Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 792
- 501
VIONGOZI WA UWT WASHIRIKI SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA MIAKA 60 YA MUUNGANO
Mwenyekiti wa Umoja wa wanawake Tanzania (UWT) Ndg. Mary Chatanda (MCC) akiwa na Viongozi wa UWT Taifa wameshiriki sherehe za maadhimisho ya miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar zilizofanyika katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam ambapo Mgeni Rasmi ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Aprili 26, 2024.
#UWTImara
#JeshiLaMamaSamia
#KaziIendelee
Mwenyekiti wa Umoja wa wanawake Tanzania (UWT) Ndg. Mary Chatanda (MCC) akiwa na Viongozi wa UWT Taifa wameshiriki sherehe za maadhimisho ya miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar zilizofanyika katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam ambapo Mgeni Rasmi ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Aprili 26, 2024.
#UWTImara
#JeshiLaMamaSamia
#KaziIendelee