Watu hawataki kutembeleana siku hizi, kila mmoja yuko bize kusaka shilingi

Zamani ilikua kawaida wakati wa likizo ndgu kubadilishana watoto, likizo hii wataenda huku na likizo hii wataenda kule.

Tukiwa shule ilikua ni mwendo wa kuulizana likizo hii wewe baba/mama/babu/bibi yako amekwambia utaenda wapi, huyu iringa yule mwanza, huyu mbeya mwigine dar nk.

Lakini sasa hivi familia unayoishi nayo ndio ndgu zako hao.
 
Kwa hiyo si bora turudi kwenye ile mifumo ya ufugaji na ukulima, kuliko kuishi kwenye hii mifumo ya kusaka hela na kwenda kununua bidhaa sokoni, inayopelekea kubadili mfumo wetu wamaisha ya asili?

Too late maisha yashabadilika,nani arudi kwenye vibatari?? Acha tuendelee kusaka pesa za Luku
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom