A
Anonymous
Guest
Kumekuwa na sintofahamu kwa watumishi wa Halmashauri hii kulazimishwa kuhudhuria sherehe za Muungano zinazotajiwa kufanyika maeneo ya Kamsamba kuanzia tarehe 25/4/2024 na kilele chake ni tarehe 26/4/2024.
Agizo linawataka watumishi hao kufika maeneo hayo kuanzia saa 2:00 asubuhi siku ya tarehe 25/4/2024 na kukesha kuamkia siku ya Muungano tarehe 26/4/2024 bila kujua suala la usafiri na huduma zingine za kibinadamu n.k.
Wahanga wakubwa ni Walimu wanaotokea kata Za Jirani na Kamsamba, Wakuu wa shule wote na Maafisa Elimu Kata wote kwa Halmashauri nzima.
Je, hii ni sawa?
Kwanini mamlaka ziwalazimishe watumishi kusherehekea Muungano?
Sheria ipi inalazimisha mtu kusherehekea Muungano huu?
Agizo linawataka watumishi hao kufika maeneo hayo kuanzia saa 2:00 asubuhi siku ya tarehe 25/4/2024 na kukesha kuamkia siku ya Muungano tarehe 26/4/2024 bila kujua suala la usafiri na huduma zingine za kibinadamu n.k.
Wahanga wakubwa ni Walimu wanaotokea kata Za Jirani na Kamsamba, Wakuu wa shule wote na Maafisa Elimu Kata wote kwa Halmashauri nzima.
Je, hii ni sawa?
Kwanini mamlaka ziwalazimishe watumishi kusherehekea Muungano?
Sheria ipi inalazimisha mtu kusherehekea Muungano huu?