Wamefanya maandamano Arusha, Mwanza, Mbeya na Dar es Salaam, matokeo ya maandamano yao wanayajuwa wenyewe.
Laiti Samia angewakatalia kufanya maandamano basi sasa hivi ungesikia kila siku kwenye social media wakidai maandamano.
Hapo ndipo unatambua kuwa Urais wa Tanzania hauhitaji mabavu na kuua wapinzani kama alivyokuwa anafanya Magufuli bali unahitaji akili na busara tu
Wewe ndiye ulisafirisha wale Wa Ethiopia?Hii nchi tamu, kaa sehemu sahihi tu, karibu na mpishi, nakukumbusha tu, katika mila za kiafrika, huwa hatuongei wakati wa kula
Yule Mwamba ni International Figure.....hachuji.Atakua ameenda ubeljiji kupokea mshahara wake😂🤣
Poor analysis. Usiudanganye Umma!!Ukisikia kuwa Samia ni mwanasiasa aliyewiva basi indicators zake ni kama hizi. Leo Lissu anatafutwa kwa vile hasikiki.
Hasikiki kwa vile Samia ameruhusu kila kitu vyama vya upinzani vifanye. Karuhusu shughuli za vyama vya siasa, karuhusu maandamano. Wamefanya maandamano Arusha, Mwanza, Mbeya na Dar es Salaam, matokeo ya maandamano yao wanayajuwa wenyewe.
Laiti Samia angewakatalia kufanya maandamano basi sasa hivi ungesikia kila siku kwenye social media wakidai maandamano.
Hapo ndipo unatambua kuwa Urais wa Tanzania hauhitaji mabavu na kuua wapinzani kama alivyokuwa anafanya Magufuli bali unahitaji akili na busara tu
CEO wao wa New Culture atabadili gear angani baada ya makubaliano na kikundi chenye kuongoza nchi.Mipango ya kumsimamisha Lissu kama Rais upo wazi na anachukua nchi asubuhi sana ila tu kama uchaguzi utakuwa huru na haki
Yupo busy na kazi zake za kimataifaNdugu wana JF popote mlipo neema ya Bwana ikawe juu yenu na Mungu amebariki
Wakuu nauliza Mwana wa Mungu, kaka wa taifa hili, mzalendo asie na mfano Ndugu Lissu, yuko wapi?
Binafsi kama mwananchi na kama mfuasi wake ni haki yangu jua alipo maana na ni siku zimepita kidogo simsikii wapi alipo?
Lissu popote ulipo naomba jitokeze ulipo hata kwa Salam tu .
Nawakilisha wakuu
SureAkiwa na chakusema atajitokeza! msipende kuonaona watu kilasaa nao wanamambo yao ya kufanya ati!!
Huwa Hana maoneeesho kama mwendazake.
Wewe ni mjinga sn, kwahiyo hii nchi ni mali binafsi ya Samia?Ukisikia kuwa Samia ni mwanasiasa aliyewiva basi indicators zake ni kama hizi. Leo Lissu anatafutwa kwa vile hasikiki.
Hasikiki kwa vile Samia ameruhusu kila kitu vyama vya upinzani vifanye. Karuhusu shughuli za vyama vya siasa, karuhusu maandamano. Wamefanya maandamano Arusha, Mwanza, Mbeya na Dar es Salaam, matokeo ya maandamano yao wanayajuwa wenyewe.
Laiti Samia angewakatalia kufanya maandamano basi sasa hivi ungesikia kila siku kwenye social media wakidai maandamano.
Hapo ndipo unatambua kuwa Urais wa Tanzania hauhitaji mabavu na kuua wapinzani kama alivyokuwa anafanya Magufuli bali unahitaji akili na busara tu
Ametumwa na CCMUna wazimu wewe! Unawezaje kumuita Mbowe ni tapeli?
Wakati yule mwana Izaya mkimwita mtakatifu mlikuwa mmekatika vichwa? PumbaavKumwita Tundu Lissu au mwanadamu yeyote mwana wa Mungu ni kukufuru.
Huyu ndugu mjinga sana mkuu ,nikushukuru kwa andiko lako hiliWewe ni mjinga sn, kwahiyo hii nchi ni mali binafsi ya Samia?
Hawa mkuu mimi huwa namalizana nao vizuri tuHuyu ndugu mjinga sana mkuu ,nikushukuru kwa andiko lako hili
Hapana ni nchi binafsi ya kwako weweWewe ni mjinga sn, kwahiyo hii nchi ni mali binafsi ya Samia?
Kaa kwa passwordHapana ni nchi binafsi ya kwako wewe
Na ndiyo maana hata yule aliyetoa amri Tundu Lissu auwawe kwa kupigwa risasi leo hii yuko Jehannam anabanikwa kama mshikaki.Kwa Mujibu wa Mipango ya Mungu aliyemuepusha na wale Simba 16 pale Dodoma Mungu ana jambo Kubwa na Mtumishi wake.
Mwenyezi Mungu ni Mkali wa KuadhibuNa ndiyo maana hata yule aliyetoa amri Tundu Lissu auwawe kwa kupigwa risasi leo hii yuko Jehannam anabanikwa kama mshikaki.