Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,512
- 220,203
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, leo Tarehe 8 May 2024, Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu bado yuko Mikoani akihutubia na kufundisha Wananchi kuhusu sheria mbalimbali za Tanzania, Yakiwemo masuala yanayohusu Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Hakika huyu Mtu ana mvuto wa ajabu sana! hebu fikiria umati kama huu Mpwapwa, eneo ambalo miaka michache iliyopita wananchi waliamini kwamba ccm ni dini na kwamba kuipinga ni kutenda dhambi
Lakini Lissu katoa somo na wananchi wameelewa somo Wallah Wabhillah!
Hebu jionee mwenyewe
Hakika huyu Mtu ana mvuto wa ajabu sana! hebu fikiria umati kama huu Mpwapwa, eneo ambalo miaka michache iliyopita wananchi waliamini kwamba ccm ni dini na kwamba kuipinga ni kutenda dhambi
Lakini Lissu katoa somo na wananchi wameelewa somo Wallah Wabhillah!
Hebu jionee mwenyewe