Sina uhakika na hilo. Najua alikuwa anatumia baiskeli kwenda ofisini alipokuwa Meya wa London. Waziri Mkuu wa Uholanzi ndiye ambaye hupendelea hutumia baiskeli mara nyingi kwenda ofisini.View attachment 1908880
"Msafara" wa waziri mkuu wa uingereza kwenda kazini.
Sina uhakika na hilo. Najua alikuwa anatumia baiskeli kwenda ofisini alipokuwa Meya wa London. Waziri Mkuu wa Uholanzi ndiye ambaye hupendelea hutumia baiskeli mara nyingi kwenda ofisini.
Huyu hii kitu anafanya mara kwa maraView attachment 1908880
"Msafara" wa waziri mkuu wa uingereza kwenda kazini.
Great,ni mwanzo mzuri wa kubana matumizi.Isichukuliwe kama dhihaka! Isichukuliwe kama maskhara na furahisha genge! Bali ikupe fikra fikirishi ya huko tunakoelekea na dhana nzima ya kubana matumizi...
Hapa kwetu hata DC au DED tu hawezi endesha baiskeli kwenda kazini.View attachment 1908880
"Msafara" wa waziri mkuu wa uingereza kwenda kazini.
Obviously.Huyu hii kitu anafanya mara kwa mara
Ova