Wizara ya Elimu, futeni mtihani wa darasa la nne

cool d

JF-Expert Member
Jan 20, 2015
1,713
1,707
Wizara ya Elimu tunaomba mfute mtihani wa darasa la nne kwasababu unaleta mkang'anyiko kwa watoto watakao maliza la SITA na kuingia moja kwa moja kidato cha Kwanza maana yake watoto watakao maliza la SITA watafaulishwa wote kuingia kidato cha Kwanza kulingana na competence ya mtoto.

Sasa sijui mnakwama wapi kutupa muongozo na kutujengea shule mpya kila kata ili watoto sasa waache kuteswa kutoka usiku Sana kwa kisingizio cha darasa la nne wakati Mataala unaonyesha ni kusoma kama shule za international watoto wapimwe kwa competence sasa.
 
Wizara ya Elimu tunaomba mfute mtihani wa darasa la nne kwasababu unaleta mkang'anyiko kwa watoto watakao maliza la SITA na kuingia moja kwa moja kidato cha Kwanza maana yake watoto watakao maliza la SITA watafaulishwa wote kuingia kidato cha Kwanza kulingana na competence ya mtoto.

Sasa sijui mnakwama wapi kutupa muongozo na kutujengea shule mpya kila kata ili watoto sasa waache kuteswa kutoka usiku Sana kwa kisingizio cha darasa la nne wakati Mataala unaonyesha ni kusoma kama shule za international watoto wapimwe kwa competence sasa.
Mtihani unapima uwezo wa mwanafunzi
Huoni ni muhimu huu mtihani ukawapo ili kumuandaa zaidi mwanafunzi akifika darasa la sita awe amejiandaa vema afaulu kuendelea na ngazi za juu zaidi?
 
Tumemuelewa na anahoja kwa kweli, na hoja yake tunaifanyia kaz!i tutampa ruhusa Maalum kwa mwanae asiweze kuangaika kusoma darasa la nne na ikibidi asifanye mtihani, kijana wake ataenda moja kwa moja darasa la tano
 
Wizara ya Elimu tunaomba mfute mtihani wa darasa la nne kwasababu unaleta mkang'anyiko kwa watoto watakao maliza la SITA na kuingia moja kwa moja kidato cha Kwanza maana yake watoto watakao maliza la SITA watafaulishwa wote kuingia kidato cha Kwanza kulingana na competence ya mtoto.

Sasa sijui mnakwama wapi kutupa muongozo na kutujengea shule mpya kila kata ili watoto sasa waache kuteswa kutoka usiku Sana kwa kisingizio cha darasa la nne wakati Mataala unaonyesha ni kusoma kama shule za international watoto wapimwe kwa competence sasa.
Kwani mtihani unakukwaza nini?Mtihani ni kipimo cha uelewa kwa wote wawili.Mwanafunzi na mwalimu. Tulia watoto wapimwe.
 
Tumemuelewa na anahoja kwa kweli, na hoja yake tunaifanyia kazi ili tume ruhusa Maalum kwa mwanae asiweze kuangaika kusoma darasa la nne na ikibidi asifanye mtihani, yeye kijana wake ataenda moja kwa moja darasa la tano
Hata kuandika tu haujui.Haujaelewa chochote ngumbaru wewe!
 
Wizara ya Elimu tunaomba mfute mtihani wa darasa la nne kwasababu unaleta mkang'anyiko kwa watoto watakao maliza la SITA na kuingia moja kwa moja kidato cha Kwanza maana yake watoto watakao maliza la SITA watafaulishwa wote kuingia kidato cha Kwanza kulingana na competence ya mtoto.

Sasa sijui mnakwama wapi kutupa muongozo na kutujengea shule mpya kila kata ili watoto sasa waache kuteswa kutoka usiku Sana kwa kisingizio cha darasa la nne wakati Mataala unaonyesha ni kusoma kama shule za international watoto wapimwe kwa competence sasa.
Una wasiwasi kwasababu mtoto ako bogasi unahofu atafeli?.
 
Tumemuelewa na anahoja kwa kweli, na hoja yake tunaifanyia kazi ili tume ruhusa Maalum kwa mwanae asiweze kuangaika kusoma darasa la nne na ikibidi asifanye mtihani, yeye kijana wake ataenda moja kwa moja darasa la tano
Hapa umeonyesha wewe ni CCM kweli. Kwamba mtoto kupimwa uelewa ni kuhangaishwa?
 
Nadhani kunahaja ya kutizama upya.
1. Walisema mabadiliko ya mitaala mipya itawahusu wanafunzi wanao anza darasa la kwanza hadi darasa la 3, maana yake waliopo la nne hadi la 6 hawahusiki.

Hapo ndipo mkangqnyiko unapo anzia.
Prof. MKENDA na wataalamu wake wakae watafakari upya Kisha waondoe hayo masharti.
Mtaala uwahusu watoto wote kwa pamoja.
 
Sasa ngoja waanzishe hadi mtihani mmoja wa chekechea nchi nzima. Huo ndio ubunifu ambao hawajauona
 
WIZARA YA ELIMU inawasilisha Bajeti yake leo trh 7/05/2024 Bungeni.
Huenda Waziri Prof. Mkenda akalitizama hilo upya.
 
Back
Top Bottom