Staphylococcus Aureus
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 1,744
- 2,650
- Thread starter
- #41
Siwezi kumaliza !! Huu ujinga haujawai tokeaUmemaliza mkuu, shida hayo majinga yatakuelewa?
Siwezi kumaliza !! Huu ujinga haujawai tokeaUmemaliza mkuu, shida hayo majinga yatakuelewa?
Hata polisi wazanzibari ni wapuuzi kweli hawajui hata wajibu wao, wanawakamata wawapeleke kwenye mahakama ipi. Naona shida ni huyu Rais wao wa sasa inaonekana ni extrimist. Rais kijana msomi halafu mdini ni aibu. Babake hakuendekeza huo upumbavuNajaribu tu kuwaza kwa sauti Mtu umefunga lakini unapata muda na shauku ya kwenda kutafuta wanaopika na kula?
Hapo unakua umefunga au umeshinda njaa. Umefunga na unatamani wanao kula umefunga umebadilisha ratiba ya chakula
Upande wa pili kufunga: Hiari, ujikane nafsi yako si ulazimishwe.
Sisi tunaamini bwana asipoulinda mji waulindao wakesha bureYaani mungu wao anasaidiwa na Mwanadamu kuadhibu watu duu, ni nomaaa
Sasa wale wazenji wengi wao si hushinda kijiwweni?Ukifunga usipokuwa na busy schedule utateseka ila ukiwa umefunga na upo busy njaa husikii kabisa ndio maana watu wanaofanya kazi 8-10hours they can perform hadi muda wa kufuturu una mwambia muda wa uji wa shurba
Naunga mkono hoja hasa hapo WA HOVYO KABISAShida sio dini shida ni hao watu wanaotaka kujisafisha mbele za watu afu kama unguja wametoka wanazuoni wengi tu ambao wanafundisha mambo mazuri ya bwana mtume Mohammad S. A. W ila hawataki kuwasikiliza mafundisho. Naweza kusema zanzibar waislamu wapo wazuri na wapo wa hovyo tena hovyo kabisa
Ndio ndugu kwa herufi kubwaNaunga mkono hoja hasa hapo WA HOVYO KABISA
Wengine wanatafuta sifa tu. Sasa mtu aliyefunga akimuona mtu asiyefunga anakuka kinamuuma nini? Au funga yake inafunguka? Waache ujinga wao wasituchosheMimi nilitaka ukifunga funga kwa kumaanisha usishinde njaa kisa sifa
Hasira zinakuja kwasababu kufunga wengi wanalazimishwaWengine wanatafuta sifa tu. Sasa mtu aliyefunga akimuona mtu asiyefunga anakuka kinamuuma nini? Au funga yake inafunguka? Waache ujinga wao wasituchoshe
😅Waliopo nchini zenji watupe updates ni watanganyika wangapi leo wamekamatwa sababu ya kula na hao waarabu koko.
Ndio maana bwana netanyahu anataka kuwafuta kwenye hii duniaAstaghafirullah wewe ulitakaje mukubwa
Inabid aondolewe madarakaniHata polisi wazanzibari ni wapuuzi kweli hawajui hata wajibu wao, wanawakamata wawapeleke kwenye mahakama ipi. Naona shida ni huyu Rais wao wa sasa inaonekana ni extrimist. Rais kijana msomi halafu mdini ni aibu. Babake hakuendekeza huo upumbavu
heeeTuwe makini na hizi dini inaweza kuwa Mungu wa waarabu anaumwa au mlemavu au mabaga fresh