Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 5,338
- 8,047
Jielekeze kwenye tangazo la gazeti la Mwananchi hapa chini. Kuna Daktari anaitwa Sanjay Pandey toka India anakuja nchini kufanya tiba ya mambo mbalimbali ikiwamo "gender assignment surgery" (kubadilisha jinsia).
Naomba kuuliza ni lini Serikali yetu kupitia Bunge la JMT lilipitisha sera ya kubadili jinsia.
Kama Serikali halijapitisha, basi chukua hatua za haraka kupitia namba za simu kwenye matangazo yao hapo chini.
Naomba kuuliza ni lini Serikali yetu kupitia Bunge la JMT lilipitisha sera ya kubadili jinsia.
Kama Serikali halijapitisha, basi chukua hatua za haraka kupitia namba za simu kwenye matangazo yao hapo chini.