Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,277
- 8,840
Mkuu kibo10, ​nimerudi na nipo fit kwa ajili ya mjadala huu
Karibu sana mkuu
Mkuu kibo10, ​nimerudi na nipo fit kwa ajili ya mjadala huu
Ahsante sana mkuu. Tupo pamojaKaribu sana mkuu
Mkuu habari za kupotea karibu jukwaani mkuu wadau tunahitaji michango yako.Kuhusu Tunu za taifa, kamati imependekeza nyongeza ya tunu kama Amani, Muungano nk
Hongera sana lusungo...duh, umejiunga na JF Januari 2014, una post 4,500 zaidi ya mimi niliyejiunga Mei 2008! Yaani kila siku unachangia post 45, wastani wa post mbili kwa saa bila kulala kuutetea mfumo tulionao (status quo). Keep it up, watu kama wewe CCM inawahitaji sana tu!
Pamoja sana Mkuu. Leo wanaong'ara ni wanawake. Nategemea pia atakayetoa maoni ya wachache ni mwanamke maana tangu jana mpaka leo, maoni ya wachache yanasomwa na wanaume tumakamu mkiti wa kamati 12 Thuwaybah Kissasi anasoma maoni ya walio wengi mkiti ni Paul Kimiti
Pamoja sana Mkuu. Nimerudi kwa kazi moja tu ya kujenga katiba ya watanzania wote.Mkuu habari za kupotea karibu jukwaani mkuu wadau tunahitaji michango yako.
Wadau, kwanza kabisa naomba niwaombe radhi kwa kukosekana katika mjadala wa asubuhi kutokana na dharura ya kibinadamu. Ila kwa sasa tupo pamoja kuendeleza mjadala huu ulioanzishwa na ndugu yetu weston Songoro.​
Wadau, anayewasilisha sasa ni Makamu Mwenyekiti wa Kamati Namba 12, THUWAYBA E. KISASI. Ameanza kwa kutoa taarifa ya walio wengi ambapo ameanza Ibara ya Kwanza kwa kuondoa neno shirikisho na badala yake kuweka neno Jamhuri. Msingi wa marekebisho hayo ni hati ya muungano ambayo haitambui shirikisho badala yake inatambua neno Jamhuri. Pia amesema kuwa hakuna sehemu ya Tanzania iitwayo Tanganyika
Kupata haiwezi kumbuka hata wale 201 kuna Wanzanzibar ambao wanamuona tofauti na wazanzibar wa CCM.Na ukumbuke kwenye Bunge la Serikali ya Mapinduzi Zanzibar ni almost nusu kwa nusu na waZanzibar CCM wanalijua hilo ndiyo maana wanawachezesha UPATU tu Wabunge wa CCM wadanganyika & Co.
Ummy mwalimu yuko,juu mimi niko tayari hata awe mke wangu maana ana akili na uwezo mkubwa sana kujieleza