Pelekaroho
JF-Expert Member
- Sep 15, 2010
- 1,599
- 368
Weka tangazo,mahali ulipo bei ya saa na aina yake pamoja na namba ya simu
karibuni.
Vigezo vya msingi unavyopaswa kuzingatia kabla hujaweka tangazo;
karibuni.
Vigezo vya msingi unavyopaswa kuzingatia kabla hujaweka tangazo;
- Elezea huduma/bidhaa unayouza kwa maelezo machache yanayojitosheleza
- Elezea hali ya bidhaa (mpya au imetumika muda gani) huku ukiambatanisha na picha yake halisi.
- Taja bei
- Taja mahali huduma/bidhaa hiyo inapopatikana pamoja na mawasiliano yako.(Usiwaambie watu wakufuate PM kwa Mawasiliano. Weka namba ya simu)
- Weka taarifa mpya kuhusu bidhaa hiyo kwenye uzi husika, usianzishe uzi mpya.
- Usirudie tangazo.
- Kuwa mwaminifu na toa ushirikiano kwa watakaohitaji huduma yako.