Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,498
- 10,543
Hapa Mbeya Mjini nimejionea nyumba kadhaa nilizotembelea hali ni hiyo pamoja na kutandika vitambaa kwenye makochi.
Vyombo huwekwa wapiHapa mbeya mjini nimejionea nyumba kadhaa nilizotembelea hali ni hiyo pamoja na kutandika vitambaa kwenye makochi.
Ni wa kizamani kweli kweliHuu utamaduni bado upo kweli?
Sijui ulitoka wapi au tuliurithi kutoka kwa Wakoloni?Ni wa kizamani kweli kweli
Wapi nani kapangiwa niniusiwapangie watu cha kufanya wewe
Siku hizi huwekwa dining au wale wenye majiko makubwa huweka huko.Vyombo huwekwa wapi
Nauliza kwa niaba ya wanyakyusa wenzangu
Nani amemzuia mtu kufanya anavyotaka? Mimi nimeandika nilichoona.Hapa sasa ni kukosa Cha kufanya mjini. Acha watu wakae kadli walivyo.
Huna dining huna majiko makubwa tusinunua vyombo?Siku hizi huwekwa dining au wale wenye majiko makubwa huweka huko.
Upo mkuu, kanyaga mbeya ujionee.Huu utamaduni bado upo kweli?
Asante Mkuu.Nani amemzuia mtu kufanya anavyotaka? Mimi nimeandika nilichoona.
Hapana, mimi sijasema waache. Nimeelezea nilichoona.Huna dining huna majiko makubwa tusinunua vyombo?
Hata nyumbani kwa Lucas Mwashambwa?😆Upo mkuu, kanyaga mbeya ujionee.