Ni kweli hamna foleni sijakataa. Bei je?Lakini foleni ya kupata mafuta hamna
Mbona bei bado ziko juu au mmedhibiti kitu kipyaNaibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Nishati Mh Doto Biteko amesema wakati anaingia kwenye wizara hiyo alikuta kila mara mafuta kuadimika na kusababisha usumbufu na foleni kubwa kwenye vituo vya mafuta kote nchini, hali hiyo ilikuwa inatokea kila unapofika muda wa kutangaza bei mpya!
Biteko amesema suala hilo alilikomesha mara tu baada ya kushika wizara hiyo kwa kuwaita, kukaa nao na kuwapa onyo kali wapiga dili wote kwamba hatawalea kama walivyokuwa wanalelewa na January Makamba kwani atasimamia sheria kama alivyoapa.
Mh. Biteko amesema anashukuru kwani mara baada ya kikao hicho wapiga dili waliufyata na hakujatokea upungufu wa mafuta nchini.
Mh. Biteko ameyasema hayo wakati akijibu hoja mbalimbali zilizoibuliwa na wabunge wakati wa kupitisha bajeti ya wizara ya nishati bungeni.
Kundi la watoto wazuri wasiokufaWaziri aliyemtangulia alikuwa nani?
Swali zuriKwahiyo sasa mafuta ni 2500 au yapo palepale Kwenye bei ya wapiga dili.
Hongera Biteko,Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Nishati Mh Doto Biteko amesema wakati anaingia kwenye wizara hiyo alikuta kila mara mafuta kuadimika na kusababisha usumbufu na foleni kubwa kwenye vituo vya mafuta kote nchini, hali hiyo ilikuwa inatokea kila unapofika muda wa kutangaza bei mpya!
Biteko amesema suala hilo alilikomesha mara tu baada ya kushika wizara hiyo kwa kuwaita, kukaa nao na kuwapa onyo kali wapiga dili wote kwamba hatawalea kama walivyokuwa wanalelewa na January Makamba kwani atasimamia sheria kama alivyoapa.
Mh. Biteko amesema anashukuru kwani mara baada ya kikao hicho wapiga dili waliufyata na hakujatokea upungufu wa mafuta nchini.
Mh. Biteko ameyasema hayo wakati akijibu hoja mbalimbali zilizoibuliwa na wabunge wakati wa kupitisha bajeti ya wizara ya nishati bungeni.
Mpiga dili naye huyo nadhani,achana naye,naona naye kabanwa.Yeye amezungumzia kuadimika kwa mafuta
Aliyeleta kibano kwa TANESCO na makampuni ya mafuta ni nani?Kabanwa na nani?
Naona mmeendelea kuweza kuzibiti foleni ila kudhibiti bei mmeshindwa.Lakini foleni ya kupata mafuta hamna