Waziri Mkuu aokoa mamilioni, atembea kwa miguu kwenda ofisini

1629958397253.png

"Msafara" wa waziri mkuu wa uingereza kwenda kazini.
 
Baada ya kuripotiwa na chanzo kimoja cha habar uko Dodoma. Kwamba baada ya waziri mkuu kutembea mita mia200 kwa miguu ime save mamilioni ya shilingi.

Binafsi hii ni propaganda tu gharama zmeokolewa kwel but sio kwa kiwango hicho
 
Back
Top Bottom