Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 5,820
- 15,341
Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Nishati Mh Doto Biteko amesema wakati anaingia kwenye wizara hiyo alikuta kila mara mafuta kuadimika na kusababisha usumbufu na foleni kubwa kwenye vituo vya mafuta kote nchini, hali hiyo ilikuwa inatokea kila unapofika muda wa kutangaza bei mpya!
Biteko amesema suala hilo alilikomesha mara tu baada ya kushika wizara hiyo kwa kuwaita, kukaa nao na kuwapa onyo kali wapiga dili wote kwamba hatawalea kama walivyokuwa wanalelewa na January Makamba kwani atasimamia sheria kama alivyoapa.
Mh. Biteko amesema anashukuru kwani mara baada ya kikao hicho wapiga dili waliufyata na hakujatokea upungufu wa mafuta nchini.
Mh. Biteko ameyasema hayo wakati akijibu hoja mbalimbali zilizoibuliwa na wabunge wakati wa kupitisha bajeti ya wizara ya nishati bungeni.
Biteko amesema suala hilo alilikomesha mara tu baada ya kushika wizara hiyo kwa kuwaita, kukaa nao na kuwapa onyo kali wapiga dili wote kwamba hatawalea kama walivyokuwa wanalelewa na January Makamba kwani atasimamia sheria kama alivyoapa.
Mh. Biteko amesema anashukuru kwani mara baada ya kikao hicho wapiga dili waliufyata na hakujatokea upungufu wa mafuta nchini.
Mh. Biteko ameyasema hayo wakati akijibu hoja mbalimbali zilizoibuliwa na wabunge wakati wa kupitisha bajeti ya wizara ya nishati bungeni.