Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 11,006
- 22,755
Zamani ilikua kawaida wakati wa likizo ndgu kubadilishana watoto, likizo hii wataenda huku na likizo hii wataenda kule.
Tukiwa shule ilikua ni mwendo wa kuulizana likizo hii wewe baba/mama/babu/bibi yako amekwambia utaenda wapi, huyu iringa yule mwanza, huyu mbeya mwigine dar nk.
Lakini sasa hivi familia unayoishi nayo ndio ndgu zako hao.
Tukiwa shule ilikua ni mwendo wa kuulizana likizo hii wewe baba/mama/babu/bibi yako amekwambia utaenda wapi, huyu iringa yule mwanza, huyu mbeya mwigine dar nk.
Lakini sasa hivi familia unayoishi nayo ndio ndgu zako hao.