Kwanini Tanganyika iliuhitaji zaidi Muungano kuliko Zanzibar?

bitare

Senior Member
Jul 13, 2023
197
598
Kwamaelezo ya Tundu Antipasi Lisu aliyoyatoa kwenye mikutano yake ya hivi kalibuni niwazi kua Tanganyika iliuhitaji zaidi muungano kuliko Zanzibar, ndiomana tukawa tayali kuingia hata hasara ili tuu tuungane.

Ikumbukwe baada ya muungano Tanganyika ikafa, Zanzibar yenyewe ipo, Mtanganyika hanahaki ya kununua ardhi zanzibar ila mzanzibar anahaki ya kununua ardhi Tanganyika, Mtanganyika hana haki ya kuajiliwa na serikali au kugombea ungozi ndani ya Zanzibar ila Mzanzibar ana haki hizo Tanganyika ikumbukwe pia na wale wabunge wao wa majimbo, wawakilishi na viti maarum ambao jumla ni 80 na ushee wote wanalipwa na tanganyika kwa vyovyote kukubali kubeba mzigo wote huu kunaonyesha kua Tanganyika iliuhitaji zaidi muungano kuliko Zanzibar.

Nivema viongozi wangetueleza sababu za Tangayika kuuhitaji muungano huo pengine watu wataona ni zamsingi na hivyo kupunguza manung'uniko.
 
Nyerere anapenda sifa,alitaka ndo awe Rais wa Jamhuri ya Muungano. Unajua kwa nini Africa walishindwa kuungana?

Moja ya sababu ni personal ambitions. Nyerere alitaka ndo awe Rais wa Muungano wa Africa huku Nkurumah nae anataka.
 
Kwamaelezo ya Tundu Antipasi Lisu aliyoyatoa kwenye mikutano yake ya hivi kalibuni niwazi kua Tanganyika iliuhitaji zaidi muungano kuliko Zanzibar, ndiomana tukawa tayali kuingia hata hasara ili tuu tuungane.

Ikumbukwe baada ya muungano Tanganyika ikafa, Zanzibar yenyewe ipo , Mtanganyika hanahaki ya kununua ardhi zanzibar ila mzanzibar anahaki ya kununua ardhi Tanganyika, Mtanganyika hana haki ya kuajiliwa na serikali au kugombea ungozi ndani ya Zanzibar ila Mzanzibar ana haki hizo Tanganyika ikumbukwe pia na wale wabunge wao wa majimbo, wawakilishi na viti maarum ambao jumla ni 80 na ushee wote wanalipwa na tanganyika kwa vyovyote kukubali kubeba mzigo wote huu kunaonyesha kua Tanganyika iliuhitaji zaidi muungano kuliko Zanzibar

Nivema viongozi wangetueleza sababu za Tangayika kuuhitaji muungano huo pengine watu wataona ni zamsingi na hivyo kupunguza manung'uniko
Umeeleeza kama vile unapomuhitaji Mchumba ambaye hakupendi inabidi Ujinyime umpe favour nyingi.
 
Inadaiwa miaka ya 1960 mapinduzi yalikuwa ndiyo fashion ya kupata madaraka hasa ktk bara la Afrika.

Nyerere alihofia sana kupinduliwa endapo Zanzibar itabaki kuwa nchi inayojitawala. Aliamini maadui wa serikali yake wataitumia Zanzibar kama uchochoro.
 
Inadaiwa miaka ya 1960 mapinduzi yalikuwa ndiyo fashion ya kupata madaraka hasa ktk bara la Afrika.

Nyerere alihofia sana kupinduliwa endapo Zanzibar itabaki kuwa nchi inayojitawala. Aliamini maanldui wa serikali yake wataitumia Zanzibar kama uchochoro.
Inawezekana hii sababu ikawa na mashiko
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Kwamaelezo ya Tundu Antipasi Lisu aliyoyatoa kwenye mikutano yake ya hivi kalibuni niwazi kua Tanganyika iliuhitaji zaidi muungano kuliko Zanzibar, ndiomana tukawa tayali kuingia hata hasara ili tuu tuungane.

Ikumbukwe baada ya muungano Tanganyika ikafa, Zanzibar yenyewe ipo , Mtanganyika hanahaki ya kununua ardhi zanzibar ila mzanzibar anahaki ya kununua ardhi Tanganyika, Mtanganyika hana haki ya kuajiliwa na serikali au kugombea ungozi ndani ya Zanzibar ila Mzanzibar ana haki hizo Tanganyika ikumbukwe pia na wale wabunge wao wa majimbo, wawakilishi na viti maarum ambao jumla ni 80 na ushee wote wanalipwa na tanganyika kwa vyovyote kukubali kubeba mzigo wote huu kunaonyesha kua Tanganyika iliuhitaji zaidi muungano kuliko Zanzibar

Nivema viongozi wangetueleza sababu za Tangayika kuuhitaji muungano huo pengine watu wataona ni zamsingi na hivyo kupunguza manung'uniko
Kijana huo muungano sababu kuu waingereza sababu ilikuwa ni kuzuia idea ya communism.... sasa znz kuna vijana wa ukomunist walianza kujaaa so wakaona bora waionganishe na tanzania

Baada 1964 tanzania ikiwa nchi ya kibebari ghafla mwaka 1967 tanzania ikawa ndo nchi ya kijamaaa hadi waingereza wakasema tumefanya kazi bure



So nyerere akabadili gia hewani na kutaka znz iwe pati ya tanganyika kama mkoa sema sasa alikuwa anamlia timing karume akaone kama anazengua mwaka 1978 alikua kashaandaa katiba ambayo inasema zanzibar ni part ya tanzania kama eneo sio nchi

Mambo hayakwenda alivyopanga hadi anaondoka mwaka 1985... kazi hiyo alimwachia mwinyi ...mwinyi hakuwa znz aliweka special kumalizia kazi mwinyi ndo kuanza kutoa passport ya znz hakuna cha kwenda na passport znz.......

So kwa kufupi znz ilitakiwa part ya tanzania kama eneo sio nchi

Huu mpango ulishindikana ila znz ipo siku itanyakuliwa kinguvu tu maana tukiwaacha hawa magaidi watajazana huko ndo jwtz itachukua mazima
 
Iko hivi Tanganyika kuungana na Zanzibar halikua takwa la Tanganyika,Ilikua ni swala la usalama wa Afrika mashariki.

Baada ya kuona Zanzibar haina nguvu ya kujilinda na muingiliano ni mwepesi watu kuja zenji jumuia zakimataifa wakaona ila ukanda wa pwani n bahari ya hindi uwe salama basi Tanganyika iitawale Zanzibar.

Elewa neno itawale…..
 
Kijana huo muungano sababu kuu waingereza sababu ilikuwa ni kuzuia idea ya communism.... sasa znz kuna vijana wa ukomunist walianza kujaaa so wakaona bora waionganishe na tanzania

Baada 1964 tanzania ikiwa nchi ya kibebari ghafla mwaka 1967 tanzania ikawa ndo nchi ya kijamaaa hadi waingereza wakasema tumefanya kazi bure



So nyerere akabadili gia hewani na kutaka znz iwe pati ya tanganyika kama mkoa sema sasa alikuwa anamlia timing karume akaone kama anazengua mwaka 1978 alikua kashaandaa katiba ambayo inasema zanzibar ni part ya tanzania kama eneo sio nchi

Mambo hayakwenda alivyopanga hadi anaondoka mwaka 1985... kazi hiyo alimwachia mwinyi ...mwinyi hakuwa znz aliweka special kumalizia kazi mwinyi ndo kuanza kutoa passport ya znz hakuna cha kwenda na passport znz.......

So kwa kufupi znz ilitakiwa part ya tanzania kama eneo sio nchi

Huu mpango ulishindikana ila znz ipo siku itanyakuliwa kinguvu tu maana tukiwaacha hawa magaidi watajazana huko ndo jwtz itachukua mazima
Hili wazo la kuifanya zanzibar mkoa, Nyerere angeanza nalo. Leo tusingekuwa tunapoteza muda kujadili jambo hilo.
 
Iko hivi Tanganyika kuungana na Zanzibar halikua takwa la Tanganyika,Ilikua ni swala la usalama wa Afrika mashariki.

Baada ya kuona Zanzibar haina nguvu ya kujilinda na muingiliano ni mwepesi watu kuja zenji jumuia zakimataifa wakaona ila ukanda wa pwani n bahari ya hindi uwe salama basi Tanganyika iitawale Zanzibar.

Elewa neno itawale…..
kama hoja yako ni sahihi vipi kuhusu visiwa vya Commoro? wao wanaweza kujilinda? mbona hakuna tishio lankiusalama kwa Commoro kubaki kama taifa huru? Pia vipi kuhusu Cape Verde? imepakana karibu kabisa na mataifa ya magharibi wa Africa? wanaleta tishio la kiusalama kwa mataifa hayo kwa Cape Verde kuwa huru? Angalia pia Sao Tome and Principle
 
Uchawi upo ndugu xanguni,nyerere mwenyewe hajui ikuwakuwaje tanganyika ikajikuta inaungana na zanzibar

Ukitaka kuwakera wazanzibari toa mfano wa mke na mume waambie muungano ni kama ndoa,zanzibar ni mke na tanganyika ni mume mtauana
 
Zanzibar wasomi wake wengi miaka hio walikwenda Russia(Soviet union) na Cuba hofu ya Uingeraza. Ikaona Zanzibar itakuja kuwa sababu kuu ya kushawishi nchi za East Africa kuwa communist nao.
Hiyo ndio sababu kuu iliyowaogopesha Uingereza na Amerika katika zile Enzi za vita baridi vyao na Soviet Union. !
Hakuna sababu nyingine yenye mashiko !
Vingine vyote vilikuwa ni vijisababu. !
Lakini kwa sasa muungano huu umekuwa ni wa Damu na udugu !

Watu wameoleana na kupata watoto na wajukuu na vitukuu haiwezekani tena kuwatenganisha !
Cha muhimu watu wa pande zote wakubaliane muundo wa Muungano uweje !
That’s it 🙏🙏
 
kama hoja yako ni sahihi vipi kuhusu visiwa vya Commoro? wao wanaweza kujilinda? mbona hakuna tishio lankiusalama kwa Commoro kubaki kama taifa huru? Pia vipi kuhusu Cape Verde? imepakana karibu kabisa na mataifa ya magharibi wa Africa? wanaleta tishio la kiusalama kwa mataifa hayo kwa Cape Verde kuwa huru? Angalia pia Sao Tome and Principle
Umemjibu vizuri sana huyo mjinga KAFIRI
 
Kwamaelezo ya Tundu Antipasi Lisu aliyoyatoa kwenye mikutano yake ya hivi kalibuni niwazi kua Tanganyika iliuhitaji zaidi muungano kuliko Zanzibar, ndiomana tukawa tayali kuingia hata hasara ili tuu tuungane.

Ikumbukwe baada ya muungano Tanganyika ikafa, Zanzibar yenyewe ipo , Mtanganyika hanahaki ya kununua ardhi zanzibar ila mzanzibar anahaki ya kununua ardhi Tanganyika, Mtanganyika hana haki ya kuajiliwa na serikali au kugombea ungozi ndani ya Zanzibar ila Mzanzibar ana haki hizo Tanganyika ikumbukwe pia na wale wabunge wao wa majimbo, wawakilishi na viti maarum ambao jumla ni 80 na ushee wote wanalipwa na tanganyika kwa vyovyote kukubali kubeba mzigo wote huu kunaonyesha kua Tanganyika iliuhitaji zaidi muungano kuliko Zanzibar

Nivema viongozi wangetueleza sababu za Tangayika kuuhitaji muungano huo pengine watu wataona ni zamsingi na hivyo kupunguza manung'uniko
Kuna ukweli tunatotakiwa kuufafanua na kama ni kero irekebishwe kama kweli tunafikiri muungano huu ni wa muhimu.

1. Wazanzibar wengi sana wanamiliki ardhi na majengo bara, kama raia. ila Wabara wanachukiwa wakienda kule, wanaitwa chogo, na katiba yao inazuia watu wa bara kumiliki ardhi. Juzi nilikuwa Dodoma, kwenda benjamin Mkapa kwenye kona ya Udom, kuna migorofa fulani hivi imejengwa, wanasema karibu na vile vijengo vya majaji, wengine wanamtaja mzanzibari fulani anamiliki hiyo migorofa. tukisema wazanzibar leo hii muungano umevunjika waondoke, wengi wataanza kuuza nyumba nyingi na ardhi kubwa wanayoimiliki. KWANINI BARA HATURUHUSIWI KUMILIKI KULE? faida yao ni nini?

2. kwenye ajira, hii ni kero, wazanzibar maelfu na maelfu wameajiriwa bara, hata kwenye mambo yasiyo ya muungano, wameajiriwa bara ambayo kiukweli ipo bara kwasababu zanzibar kuna utawala wao, lakini wabara hawaruhusiwi kabisa kuajiriwa zanzibaar, hii ni kero, inatakiwa iondolewe, ama la kila mtu abaki kwake.

3. wazanzibar wanakuwa wabunge kule kwao, na huku. akiwa mbunge kule kwao, atakula masurufu ya kule na atakuja kula masurufu ya bara kwa kodi za watu wa bara. tuambieni, yale mipesa wanaku wabunge 50 wa zanzibar wanakiula, zanzibar huwa imechangia bei gani? ni pesa za walipa kodi wa bara. na hao hao wakifika huku wakishiba, wanasenma twende kule kwa passport, kwa msiojua, kile ameongea yule mbunge wa zanzibar kwamba wabara twende kwa passport kwao ndicho kilichopo kwenye mioyo ya wazanzibari wote hata wenye mamlaka huku na hata walioajiriwa huku na hata wanaomiliki ardhi huku, amesema kilichopo kwenye mioyo ya wengi. wala hatakiwi kulaumiwa. kwa waliofika zanzibar wanajua kuwa hicho ndio huwa matamanio yao.

4. mzanzibar anaweza kuwa Mkuu wa wilaya, mkoa, na waziri bara, ila sisi kule marufuku. kwanini?

nimeongea hayo kwa uchache tu, lakini ukweli mwingi hata wanaopinga wanaujua, kama tunataka muungano uwepo, ondoeni kero hizi kwa watu wa bara, ama la, kila mtu achukue hamsini zake kwasababu hakuna kitu wabara wanafaidika nacho as of now. na hawajawahi kufaidika. watu wasioelewa watasema huu ni uchochezi, ila jibuni kwa hoja kama mnazo.
 
Back
Top Bottom